Saturday, November 30, 2019

NHIF YATOA UFAFANUZI JUU YA TAARIFA ZA ONGEZEKO LA MICHANGO YA WANACHAMA KUTOKA 18,000 HADI 40,000



Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umesema hakuna mabadiliko ya michango kwa watumishi kama ambavyo taarifa zinazosambazwa mitandao zinadai kuwa kuna ongezeko la uchangiaji kutoka TZS 18,000 hadi TZS 40,000.

SERIKALI YAANZA MCHAKATO WA KUPANDIKIZA FARU WEUPE NCHINI KWA MARA YA KWANZA

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt.Khamis Kigwangala  akiwa na baadhi ya wasanii wa muziki na filamu katika hifadhi ya Burigi Chato

WIZARA ya Maliasili na Utalii ipo katika mchakato wa kupandikiza Wanyama zaidi wa aina mbalimbali katika hifadhi mpya ya Taifa ya Burigi Chato wakiwemo Faru weupe ili

Firm Launches Lab for Real Estate Stakeholders


The LandWey has launched a prop-tech lab for real estate stakeholders.
The lab was expected to provide vibrant, innovative tools and technical know-how that would prove to be indispensable for every real estate player in the 21st century.
Commenting on the initiative, a statement quoted LandWey’s Prop-Tech lab, Olawale Ayilara, who is

5G network will ensure fastest internet, says Huawei boss

By Nkechi Onyedika-Ugoeze and Sodiq Omolaoye, Abuja

 Managing Director of Huawei Technologies Nigeria, Mr. Zhang Lulu, has said that with the new 5G network, telecommunications subscribers in the country can experience the fastest internet and

Three top tips for creating a successful tech business plan in Nigeria


PHOTO: PIXABAY
Nigeria’s tech start-up industry is booming. The country was named the African nation with the most investment, with 40 businesses generating $59,971,000 USD by the end of 2018. The fact that

Huawei plans legal challenge to latest US pressure: report

(FILES) In this file photo taken on May 29, 2019, a company logo is displayed at a reception area at the Huawei headquarters in Shenzhen, China’s Guangdong province. –
 By AFP
 US officials said on November 20, 2019, they have agreed to grant licenses to “several” firms to

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa aongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, katika mazishi ya Mfanyabiashara na Mwanazuoni maarufu, Alhajj Aziz Masanga (Zingizi),

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiweka mchanga kwenye kaburi la aliyekua Mfanyabiashara na Mwanazuoni maarufu, Alhajj Aziz Masanga (Zingizi), wakati alipoongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, kwenye mazishi hayo, yaliyofanyika katika makaburi ya Msasani jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipeana mkono na Mjomba wa Marehemu, Alhajj Aziz Masanga (Zingizi) aliyekua  Mfanyabiashara na Mwanazuoni Maarufu,  wakati akiwasili kwenye makaburi ya Msasani jijini Dar es Salaam, kuongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, katika mazishi ya Mfanyabiashara na Mwanazuoni huyo, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiweka mchanga kwenye kaburi la aliyekua Mfanyabiashara na Mwanazuoni maarufu, Alhajj Aziz Masanga (Zingizi), wakati alipoongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, kwenye mazishi hayo, yaliyofanyika katika makaburi ya Msasani jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Hussein Mwinyi, akiweka mchanga kwenye kaburi la aliyekua Mfanyabiashara na Mwanazuoni maarufu, Alhajj Aziz Masanga (Zingizi), wakati alipoongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, kwenye mazishi hayo, yaliyofanyika katika makaburi ya Msasani jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. Kulia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiongea na wananchi baada ya mazishi ya aliyekua Mfanyabiashara na Mwanazuoni maarufu, Alhajj Aziz Masanga (Zingizi), kwenye makaburi ya Msasani jijini Dar es Salaam, Novemba 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
***********************************
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameongoza wakazi wa jiji la Dar es Salaam na maeneo mengine kwenye mazishi ya Mfanyabiashara na Mwanazuoni Maarufu wa dini ya Kiislam, Alhaj Aziz Massanga (Zingizi), yaliyofanyika katika makaburi ya Msasani.
Alhaj Zingizi amefariki dunia Jumatano, Novemba 27 jijini Johanesburg nchini Afrika Kusini  alikikwenda kwa ajili ya

RC.MWANRI AMEMPONGEZA MSANII ALIKIBA KWA MCHANGO WA VIFAA TIBA KATIKA MKOA WA TABORA




**********************
Msanii wa kizazi kipya hapa nchini AliKiba amepongezwa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri kwa mchango wake wa vifaa tiba vya zaidi ya shilingi Milioni 6 kwa wananchi wa mkoa huo.
AliKiba alikabidhi vifaa hivyo kwa Aggrey Mwanri ikiwa ni sehemu ya kurejesha shukrani zake kwa wananchi wa Tabora katika tamasha lake ‘AliKiba Uforgetable Tour’ litakalofanyika Novemba.

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ATOA POLE KWA FAMILIA YA MZEE SUGWA ALIYEFIWA NA MKEWE BI. SABINA NDEGE KILANDA NA MWANAE SHIJA SUGWA KATIKA KIJIJI CHA KATENDE WILAYA YA CHATO MKOANI GEITA. NOVEMBA 30, 2019


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akielekea Makaburini kwaajii ya kutoa heshima zake mwisho
kwenye kaburi la Bi. Sabina Ndege Kilanda Mke wa Mzee Sugwa aliyefariki
duni Septemba 15, 2019 katika kijiji cha Katende Wilayani Chato mkoani
Geita. Rais Dkt. Magufuli ametoa pole kwa Mzee Sugwa kufuatia kifo cha
Mkewe pamoja na Mwanae Shija Sugwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akitazama Makaburi ya Familia ya Mzee Sugwa mara baada
kutoa heshima za mwisho kwenye kaburi la Bi. Sabina Ndege Kilanda Mke
wa Mzee Sugwa aliyefariki duni Septemba 15, 2019 katika kijiji cha Katende
Wilayani Chato mkoani Geita. Rais Dkt. Magufuli ametoa pole kwa Mzee
Sugwa kufuatia kifo cha Mkewe pamoja na Mwanae Shija Sugwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akiwasalimia waombolezaji nyumbani kwa Mzee Sugwa kijiji
cha Katende Wilayani Chato mkoani Geita aliyefiwa na Mwanae Shija Sugwa,pia alimtembelea na kutoa pole kwa kufiwa na Mkewe Marehemu Bi. Sabina
Ndege Kilanda aliyefariki dunia Septemba 15, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akisalimiana na Bi. Beatrice Masanilo aliyefiwa na mumewe
walipokutana nyumbani kwa Mzee Sugwa kijiji cha Katende Wilayani Chato
mkoani Geita, alipomtembelea na kutoa pole kwa kufiwa na Mkewe
Marehemu Bi. Sabina Ndege Kilanda aliyefariki dunia Septemba 15, 2019 na
mwanae Shija Sugwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akitoa heshma za mwisho katika kaburi la Bi. Sabina Ndege
Kilanda Mke wa Mzee Sugwa aliyefariki duni Septemba 15, 2019 katika kijiji
cha Katende Wilayani Chato mkoani Geita. Rais Dkt. Magufuli ametoa pole
kwa Mzee Sugwa kufuatia kifo cha Mkewe pamoja na Mwanae Shija Sugwa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akisali katika kaburi la Bi. Sabina Ndege Kilanda Mke wa
Mzee Sugwa aliyefariki duni Septemba 15, 2019 katika kijiji cha Katende
Wilayani Chato mkoani Geita. Rais Dkt. Magufuli ametoa pole kwa Mzee
Sugwa kufuatia kifo cha Mkewe pamoja na Mwanae Shija Sugwa.
PICHA NA IKULU

BODI YA URATIBU WA NGOs YATAHADHARISHA MASHIRIKA KUFANYA SIASA



Mwenyekiti wa Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Dkt. Richard Faustine Sambaiga (Mwenye koti) akizungumza na wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakati Bodi hiyo ilipokuwa inatembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.
Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bi. Vickness Mayao akifafanua jambo kwa wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakati Bodi hiyo ilipokuwa inatembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.
Mjumbe wa Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Dkt. Zena Mabeyo akifafanua jambo wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakati Bodi hiyo ilipokuwa inatembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.
Mwakilishi wa Shirika la The Kesho Fund Bw. Petro Okoth akifafanua jambo katika kikao kati ya wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakati Bodi hiyo ilipokuwa inatembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.
Mwakilishi wa Shirika la Foundation for Farmer’s Service Bi. Lydia Kamugisha akifafanua jambo katika kikao kati ya wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wakati Bodi hiyo ilipokuwa inatembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.
Baadhi ya wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali mkoani Mwanza wakisikiliza maelezo kutoka kwa Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ilipotembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Dkt. Richard Faustine Sambaiga (Mwenye koti) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali mkoani Mwanza mara baada ya kikao kati ya Bodi hiyo na wadau hao.
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WAMJW
********************************
Na Mwandishi Wetu Mwanza
Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini imeyatahadharisha Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kutojihususha na masuala ya kisiasa bali wasimamie Katiba zao katika

KIKAO CHA BASHE NA WADAU WA PAMBA KUONGEZA KASI YA USAMBAZAJI MBEGU ZA PAMBA KWA WAKULIMA




************************************
“Taasisi za fedha zaahidi kuongeza kasi ya malipo kwa wakulima ambao bado hawajalipwa”
Shinyanga,
Naibu Waziri wa Kilimo ndugu Hussein Bashe amefanya kikao na wadau zao la pamba kujadili

WATAKAOAJIRI WATOTO CHINI YA MIAKA 18 KWENYE TUMBAKU KUKIONA CHA MOTO – MHE HASUNGA \

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akizungumza na waandishi wa habari tarehe 30 Novemba 2019 kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Kilimo Jijini Dar es salaam.
Na Mathias
Canal, Wizara ya Kilimo-Dar es salaam
Waziri wa Kilimo Mhe Japhet
Hasunga (Mb) amesisitiza marufuku yake aliyoitoa hivi karibuni

Jumia closes Tanzania unit amid drop in share price

Tanzania in ‘second’ place as Africa’s top safari destination

 
By Alawi Masare @AMasare malawi@tz.nationmedia.com

Gender based violence in the digital space

Young women busy browsing. Digital citizenship
Young women busy browsing. Digital citizenship should be about harnessing the internet in broader civic life and driving social progres. PHOTO | FILE 
On Monday, Tanzania and the rest of the world embarked on the 16 Days of Activism Against

East Africa Community focuses on $6.4bn in intra-trade


 
It was a sweet resolution expected of any meeting of advocates of regional business integration.
By Zephania Ubwani @The CitizenTz news@tz.nationmedia.com

ACT-Wazalendo wades into health insurance debate

Row convicts win big at Africa court

The African Court for Human and Peoples’ Rights (AfCHPR) yesterday made the consequential order that Tanzania takes steps to expunge from its Penal Code the mandatory imposition of the death
By Alex Malanga @ChiefMalanga news@thecitizen.co.tz

BENKI KUU YAKANA KUJIHUSISHA NA FEDHA ZA KIMTANDAO (CYPTOCURRENCIES)


 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI BENKI KUU YAKANA KUJIHUSISHA NA FEDHA ZA KIMTANDAO
Benki Kuu ya Tanzania imeonya kuacha mara moja kuihusisha na shughuli za fedha za kimtandao (cyptocurrencies) kunakofanya na baadhi ya watu wanaojihusisha na biashara hiyo haramu. Watu hao, ambao wanaleta usumbufu hapa

BODI YA URATIBU WA NGOs YATEMBELEA MIRADI YA PLAN INTERNATIONAL JIJINI MWANZA



Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Bi. Vickness Mayao akifafanua jambo kwa vijana wa kikundi cha Shilabela wanaonufaika na mradi wa Vijana Maisha ni Kazi unaotekelezwa na Shirika la Plan International Buhongwa jijini Mwanza wakati Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali  ilipokuwa inatembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.

Mwezeshaji kutoka Shirika la Amani Girls Home Bw. Mang’olo Shoma Bahati akieleze jinsi Mradi wa Vijana Maisha ni Kazi unaotekelezwa na Shirika la Plan International ulivyowasaidia vijana wa Kikundi cha Shilabela cha Buhongwa wakati Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali  ilipokuwa inatembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika.

Afisa Miradi kutoka Shirika la Plan International Bw. Nicodemas Gachu akielezea kuhusu utekelezaji wa Miradi inayotekelezwa na Shirika hilo wakati Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali ilipotembelea Miradi inayotekelezwa na Shirika hilo mkoani Mwanza katika ufuatiliaji wa mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.

Mwenyekiti wa Bodi ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Dkt. Richard Faustine Sambaiga (Mwenye koti) akikabidhi mchango wa jamii kwa mmoja wa mjumbe wa kikundi cha Shilabela kilichopo Buhongwa jijini Mwanza wakati Bodi hiyo ilipokuwa inatembelea Mashirika yaliyopo Kanda ya Ziwa mkoani Mwanza kufuatilia mwenendo wa utekelezaji wa miradi katika Mashirika hayo.

TARURA watakiwa kushughulikia maeneo korofi msimu wa mvua


Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (wa mbele) akitoka kuangalia daraja la mto Kanteza linalowaunganisha wananchi na kituo cha afya cha Laela, Wilayani Sumbawanga, daraja ambalo limetengewa shilingi milioni 163.2 katika mwaka wa fedha 2019/2020 huku kazi zikiwa zinaendelea.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (wa mbele) akitoka kuangalia daraja la mto Kanteza linalowaunganisha wananchi na kituo cha afya cha Laela, Wilayani Sumbawanga, daraja ambalo limetengewa shilingi milioni 163.2 katika mwaka wa fedha 2019/2020 huku kazi zikiwa zinaendelea.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (kulia) akizungumza na baadhi ya wananchi wa mji mdogo wa Laela juu ya adha wanayoipata kabla ya dalaja la mto Kanteza kuanza kutengenezwa na kutaka kujua maoni yao juu ya ujenzi huo muda mfupi baada ya kukagua daraja hilo.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akimkabidhi zawadi ya pesa mmoja wa mtoto wa wananchi aliokuwa akizungumza nao kupata maoni juu ya ujenzi wa daraja la mto Kanteza katika mji mdogo wa Laela.
********************************
Wakala wa Barabara za mijini na Vijijini (TARURA) wametakiwa kuhakikisha Barabara zote za Vijijini zinapitika mwaka Mzima kwa kufanyiwa matengenezo na endapo

MH.UMMY MWALIMU AZINDUA CHUMBA CHA KUHIFADHI MAJOKOFU YA UMEME KWENYE ZAHANATI YA NYAKASUNGWA WILAYANI SENGEREMA.



***********************************
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amezindua chumba cha kuhifadhia majokofu yanayotumia umeme wa jua kwenye zahanati ya

Somali fishermen get boost with new boats

Fishing vessels
One of the 12 vessels donated by the EU and delivered by FAO to the fishing cooperatives in Somalia’s Puntland State on November 28, 2019.PHOTO | FAO 

Safaricom, Posta partner for digital post boxes

Mpost
Kenya's Cabinet Secretary for Information and Communication Technology Joe Mucheru (centre) poses for a photo with Posta Kenya and Safaricom executives during the launch of MPost in Nairobi on November 29, 2019. PHOTO | POSTA KENYA 

Tanzania gas project faces further delays

A gas plant in Ghana
A natural gas processing plant. Tanzania’s liquefied natural gas project has been in the planning for five years. PHOTO | AFP