Wednesday, August 31, 2016

BAT, health campaigners clash over new rules

Money Markets
BAT Kenya factory in Nairobi. PHOTO | FILE
BAT Kenya factory in Nairobi. PHOTO | FILE 
By BRIAN NGUGI, bnjoroge@ke.nationmedia.com
In Summary
  • BAT Kenya warned the policy set to be effected on September 26 may incentivise a boom in illicit trade in tobacco products that will hurt the health of Kenyans.
  • Health campaigners, however, lashed out at the claims and backed the speedy implementation of the new rules as they would promote “the health of Kenyans”.

Loans Board spendthrift shocks Bunge team

 


BERNARD LUGONGO in Dodoma

HIGHER Education Students’ Loans Board (HESLB) came under condemnation here yesterday, with the Parliamentary Public Accounts Committee (PAC) questioning its administrative spendthrift during the 2014/15 fiscal year.

World ‘moves’ to Tanzania as solar eclipse occurs today

LYDIA SHEKIGHENDA
TANZANIANS and other international visitors will today witness the annular solar eclipse that will be witnessed in Rujewa and Wang’ing’ombe in Mbeya and Njombe regions respectively.

poaching brings ivory price down in Far East market

SYLIVESTER DOMASA
THE price for smuggled ivory has significantly dropped in the Hong Kong black market, signifying a fall in demand for the prized trophy, success in the intensified war against poaching and impending collapse of the world’s biggest trafficking syndicate for the item.

MeTL employee loses appeal, to pay employer 35m/-

DAILY NEWS Reporter
THE Court of Appeal has rejected an appeal by former manager with Mohamed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) Shafee Taherali, challenging the ruling that required him to pay over 35m/- to compensate the loss he had allegedly incurred in the course of his duties.

MPs reject proposal raising core capital for banks to Sh5bn

The MPs took the decision after CBK governor Patrick Njoroge (pictured) opposed raising of banks capital to Sh5 billion. PHOTO | FILE
The MPs took the decision after CBK governor Patrick Njoroge (pictured) opposed raising of banks capital to Sh5 billion. PHOTO | FILE 
By EDWIN MUTAI, emutai@ke.nationmedia.com
In Summary
  • The MPs voted by acclamation to overturn recommendations made by the Treasury to raise minimum core capital from the current Sh1 billion to Sh5 billion by 2019 to enhance system stability.

Officials face hell over missing money

FORMER Director General with the National Identification Authority (NIDA), Dickson Maimu
Siha District Executive Director (DED), Mr Valerian Juwal, said here yesterday that he had smelled a rat in connection with how the funds were allegedly spent on teachers’ transfers; purchases of desks and motivation, without any retirement procedure.

Nomads for trachoma treatment

HAZLA OMAR in Arusha
TRACHOMA, the serious eye infection which can even lead to blindness, remains a major problem among nomadic cattle grazers who cannot be pinned down to receive treatments.

Banks stocks on the up following days of rout

Money Markets
Stock traders at the Nairobi Securities Exchange. Almost all bank stocks rose by the allowable 10 per cent margin in a day during yesterday’s trading. PHOTO | FILE
Stock traders at the Nairobi Securities Exchange. Almost all bank stocks rose by the allowable 10 per cent margin in a day during yesterday’s trading. PHOTO | FILE 
By GEOFFREY IRUNGU, girungu@ke.nationmedia.com
In Summary
  • With banking shares comprising 71 per cent of the market turnover Wednesday, the Nairobi Securities Exchange (NSE) 20 Share Index gained 62.01 points to stand at 3178.83.
  • Analysts warned that an equilibrium was yet to be reached because banks were still awaiting some guidelines on the implementation of the new law.

Nida boss' bail application faces deadlock

FAUSTINE KAPAMA

BAIL application by former National Identification Authority (NIDA) Director General Dickson Maimu and seven others remains in limbo following a u-turn by the prosecution over the 1.2bn/- case.

Centum raises stake in Sidian Bank to 74pc after rights issue

Corporate News
Centum Capital managing director Fred Murimi. PHOTO | DIANA NGILA
Centum Capital managing director Fred Murimi. PHOTO | DIANA NGILA 
By HERBLING DAVID, hdavid@ke.nationmedia.com
In Summary
  • Centum took up its rights and that of some of the minority owners who failed to provide their share of new capital in the transaction.

Row over Mbowe Hotels Ltd, NHC spirals

DAILY NEWS Reporter
THE setting-up of Club Bilicanas without the approval of the landlord as well as inflating costs for renovation and rehabilitation for the building to the tune of 1.3bn/- are among factors that worsened relations between the National Housing Corporation (NHC) and Mbowe Hotels Limited (MHL).

Betting craze powers mobile money to 20 per cent growth

Money Markets
Safaricom on Wednesday described betting as simply one of the many uses of the M-Pesa platform. PHOTO | FILE
Safaricom on Wednesday described betting as simply one of the many uses of the M-Pesa platform. PHOTO | FILE 
By DAVID HERBLING and CHARLES MWANIKI
In Summary
  • A total Sh1.59 trillion moved through the mobile platforms in the first six months of the year.
  • Telecoms operators said betting had added impetus to mobile money’s steady rise since it was first launched in Kenya nine years ago.

WAZIRI PROF.MBARAWA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA JAPANI KUJADILI FURSA MBALIMBALI KATIKA SEKTA YA MIUNDOMBINU

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akizungumza na Ujumbe kutoka Japani ulipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam kuajadili fursa mbalimbali zinazopatikana katika sekta ya Miundombinu. Kulia kwake ni Rais wa chama cha maendeleo ya Uchumi wa Afrika Bw. Tetsuro Yano.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akimuonyesha Rais wa chama cha maendeleo ya Uchumi wa Afrika Bw. Tetsuro Yano na ujumbe wake taarifa ya maendeleo ya Miundombinu
nchini, walipomtembelea ofisini kwake Jijini Dar es salaam.
Rais wa chama cha maendeleo ya Uchumi wa Afrika Bw. Tetsuro Yano (wa nne kulia) akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es salaam kuajadili fursa mbalimbali zinazopatikana katika sekta ya Miundombinu.

RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA MWENYEKITI WA TAASISI YA AFRICA MATTER LIMITED YA UINGEREZA MHE. LYNDA CHALKER

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Taasisi ya Africa Matters Limited ya Uingereza Mhe. Lynda Chalker aliyemtembelea kwa mzungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 31, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimkaribisha kuketi Mwenyekiti wa Taasisi ya Africa Matters Limited ya Uingereza Mhe. Lynda Chalker aliyemtembelea kwa mzungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 31, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Mwenyekiti wa Taasisi ya Africa Matters Limited ya Uingereza Mhe. Lynda Chalker aliyemtembelea kwa mzungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 31, 2016

NDEGE SHIRIKA LA MAREKANI YATIKISIKA ANGANI NA KUJERUHI WATU 12

WATOTO WA KIKE WA UINGEREZA HAWANA FURAHA NA MAISHA YAO

TAMASHA LA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA KASKAZINI KUFANYIKA SEPTEMBER 11

MAMA WA MITINDO NA YASIN KAPUYA KUIWAKILISHA TANZANIA MAREKAN

Cuban firms invited to invest in sugar, drugs

DAILY NEWS Reporter

President John Magufuli greets Cuban Ambassador to Tanzania, Mr Jorge Lopez Tormo, who paid a courtesy call on him at the State House in Dar es Salaam yesterday. (Photo by State House)
PRESIDENT John Magufuli has told Cuban business people to invest in the country’s sugar industry as well as medicine and diagnostic tools production.

Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Victoria magharibi, Mayigi Makobela, akizungumza katika ufunguzi wa Mafunzo ya Watetezi wa Haki za Binadamu yanayofanyika Jijini Mwanza.
Na George Binagi-GB Pazzo @BMG
Serikali imeshauriwa kutoa ushirikiano kwa watetezi wa haki za binadamu ili kurahisisha utendaji kazi wao badala ya kuwaona watetezi hao kama wachochezi katika jamii na wakati mwingine kuwafungulia mashitaka.
Ushauri huo umetolewa hii leo Jijini Mwanza na Mratibu wa Taifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, Onesmo Olengurumwa, kwenye mafunzo ya siku tatu kwa watetezi wa haki za binadamu kutoka mikoa mbalimbali nchini.
Amesema katika baadhi ya maeneo kama Loliondo mkoani Arusha kwenye mgogoro wa ardhi kati ya wananchi na mwekezaji, watetezi wa haki za binadamu wamechukuliwa kama wachochezi na kufunguliwa mashitaka jambo linalosababisha baadhi yao kushindwa kutekeleza majukumu yao na wengine kuacha kabisa shughuli za utetezi.
Akifungua Mafunzo hayo, Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Victoria magharibi, Mayigi Makobela, amesema serikali itaendelea kuwaelimisha wachimbaji wadogo ili waifahamu vyema sheria ya madini namba 4 ya mwaka 2010 ili kupunguza migogoro iliyopo na kwamba imetenga zaidi ya hekta elfu 12 kwa ajili ya wachimbaji wadogo wadogo wa madini.
Pia amesema serikali imetenga shilingi bilioni 6.6 kwa ajili ya ruzuku kwa wachimbaji wadogo na kuwahimiza kujiunga kwenye vikundi ili wapatiwe ruzuku hiyo.
Baadhi ya washiriki wamesema mafunzo hayo yatawasaidia kuimarisha utendaji wao wa kazi jambo litakalowasaidia kutimiza vyema wajibu wao katika jamii bila kuonekana wachochezi huku pia wakiwa katika upande salama dhidi ya maisha yao.
Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Victoria magharibi, Mayigi Makobela, akizungumza katika ufunguzi wa Mafunzo ya Watetezi wa Haki za Binadamu yanayofanyika Jijini Mwanza.
Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini Kanda ya Ziwa Victoria magharibi, Mayigi Makobela, akizungumza na wanahabari nje ya Mafunzo ya Watetezi wa Haki za Binadamu yanayofanyika Jijini Mwanza.
Mratibu wa Taifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, Onesmo Olengurumwa, akizungumza katika ufunguzi wa Mafunzo ya Watetezi wa Haki za Binadamu yanayofanyika Jijini Mwanza.
Mratibu wa Taifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, Onesmo Olengurumwa, akizungumza katika ufunguzi wa Mafunzo ya Watetezi wa Haki za Binadamu yanayofanyika Jijini Mwanza.
Mratibu wa Taifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, Onesmo Olengurumwa, akizungumza na Wanahabari nje ya ufunguzi wa Mafunzo ya Watetezi wa Haki za Binadamu yanayofanyika Jijini Mwanza.
Mmoja wa washiriki wa semina hiyo akihojiwa na wanahabari
Miongoni mwa washiriki wa semina hiyo akihojiwa na wanahabari
Mmoja wa washiriki wa semina hiyo akihojiwa na wanahabari
Washiriki wa Semina
Mwonekano kwenye semina
Picha ya pamoja
S

 Mkuu wa Usalama Barabarani Wilaya ya Ilala, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Peter Mashishanga (kulia), akimkabidhi cheti, Mpoki Mwasunga, baada ya kuhitimu mafunzo ya udereva ya mwezi mmoja katika chuo cha udereva cha Nyato's kilichopo Majohe Bomba mbili Manispaa ya Ilala Dar es Salaam leo. Wahitimu 19 ambao ni walemavu walihitimu mafunzo hayo.
 Mkurugenzi wa shule hiyo Wilfred Nyato (kulia), akizungumza kwenye hafla hiyo.
 Mkuu wa Usalama Barabarani Wilaya ya Ilala, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Peter Mashishanga, akiangalia  alama ya usalama barabarani. Kushoto ni Mwenyekiti wa Taifa wa Kamati ya Taifa ya Usalama Barabarani kwa watu Wenye Ulemavu, Kabateke Jutoram na Mkurugenzi wakitengo cha Elimu kwa Umma kikosi cha Usalama barabarani nchini,Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP),Mossi Ndozero.
 Wahitimu wakiwa kwenye hafla hiyo.
Mshairi, Kiiza Amani akitoa burudani kwenye hafla hiyo.
 Mkuu wa Usalama Barabarani Wilaya ya Ilala, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Peter Mashishanga (katikati), akihutubia kwenye hafla hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Taifa wa Kamati ya Taifa ya Usalama Barabarani kwa watu Wenye Ulemavu, Kabateke Jutoram na Mkurugenzi wakitengo cha Elimu kwa Umma kikosi cha Usalama barabarani nchini,Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP),Mossi Ndozero.
Mkurugenzi wakitengo cha Elimu kwa Umma kikosi cha Usalama barabarani nchini,Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP),Mossi Ndozero, akitoa neno kwenye mkutano huo.

H
 Mkuu wa Usalama Barabarani Wilaya ya Ilala, Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP), Peter Mashishanga (kushoto), akimkabidhi cheti, mhitimu, Subira Semsimbazi.
Hapa James Hizza akipokea cheti chake.
Sikujua Mbwembwe, akikabidhiwa cheti chake.
Wahitimu wakionesha vyeti vyao.
Stafu Sajeni, Enock Machunde akitoa darasa kwa hitimu hao kuhusu sheria za usalama barabarani.
Koplo, Faustina Ndunguru, akizungumza kwenye mkutano huo.

Na Dotto Mwaibale

WATU Jamii ya walemavu ambao ni maderava wa vyombo vya moto wametakiwa kujitokeza kwenye shule mbalimbali za udereva ili kupata mafunzo ya udereva ikiwa pamoja na kupata leseni kabla ya kutumia vyombo hivyo.

Wito huo umetolewa Dar es Salaam leo na Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa kipolisi wa Ilala,Peter Mashishanga wakati akiwatunuku vyeti walemavu 19 ambao wa mefunzo ya mwenzi mmoja katika shule ya udereva ya Nyato's iliyopo Majohe Bomba mbili Manispaa ya Ilala.

Alisema kuwa ipo haja ya walemavu ambao wanamiliki vyombo vya moto na kuendesha vyombo hivyo kabla hawajaingia barabarani ni vema wakapata mafunzo ya kujuwa alama,kanuni na sheria za usalama barabarani.

"Ni muhimu kwa kundi hili ambalo leo mmepata vyeti vya kuhitimu mafunzo ya udereva kwenda kuwa mabalozi kwa wengine ambao hawajapata fursa ya kupata mafunzo kama  nyie kwenda  kuwahamasisha ili wajiunge katika vyuo vya udereva ikiwamo chuo hiki cha Nyato's ambacho kimeaza mpango wa kutoa mafunzo haya kwa nchi nzima kwa kushirikiana Kamati ya Taifa ya Usalama Barabarani kwa watu Wenye Ulemavu."alisema Mashishanga

Aidha aliwaeleza wahitimu hao kuwa wahakikishe  wanakwenda kupata majaribio kwa wa kufunzi wa kikosi cha Usalama barabarani ili wapate leseni zitakazo wafanya waweze kuendesha vyombo vya vya moto.

Kwaupande wake Mkurugenzi wakitengo cha Elimu kwa Umma kikosi cha Usalama barabarani nchini,Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP),Mossi Ndozero alisema kuwa ni muhimu kwa wahitimu hao kwenda kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwa pamoja na kuvaa kofia ngumu,na kutozidisha abiria.

Naye Mkurugenzi wa shule hiyo Wilfred Nyato alishukuru kwa ushirikiano uliopo kati ya   Jeshi hilo na taasisi yake ambapo pia ametoa  ofa ya kusoma bure kwa mlemavu Thomas Kone ambaye hivi karibuni alipata msaada wa bajaji kutoka kwa Rais Dk. John Magufuli.

Nyato alisema kuwa kimeazisha mpango wa kutoa mafunzo  ya udereva kwa kushirikiana na kamati ya  Taifa ya usalama kwa watu wenye ulemavu kwa lengo la kukabiliana na matukio ya ajali za barabarani.

(Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)



RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemthibitisha Bw. Gerson Partinus Msigwa, (pichani) kuwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Rais, (Directorate of Presidential Communication - DPC).
Taarifa iliyotolewa leo Jumatano Agosti 31,2016 na Katibu Mkuu Ikulu Bw. Peter Ilomo imeeleza kuwa Bw. Gerson Partinus Msigwa amethibitishwa kuanzia leo tarehe 31 Agosti, 2016 kushika wadhifa huo.
Kabla ya uthibitisho huo, Bw. Gerson Partinus Msigwa alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano ya Rais, katika Ofisi ya Rais Ikulu kuanzia tarehe 17 Novemba, 2015.
Awali kabla ya kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa alikuwa mtangazaji wa Televisheni ya Taifa TBC mkoani Ruvuma

 Gerson Msigwa akiwa na Mke wake Catherine Nyoni kwenye moja ya hafla
 Akiwa Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Msigwa (wapili kulia), akimsaidia mtangazaji wa ITV, kuripoti wakati wa ziara ya Rais John Pombe Magufuli hivi karibuni wilayani Chato
Msigwa wakati akiwa mtangazaji wa TBC, akifanya moja ya mahojiano


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha ACP Sida Mohamed Himid kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, anayeshuhulikia Idara Maalum za SMZ,katika  hafla iliyofanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo Agosti 31, 2016. (PICHA NA IKULU YA ZANZIBAR)

 Rais Shein  akimkabidhi vitendea kazi ACP Sida
 Rais akisaini kiapo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Nd,Hassan Khatib Hassan  kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto,atayeshuhulikia masuala ya Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto,katika  hafla iliyofanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja
Baadhi ya Mawaziri wa Wizara za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Viongozi katika taasisi mbali mbali walioteuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja
Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe,Zubeir Ali Maulid (kulia) na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu ni miongoni mwa Viongozi waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Viongozi wa Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja

Makamanda Wakuu wa Vikosi vya SMZ walihudhuria katika hafla ya kuapishwa Viongozi wa taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi, walioteuliwa na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo