Tuesday, May 31, 2022

BENKI YA NBC YATOA MAFUNZO KWA WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 200 KILIMANJARO, YAWAWEKA KARIBU WATEJA WAKE

Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Taifa ya Biashara Dk Kassim Hussein (watatu kushoto), akikabidhi cheti cha kuhudhuria mafunzo ya uboreshaji wa uwendeshaji Biashara kwa Mteja wa Benki hiyo Procles Visent wakati wa hafla ya mafunzo hayo yalioandaliwa na Benki ya Nbc, Mkoa wa moshi wengine pichani kutoka kushoto ni Mkuu wa Kigengo cha wajasiliamali wa Benki ya Nbc Mussa Mwinyidaho, Mkurugenzi wa Biashara Elvis Ndunguru pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC, Nd Elibariki Masuke
Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC Elvis Ndunguru (wapili kushoto) akitoa cheti cha kuhudhuria mafunzo ya uboreshaji wa uwendeshaji Biashara kwa  Mteja wa Nbc  Mkoa wa Moshi Laija  Mtenga wakati wa hafla ya mafunzo ya uboreshaji wa uwendeshaji Biashara yaliyotolewa kwa wateja wa NBC Mkoa wa Moshi wengine pichani ni Mkuu wa Kigengo cha wajasiliamali wa Benki hiyo Mussa Mwinyidaho, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NBC Dk Kassim pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC, Nd Elibariki Masuke.
Maofisa kutoka Benki ya NBC na uongozi wa mkoa wa Moshi wakiwa katika picha ya pamoja na Wahitimu wa mafunzo ya uboreshaji wa uwendeshaji Biashara yaliyotolewa na Benki ya Biashara NBC.

BENKI ya NBC imeendesha mafunzo ya ujasiriamali na uendeshaji wa biashara kwa wajasiriamali wa Mkoa wa Kilimanjaro kwaajili ya kuwaongezea ujuzi wa

Serikali Yawaunga Mkono TBL Na Vodacom Katika Jitihada Za Kuinua Kilimo


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, akizungumza waandishi wa habariDar es Salaama jana baada ya kuzindua Mfumo wa mtandao wa malipo kwa wakulima unaojulikana kama ‘BanQu’ wa Kampuni ya TBL na Vodacom Tanzania Plc kupitia M-Pesa, Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom, Sitholizwe Mdlalose na Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Jose Moran.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa mtandao wa malipo kwa wakulima unaojulikana kama ‘BanQu’ wa Kampuni ya TBL na Vodacom Tanzania Plc kupitia M-Pesa, Dar es Salaam

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye(wa tatu kushoto) akiwa na Wakurugenzi wa Makampuni ya TBL na Vodacom Tanzania Plc wakifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa Mfumo wa mtandao wa malipo kwa wakulima unaojulikana kama ‘BanQu’ , Dar es Salaam jana
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom, Sitholizwe Mdlalose, akifafanua jambo wakati wa kuzindua Mfumo wa mtandao wa malipo kwa wakulima unaojulikana kama ‘BanQu’ wa Kampuni ya TBL na Vodacom Tanzania Plc kupitia M-Pesa, Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Jose Moran akielezea jambo wakati wa kuzindua Mfumo wa mtandao wa malipo kwa wakulima unaojulikana kama ‘BanQu’ wa Kampuni ya TBL na Vodacom Tanzania Plc kupitia M-Pesa, Dar es Salaam leo Mei 31, 2022 jijini Dar es Salaam.

Na Karama Kenyunko Michuzi TV

SERIKALI inaunga mkono jitihada za Kampuni ya Vinywaji vikali ya TBL na Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania kwa kunyanyua uchumi kupitia kilimo kwa

WANANCHI 437 WAMEFANYIWA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA MOYO NA KISUKARI AMBAPO ASILIMIA 60 WAMEKUTWA NA MATATIZO

Afisa kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Aliston Jovin akiwagawia vipeperushi vinavyoelezea huduma za matibabu zinazotolewa na JKCI wananchi waliofika katika Hospitali ya Halmashauri ya Chalinze iliyopo Msoga kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo uliofanywa na wataalam wa moyo kutoka JKCI katika Halmashauri hiyo iliyopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
Afisa Uuguzi kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rahabu Tamba akimpima urefu na uzito mwananchi aliyefika katika Hospitali ya Halmshauri ya Chalinze iliyopo Msoga wilayani Bagamoyo kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa magonjwa ya moyo uliokua ukifanywa na wataalam wa moyo kutoka JKCI kwa wananchi wa Chalinze.
 Daktari kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Magreth Ng’ondya akimuelezea mwananchi umuhimu wa kutumia dawa za shinikizo la damu wakati wa upimaji wa magonjwa ya moyo, kisukari na shinikizo la damu uliofanywa na wataalam wa moyo kutoka taasisi hiyo kwa wananchi wa Chalinze kwa siku mbili na kumalizika jana katika Hospitali ya Halmashauri ya Chalinze iliyopo msoga Wilayani Bagamoyo.
 Daktari kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Janeth Mmari akisoma majibu ya vipimo vilivyofanywa na mwananchi wa Chalinze baada ya kufanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo na kisukari wakati wa upimaji uliyofanywa na wataalam wa moyo kutoka JKCI kwa wananchi wa Halmashauri ya Chalinze iliyopo wilayani Bagamoyo.
Mkuu wa Kitengo cha Mafunzo na Tafiti kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kiwetwe (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akimpima mwananchi wa Halmashauri ya Chalinze kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echo-Cardiograph) wakati wa upimaji uliofanywa na wataalam wa moyo kutoka JKCI kwa wananchi hao siku mbili katika Hospitali ya halmashauri hiyo iliyopo Msoga wilayani Bagamoyo.
Wataalam wa moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa upimaji maalum uliofanyika kwa siku mbili kwa wananchi wa Chalinze kuchunguza magonjwa ya moyo, kisukari na shinikizo la damu katika Hospitali ya Halmashauri ya Chalinze iliyopo msoga wilayani Bagamoyo. Picha na JKCI

Na Mwandishi Maalum – Chalinze, Pwani 
Wananchi 437 wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya moyo na kisukari ambapo asilimia 60 wamekutwa na tatizo la shinikizo la juu la damu (Presha) na asilimia 20 ya waliokutwa na tatizo hilo tayari walishapata madhara ya shinikizo la juu la damu ikiwa ni pamoja na

KATIBU MKUU DKT. JINGU “SAFARI CHANELI KUITANGAZA NCHI YETU”


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Dkt. John Jingu akiongoza kikao kazi cha Makatibu Wakuu wa Wiazra wadau wa Tanzania Safari Channel (TSC) walipokutana katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 30 Mei, 2022.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Jim Yonazi akichangia jambo wakati wa kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara wadau wa Tanzania Safari Channel (TSC) Jijini Dodoma.

Baadhi ya wajumbe wa kikao cha Makatibu Wakuu wa Wizara wadau wa Tanzania Safari Channel (TSC) wakifuatilia kikao hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa TBC Dkt. Ayubu Ryoba akizungumza wakati wa kikao kazi cha Makatibu Wakuu wa Wizara wadau wa Tanzania Safari Channel (TSC) Jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Bw. Kaspar Mmuya akifafanua jambo wakati wa kikao hicho.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru akichangia hoja wakati wa kikao hicho.

KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu ameeleza kuwa uwepo wa safari chaneli ni fursa ya kipekee kuendelea kuitangaza nchi yetu ndani na nje na kuchagiza ukuaji wa uchumi.

TANAPA YAPONGEZWA KWA JUHUDI ZA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII









Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) limepongezwa kwa juhudi kubwa inazofanya za kutangaza vivutio vya utalii. 

PROF. MBARAWA ARUHUSU MAGARI KUPITA JUU BARABARA YA CHAN'GOMBE

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuruhusu kuanza kutumika kwa njia moja katika barabara ya Juu Chang'ombe Jijini Dar es Salaam leo ili kupunguza msongamano wa magari katika Barabara ya Nyerere.
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), Eng. Rogatus Mativila (katikati), alipokagua na kuruhusu kuanza kutumika kwa njia moja katika barabara ya Juu Chang'ombe Jijini Dar es Salaam leo ili kupunguza msongamano wa magari katika Barabara ya Nyerere.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), Eng. Rogatus Mativila (katikati), akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kabla ya kuruhusiwa kwa magari kuanza kupita katika barabara ya Juu Chang'ombe Jijini Dar es Salaam leo.
Taswira ya magari yakipita njia moja katika barabara ya Juu Chang'ombe Jijini Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari katika Barabara ya Nyerere.
Gari la Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, pamoja na la Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), Eng. Rogatus Mativila yakipita kuashiria kuanza kutumika kwa njia moja katika barabara ya Juu Chang'ombe Jijini Dar es Salaam ili kupunguza msongamano wa magari katika Barabara ya Nyerere.

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa leo ameruhusu kuanza kutumika kwa njia moja ya barabara ya Juu Chang'ombe ili kupunguza msongamano wa magari katika Barabara ya Nyerere Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza kabla ya kuanza kutumika kwa barabara hiyo, Prof. Mbarawa amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), Eng. Rogatus Mativila kushirikiana na Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani kuhakikisha magari yanayotumia njia hiyo kwa sasa yanazingatia sheria za mwendo kwani bado ujenzi unaendelea eneo hilo.

Alisema kutumika kwa barabara hiyo kutasaidia kupunguza msongamano hivyo, kuwasaidia watumiaji wa barabara hiyo wapate muda wa kutosha kufanya shughuli zao kwani msongamano katika eneo hilo unawapotezea muda.

Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Eng. Mativila amemhakikishia Mhe. Waziri Mbarawa kuwa ujenzi wa barabara hiyo ambayo ni Awamu ya Pili ya Mradi wa Mabasi yaendayo kwa haraka BRT2 utakamilika kwa ubora na kwa wakati.

Eng. Mativila amesema ujenzi wote wa Barabara za Juu za Chang'ombe na Chuo cha Uhasibu unatarajiwa kukamilika Oktoba mwaka huu.

Imetolewa na Kitengo cha Habari na Mawasilino Serikalini Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi.

DRC needs to dig deeper in mines for electric cars battery minerals

Cobalt plant.

A man watches a conveyor belt loaded with chunks of raw cobalt at a plant in Lubumbashi, DR Congo, before it is exported, mainly to China, to be refined. PHOTO | AFP

By VINCENT OWINO

Electric vehicle (EV) sales hit a record high in 2021, accounting for 10 percent of

Enthusiasts gather to celebrate Bitcoin’s 12th anniversary

Bitcoin.

Every year on May 22, cryptocurrency enthusiasts gather to commemorate the World Bitcoin Pizza Day in celebration of the day when the digital currency was first used in a real-world transaction. PHOTO | FILE

By VINCENT OWINO

Every year on May 22, cryptocurrency enthusiasts in different cities across the globe gather to commemorate the World Bitcoin Pizza Day, in celebration of the day when

Pope to visit South Sudan, DRC in July despite health issues

Pope Francis.

Pope Francis holds an audience on March 16, 2022 at St. Peter's basilica in The Vatican. PHOTO | FILE

By REUTERS

Vatican City,

Pope Francis is set to make a gruelling trip to two African countries in July despite

Region seeks common ground, skills for youth, in new education systems

A class session in Entebbe.

Florence Nakijoba, a Chinese language teacher, interacts with students during a lesson at Entebbe Comprehensive Secondary School in Wakiso, Uganda, April 5, 2022. PHOTO | XINHUA via AFP

By FAITH NYAMAI
By BOB KARASHANI

Governments in the East African region see adjustments in their respective education system as one long-term solution to joblessness. But, while countries in the region all

Parallel exchange rates in Kenya emerge as dollar shortage bites

Dollars.

The shortage of dollars in Kenya is triggering the emergence of parallel exchange rate. PHOTO | FILE

By CONSTANT MUNDA

The shortage of dollars in Kenya is triggering the emergence of parallel exchange rate that has seen lenders buying and selling well above the printed official rate, the

AfDB President Akinwumi Adesina in Kenya for four-day tour

Akinwumi Adesina, the president of the African Development Bank.

Akinwumi Adesina, the president of the African Development Bank. PHOTO | POOL | AFP

By VINCENT OWINO

The President of the African Development Bank (AfDB), Dr Akinwumi Adesina, is in Nairobi for a four-day tour of the country, in which he will inspect key projects of the