Thursday, March 31, 2016

Bank holdings of public debt surpass Sh900bn

The Treasury building in Nairobi. PHOTO | FILE
The Treasury building in Nairobi. PHOTO | FILE 
By CHARLES MWANIKI, cmwaniki@ke.nationmedia.com
In Summary
  • Banks have raised their holdings of government debt by Sh60 billion since the beginning of the year to go past the Sh900 billion mark even as interest rates fall and margins on customer loans remain healthy.
  • The lenders held government debt worth Sh908.6 billion by March 18 up from Sh848.1 billion at the beginning of the year, CBK data shows.

Weak currencies in Comesa region hit Kenyan exports

Workers package avocados for export at the Eldoret International Airport. PHOTO | FILE |  NATION MEDIA GROUP
By GEOFFREY IRUNGU, girungu@ke.nationmedia.com
In Summary
  • Kenya’s export earnings from Rwanda fell by 32 per cent while those to Tanzania declined by 37 per cent and those to Uganda 0.2 per cent.
  • The decline followed the trend in the depreciation of the currencies in the EAC region and other trading partners in southern Africa.
  • Though Kenya lost some earnings from regional export markets, it gained in other global markets including the United States and the UK. In the UK, export earnings grew by 11.5 per cent and those from the US rose by 5.5 per cent in 2015.

Only 30 more years left for tanzanite



 Introduced to the western world only in 1967, tanzanite is the world’s youngest known gemstone in terms of market presence. This rare gem is so rarer that it is found nowhere else in the world except in Mererani, Arusha Region.

We need to rescue education sector as soon as practicable

 A recent statement by Professor Humphrey Moshi of the University of Dar es Salaam on the current status of education in Tanzania is shocking even though factual.
 
Professor Moshi said Tanzania is of recent years facing what he described  as ‘the demise of education’. He based  the argument on the annual performance of Form Four graduates.

Fish, fruits, tobacco lift local export price index

DAILY NEWS Reporter
THE increase in prices of fish and crustacean, edible fruits and tobacco contributed significantly to the rise of the overall export price index by 4 per cent to 125.3 in the quarter ended December last year.

MCC: This is what Tanzania must do to lift aid suspension


                                               Beth Tritter, MCC vice-president
 The government has been told to outline how it will address concerns about the disputed election re-run in Zanzibar if it wants to reopen a partnership with the Millennium Challenge Corporation (MCC) which has cancelled financial aid worth 1 trillion/- to the country, a senior official of the US agency said yesterday.

Kenya now to build own oil pipeline if Uganda plan flops

                                                Energy Principal Secretary Joseph Njoroge
 
Kenya may build its own pipeline to transport oil from the northern Turkana region to a port along the coast if a proposal to build one jointly with Uganda falls through, the country’s Energy Principal Secretary Joseph Njoroge has said.

FBME Bank vows to fight sanction by US

By The guardian reporter
FBME Bank
 The Tanzanian-based FBME Bank has said it will challenge fresh accusations by the United States Treasury Department that it is continuing to serve as a hub for illicit financial activity.

KQ targets 600 workers for retrenchment starting May

Corporate News
Kenya Airways chief executive Mbuvi Ngunze. PHOTO | FILE
Kenya Airways chief executive Mbuvi Ngunze. PHOTO | FILE 
By NEVILLE OTUKI, notuki@ke.nationmedia.com
In Summary
  • KQ said the staff downsizing was agreed upon by the board, running parallel to asset sales or leasing to free up cash for operations in its turnaround bid.
  • The expected Sh2 billion in savings from the staff cut accounts for 10 per cent of the targeted Sh20 billion the carrier seeks to save in the turnaround plan dubbed Operation Pride.

Members of parliament in court over graft scandal

  The three senior MPs - all members of a key parliamentary oversight committee - are alleged to have conspired in a grand political kickback scheme seeking to extort a 30 million/- bribe. If convicted, they could face up to five years in prison
(from left to right) Alphaxard Kangi Lugola, Suleiman Ahmed Saddiq, and Victor Kilasile Mwambalaswa await their courtroom arraignment yesterday
 
Three prominent members of parliament yesterday appeared before a Dar es Salaam court charged with soliciting bribes from a local government official as allegations of dirty practices continued to threaten to erode the credibility of the country’s top legislative body.

Illegal fishermen remain worrisome

DENNIS FUSSI
                                                                                 Ms Mary Nagu
THE Parliamentary Committee for Agriculture, Livestock and Water has requested President John Magufuli to allow Tanzania People’s Defence Forces (TPDF) to be engaged in conducting frequent patrols in marine parks and reserves in effort to end illegal fishing in the country’s waters.

Isles calls for financial discipline

ISSA YUSSUF in Zanzibar
 
OFFICIALS in Zanzibar’s Second Vice-President’s Office (SVPO) welcome Ambassador Seif Ali Iddi to continue his duty as SVP following his reappointment. The event took place yesterday. (Photo by SVPO)
IN effort to remain economically stable, Zanzibar government has appealed to its public servants to observe financial discipline and cut down unnecessary expenditure.

CMA on the spot as NBK reports Sh1.2bn loss


National Bank CEO Munir Ahmed who was Tuesday suspended along with five other top managers of the bank. PHOTO | FILE  
By HERBLING DAVID, hdavid@ke.nationmedia.com
In Summary
  • NBK did not warn the public that their full-year profits will drop by more than a quarter at least 24 hours before announcement of the results.
  • The lender managed to continue hoodwinking investors and the public through a series of pronouncements and Press statements.

Three MPs in court over graft


FAUSTINE KAPAMA
  • They are Ahmed Saddiq, Kangi Lugola and Victor Mwambalaswa
THREE Members of Parliament (MPs), Ahmed Saddiq (53), Kangi Lugola (54) and Victor Mwambalaswa (63), appeared before the Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam yesterday charged with corrupt transaction.
Saddiq, MP for Mvomero in Morogoro Region, Lugola, the legislator for Mwibara in Mara Region and Mwambalaswa, a lawmaker for Lupa Constituency in Mbeya Region, all on CCM ticket, are alleged to have solicited 30m/- from a District Executive Director (DED) to provide clear recommendations on accounts. Before Principal Resident Magistrate Thomas Simba, the trio pleaded “not guilty” to the charge.
They were granted bail “on one simple condition of securing one surety each’’. Each of the surety, according to the magistrate, was required to sign a bond of 5m/-.
Mr Simba adjourned the case to April 14 when it will come up for another mention -- as investigations into the matter, according to the prosecution, led by a prosecutor from the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) Magela Ndimbo, have not been completed.
The three MPs seemed to have taken their arraignment with ease. They looked calm and composed as they entered the dock. They were seen pumping up their hands, a sign of victory in a war, after the case was adjourned.
Lugola was heard saying that such arraignment would not demoralise them from fighting grafts in the country.
“We will not go back despite these obstacles. Squeezing of boils will continue,” he shouted while in a happy mood at the dock.
The prosecution told the court that the three legislators committed the offence on March 15, this year, at Golden Tulip Hotel at Masaki in Kinondoni District within the City of Dar es Salaam.
Being MPs and members of the Standing Parliamentary Local Authority Accounting Committee (LAAC), the trio allegedly solicited a sum of 30m/- from Mr Mbwana Soud Magotta, the Gairo DED.
Such amount, according to the prosecution, was an inducement so that they could give clear recommendations on the account of the district council for 2015/2016 financial year, the matter was in relation to the affairs of their principal.
The arraignment of the three comes few days after Kigoma Urban MP, Mr Zitto Kabwe (ACTWazalendo) and Nzega MP, Mr Hussein Bashe (CCM) said they would resign from the parliamentary committee to pave way for investigation on reports that some MPs had been involved in corruption.
It has also come after the Speaker of theNational Assembly, Mr Job Ndugai, made changes in the structure of the parliamentary standing committees by dropping six chairpersons and vicechairpersons as well as reshuffling members from one committee to another.
Affected committees include the Parliamentary Committee on Land, Natural Resources and Tourism of which its Chairperson, Ms Mary Mwanjelwa (Special Seats-CCM), has been dropped and moved to the Parliamentary Committee on Industry, Trade and Environment.
Special Seats MP Martha Mlata (CCM) has as well been dropped as Chair of the Parliamentary Committee on Energy and Minerals and she has been shifted to the same committee as Ms Mwanjelwa.
On the other hand, the three vice-chairpersons who were shown the door include Mwibara MP Kangi Lugola (CCM), who acted in that position in the Local Authorities Accounts Committee (LAAC), and Mbinga Urban MP, Mr Sixtus Mapunda (CCM), who was Ms Mwanjelwa’s deputy.
Sumve MP Richard Ndassa (CCM), who headed the Public Investments Committee (PIC), has not been spared either and will now serve as a member in the Parliamentary Committee on Constitutional and Legal Affairs.
The Parliamentary Committee on Community Services Development chaired by Kigoma North MP, Mr Peter Serukamba (CCM), will have to conduct an election to replace its Vice-Chairperson, Dr Raphael Chegeni (Busega- CCM), who has been dropped in the new line-up.
According to the statement, the changes have started with immediate effect. Members of the committees who have been reshuffled include Bukene MP, Mr Selemani Zedi (CCM) from PIC to Parliamentary Committee on Constitutional and Legal Affairs.
The MP for Lupa, Mr Victor Mwambalaswa (CCM), has been moved from LAAC to the Parliamentary Committee for Foreign Affairs, Defence and Security, in which Dr Chegeni and Mr Lugola have been placed as well.
Urambo East MP Ms Margaret Sitta (CCM) will now serve in the Parliamentary Administration and Local Governments Committee from the Community Services Development Committee whereas Morogoro Urban MP, Mr Abdulaziz Abood (CCM), has been moved to LAAC from the Parliamentary Committee on Industry, Trade and Environment.
On the other hand, Kishapu MP Suleiman Nchambi (CCM) will now serve in the Parliamentary Committee for Constitutional and Legal Affairs from the Industry, Trade and Environment Committee.
The other MPs with their former committees in brackets include Mr Ibrahim Mohammed Raza now in Administration and Local Government (Industry, Trade and Environment) and Kibaha MP Sylvestry Koka (CCM), Foreign Affairs, Security and Defence (Industry, Trade and Environment).
Kilombero MP Peter Lijualikali (Chadema) will now be in the Administration and Local Governments (Community Services Development) and Muleba North MP, Prof Anne Tibaijuka (CCM) will serve in the Parliamentary Committee on Infrastructure Development (Subsidiary Legislations Committee).
Mkinga MP Dunstan Kitandula (CCM) has been moved to Foreign Affairs, Defence and Security (Energy and Minerals Committee) whereas Msalala MP Ezekiel Maige (CCM) is now on Energy and Minerals from Parliamentary Public Accounts Committee.

Assets acquired through corrupt means to be seized


President Uhuru Kenyatta addressing Parliament on March 31, 2016. PHOTO | PSCU
President Uhuru Kenyatta addressing Parliament on March 31, 2016. PHOTO | PSCU 
By EDWIN MUTAI, emutai@ke.nationmedia.com
In Summary
  • A fund has been created where the proceeds of the seized assets will be deposited for use in funding projects that uplift the vulnerable in society.

Ethics team ‘should prosecute’

LUDOVICK KAZOKA
THE Administration and Local Government Committee has called upon the government to give a legal mandate to the Ethics Secretariat so it prosecutes public servants who violate the Code of Ethics.

REA projects intact despite MCC pullout - Muhongo


THE decision by the Board of Directors of the US Millennium Challenge Corporation (MCC) to suspend partnership with Tanzania will not affect projects under the Rural Electrification Authority (REA), the government has clarified.

MFUKO WA PENSHENI LAPF YAKABIDHI MSAADA WA MABATI 300 SHULE ZA WILAYA YA GEITA


6


Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Generali Mstaafu Ezekiel Kyungu akishuhudia mabati yaliyotolewa ma Mfuko wa Pensheni LAPF kwa ajili ya ujenzi wa madarasa wilayani Geita ikiwa jitihada za Mfuko wa LAPF kuunga mkono jitihada za Serikali kutoa elimu bure. Jumla ya mabati 300 yenye thamani ya Shs. 7,000,000/= yalikabidhiwa.
7 
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Generali Mstaafu Ezekiel Kyungu akikagua mabati yaliyokabidhiwa kama msaada na mfuko wa Pensheni wa LAPF wilayani Geita, kulia ni Meneja Masoko wa Mfuko wa LAPF Bw. James Mlowe wengine ni maofisa kutoka wilaya ya Geita.
9 
Mkuu wa Mkoa wa Geita akitoa neno la shukrani kwa Mfuko wa Pensheni LAPF kwa msaada wa mabati 300 yanayotosheleza kuezeka vyumba sita (6) vya madarasa yanayoweza kuchukua wanafunzi 45 kwa kila chumba na hivyo kupunguza tatizo la ukosefu wa mazingira bora ya kufundishia.
 
8 
Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Generali Mstaafu Ezekiel Kyungu akiteta jambo na Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni LAPF pamoja na mbalimbali wa Wilaya ya Geita mara baada ya makabidhiano ya msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa.

PICHA NA MPIGA PICHA WETU

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA NAIBU WAZIRI WA SHERIA NA KATIBA

mpanjuMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Sheria na Katiba Ndugu Amon Mpanju wakati Naibu Mpanjo alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo March 31, 2016.(Picha na OMR)

SERIKALI KUPITIA UPYA MIKATABA YA TRL

10Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (katikati) akimsikiliza mmoja wa abiria anayetumia usafiri wa reli ya kati mkoani Kigoma. Kushoto ni Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe na Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Saveli Maketta.
11 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), mkoani Kigoma.
12Muonekano wa mabehewa ya treni yakiwa mwisho wa reli ya kati, mkoani Kigoma.
13 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Kapteni wa Meli ya MV Liemba ya namna inavyoendeshwa, mkoani Kigoma.
14 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (wa tatu kulia), akipata ufafanuzi wa namna ya injini za Meli ya MV Liemba zinavyofanya kazi wakati alipotembelea Meli hiyo mkoani Kigoma.
15 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (mwenye kizibao cha njano), akimsikiliza Kapteni Winton Mwassa (wa kwanza kulia), kutoka Kampuni ya huduma za meli mkoani Kigoma mara baada ya kutembelea na kuona hali ya MV Liemba.
……………………………………………………………………
Serikali imeliagiza Shirika la Reli Tanzania (TRL), kupitia upya mikataba ya ununuzi wa vichwa vya treni na mabehewa ili kubaini kasoro zilizojitokeza na kuchukua hatua stahiki kabla ya maboresho ya reli ya Tanga-Moshi-Arusha.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ametoa agizo hilo mkoani Kigoma wakati akikagua miundombinu ya reli na kusissitiza nia ya serikali kufufua reli ya kanda ya kaskazini ili kuimarisha huduma ya uchukuzi katika mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha.
“Kama Serikali tumewekeza vya kutosha katika TRL, hivyo tunawataka mfanye biashara itakayolipa nasi tutahakikisha popote reli ilipo inatoa huduma iliyokusudiwa na kuchangia kukuza uchumi wa nchi”, amesema Prof. Mbarawa.
Prof. Mbarawa amewataka wafanyakazi wa TRL kufanya kazi kwa bidii na uadilifu ili kupata bidhaa na abiria wengi wa kuwasafirisha nchini kote.
Amesema Serikali imedhamiria kuliongezea nguvu TRL ambapo baadhi ya mitambo kutoka Kampuni Hodhi ya Rasilimali za Reli (RAHCO) itakabidhiwa kwa shirika hilo hivyo kulitaka kuwa na mpango madhubuti wa kufanya biashara na kurudisha hadhi ya usafiri wa reli hapa nchini.
“Fanyeni bidii ili mpate mzigo wa kusafirisha kutoka Tanga kwenda Moshi na Arusha ili kufikia lengo la kubeba mzigo wa tani milioni moja kwa mwaka”, amesisitiza Waziri Prof. Mbarawa.
Amezungumzia umuhimu wa TRL kuafanya kazi kwa karibu na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA), ili kuongeza kasi ya huduma za uchukuzi nchini, kuongeza fursa za ajira na kukuza pato la shirika na taifa.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa TRL, Bw. Masanja Kadogosa amesema TRL imejipanga kutafuta masoko ndani na nje ya nchi ili kuboresha huduma za uchukuzi na kukuza pato lake.
Katika hatua nyingine Prof. Mbarawa amekagua Meli ya MV Liemba na kuitaka Mamlaka ya Usimamizi wa usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), kuhakikisha meli za MV Liemba na MV Mwongozo zinakaguliwa na kufanya kazi inavyostahili katika Ziwa la Tanganyika.
“Tumieni fursa ya kuwa karibu na nchi za maziwa makuu kufanya biashara ili meli zetu zipate mzigo wa kutosha na kuongeza mapato kwa taifa”, amesisitiza Prof. Mbarawa.
Prof. Mbarawa ambaye yupo katika ziara mkoani Kigoma amewataka viongozi na wafanyakazi wa taasisi zilizo chini ya wizara yake kufanya kazi kwa kushirikiana ili kuibua fursa za kiuchumi katika ukanda wa magharibi na hivyo kufufua miundombinu itakayochochea uchumi wa mikoa ya magharibi mwa Tanzania yenye fursa nyingi za kibiashara.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini,Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

TCRA waikabidhi leseni ya biashara kampuni ya Agano Safi

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk. Ally Simba (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Kampuni ya Agano Safi, Iyaloo Ya Nangolo leseni ya biashara itakayoiwezesha kutoa huduma za mfumo wa malipo mbalimbali kwa kutumia mtandao ‘malipo ya huduma anuai kwa njia ya kidigitali’ (Digital Payment Services). 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dk. Ally Simba (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Kampuni ya Agano Safi, Iyaloo Ya Nangolo leseni ya biashara itakayoiwezesha kutoa huduma za mfumo wa malipo mbalimbali kwa kutumia mtandao ‘malipo ya huduma anuai kwa njia ya kidigitali’ (Digital Payment Services). Kulia ni Kaimu Mkurugenzi Huduma za Kisheria wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Fortunata Mdachi pamoja na Amos Shiyuka (kushoto) wakishuhudia.
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeikabidhi leseni ya biashara kampuni ya Agano Safi inayokuja kuwekeza katika huduma za mfumo wa malipo mbalimbali kwa kutumia mtandao ‘malipo ya huduma anuai kwa njia ya kidigitali’ (Digital Payment Services). Leseni hiyo imekabidhiwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dk. Ally Simba kwa kampuni ya Agano Safi huku akiikumbusha kufanya shughuli zake kwa kuzingatia vigezo na masharti ya leseni.
Akipokea leseni hiyo, Mkurugenzi wa Kampuni ya Agano Safi Iyaloo Ya Nangolo alisema anaishukuru TCRA kwa kuwaamini na kuwakambidhi leseni ya kufanya biashara ya mfumo wa malipo kwa njia ya mtandao, hivyo kampuni hiyo itahakikisha inafanya kazi kwa ufanisi na kushirikiana na vyombo husika ikiwemo BoT ili kuhakikisha jamii na taifa linanufaika na shughuli hizo.
Alisema kampuni hiyo inayoundwa na Wanamibia kwa ushirikiano na baadhi ya Watanzania imejipanga kuja na teknolojia ya kisasa katika mfumo wa malipo kwa njia ya mtandao kwa kushirikiana na kampuni ya malipo ya MobiPay iliyojijengea heshima ya huduma zake katika nchi za Kusini mwa Afrika huku ikiwa na makao yake nchini Namibia.
Hafla hiyo ya makabidhiano imehudhuriwa pia na Balozi wa Namibia nchini Tanzania, Bi. Theresia Samaria ambaye amepongeza Agano Safi kufanikiwa kufanya biashara hiyo nchini Tanzania jambo ambalo linaongeza ushirikiano baina ya nchi hizo huku zikibadilishana teknolojia kwa masuala mbalimbali na ubunifu kibiashara.
Kaimu Mkurugenzi Huduma za Kisheria wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Fortunata Mdachi (kulia) akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa MobiPay, Amos Shiyuka mara baada ya Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dk. Ally Simba kukabidhi leseni ya biashara kwa Kampuni ya Agano Safi itakayoiwezesha kutoa huduma za mfumo wa malipo kwa njia ya kidigitali’ (Digital Payment Services). 
Picha ya pamoja baina ya viongozi wa pande zote mara baada ya zoezi la kukabidhiana leseni kukamilika. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Agano Safi, Cuthbert Mhilu, Balozi wa Namibia nchini Tanzania, Bi. Theresia Samaria, Mkurugenzi Mtendaji wa MobiPay, Amos Shiyuka, Mkurugenzi wa Kampuni ya Agano Safi Iyaloo Ya Nangolo, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dk. Ally Simba pamoja na Kaimu Mkurugenzi Huduma za Kisheria wa TCRA, Fortunata Mdachi.
Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Agano Safi, Cuthbert Mhilu, Balozi wa Namibia nchini Tanzania, Bi. Theresia Samaria, Mkurugenzi Mtendaji wa MobiPay, Amos Shiyuka, Mkurugenzi wa Kampuni ya Agano Safi Iyaloo Ya Nangolo, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dk. Ally Simba pamoja na Kaimu Mkurugenzi Huduma za Kisheria wa TCRA, Fortunata Mdachi katika picha ya pamoja mara baada ya zoezi la kukabidhiana leseni kukamilika.
Balozi wa Namibia nchini Tanzania, Bi. Theresia Samaria akizungumza katika hafla ya TCRA kuikabidhi leseni ya biashara kampuni ya Agano Safi leo jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya maofisa wa TCRA wakiwa katika hafla hiyo.
Balozi wa Namibia nchini Tanzania, Bi. Theresia Samaria akizungumza katika hafla ya TCRA kuikabidhi leseni ya biashara kampuni ya Agano Safi leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kampuni ya Agano Safi, Cuthbert Mhilu pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa MobiPay, Amos Shiyuka (kulia).
Baadhi ya maofisa wa kampuni ya Agano Safi (kulia) wakiwa na wageni waalikwa walioshiriki katika hafla hiyo.
Balozi wa Namibia nchini Tanzania, Bi. Theresia Samaria akipeana mkono na Kaimu Mkurugenzi Huduma za Kisheria wa TCRA, Fortunata Mdachi mara baada ya zoezi la kukabidhiana leseni kukamilika.               

Africa’s slight economic slowdown will not discourage investment, says DHL

dhl.jpg

PRESS RELEASE
-       Sub-Saharan Africa real GDP growth of +4% expected in 2016 - up from 2015

-       DHL Express will continue to invest in the Sub-Saharan Africa region
CAPE TOWN, South Africa, March 31, 2016/ -- Over the past few years, Africa has been top of mind for foreign business investment, often referred to as one of the last frontiers for economic growth and development. However, given the recent economic downturn and headwinds that the continent is experiencing – is the region still offering opportunity to investors?

How Tigo supports education growth in Tanzania


Tigo


PRESS RELEASE
Telecom has donated over 2,400 desks to local primary schools
Tanzania’s leading digital lifestyle company, has since last year donated more than 2,400 desks worth over Tshs 230 million (about US$ 105,000) to needy primary schools in the country in a sustainable exercise that is meant to alleviate the serious shortage of desks in the country’s schools. Two thousand, four hundred desks are able to comfortably accommodate over 7,000 pupils (with one desk accommodating three pupils).

UTOAJI MIMBA USIO SALAMA NI JAMBO LA KAWAIDA NCHINI TANZANIA NA NI SABABU KUBWA YA VIFO VYA WAJAWAZITO

0001
Dr. Neema Lusikamayki Mkurugenzi wa Huduma Kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  na Andrea B. Pembe Kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya Muhimbili wakikata utepe wakati akizindua ripoti ya utafiti wa utoaji wa mimba usiosalama uliofanyika nchi nzima ambao umefanyika kwenye ukumbi wa JNICC leo jijini Dar es salaam leo.(PICHA NA JOHN BUKUKU -FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM) 
001
Dr. Neema Lusikamayki Mkurugenzi wa Huduma Kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  na Andrea B. Pembe Kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya Muhimbili wakionyesha utafiti huo mara baada ya kuuzindua rasmi.
1
Dr. Neema Lusikamayki Mkurugenzi wa Huduma Kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto akisoma hotuba yake kabla ya kuzindua utafiti huo katika uzinduzi uliofanyika kwenye ukumbi wa JNICC jijini Dar es salaam.
03
Profesa PS Muganyizi kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha Muhimbili   akiungumza na waandishi wa habari kabla ya uzinduzi huo  katikati ni Sarah Keogh kutoka taasisi ya Guttmacher ya nchini Marekani  na kulia ni Andrea B. Pembe Kutoka Chuo Kikuu Kishiriki cha Afya Muhimbili.
3
Baadhi ya wataalamu na waandishi wa habari mbalimbali walioshiriki katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
4
Baadhi ya wataalamu namaofisa kutoka taasisi mbalimbali wakiwa katika uzinduzi huo.
…………………………………………………………………………………………………………….
Utafiti mpya Watoa Makadirio ya Kwanza Kitaifa ya Matukio ya Utoaji Mimba Nchini
Katika utafiti wakilishi wa kwanza kitaifa kuhusu matukio ya utoaji mimba na huduma baada ya kuharibika kwa mimba nchini Tanzania, watafiti waligundua kwamba utoaji mimba kwa siri hutokea mara nyingi na huchangia kwa kiasi kikubwa kwenye vifo na kuumia kwa wajawazito. Utafiti huo, uliofanywa na watafiti kutoka taasisi ya Guttmacher iliyoko Marekani, Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili zilizoko hapa Tanzania, waligundua ya kwamba makadirio ya mimba 405,000 zilitolewa nchini ndani ya mwaka 2013, nyingi zikitolewa kwa taratibu ambazo si salama na kuhatarisha maisha ya wanawake. Kutokana na mchanganyiko wa sheria tata na yenye vizuizi vingi ya utoaji mimba ya Tanzania, wanawake hutafuta huduma za utoaji mimba zinazofanyika kisiri na ambazo si salama.
Watafiti hao, ambao walifanya utafiti kwenye vituo vya afya, miongoni mwa wataalamu wa afya na kufanya mapitio ya taarifa za idadi ya watu na uzazi, wamekadiria kwamba wanawake 66,600 walipewa huduma baada ya kuharibika kwa mimba kwenye vituo vya afya kutokana na matatizo yaliyotokana na utoaji mimba usio salama ndani ya mwaka 2013. Hata hivyo, karibu wanawake 100,000 ambao walipata matatizo hawakupata matibabu ambayo waliyahitaji. Watafiti wanatumaini kwamba matokeo yao yatasaidia kutaarifu  juhudi zinazoendelea nchini Tanzania kupunguza uwiano wa vifo vya wajawazito, ambao umebaki kuwa miongoni mwa iliyo juu zaidi duniani.
“Kwa kutambua kuwa utoaji mimba usiokuwa salama ni chanzo kikuu cha vifo vya wajawazito, Serikali ya Tanzania imepanua wigo wa upatikanaji wa huduma baada ya kuharibika kwa mimba katika muongo mmoja uliopita, lakini mapungufu makubwa bado yapo na wanawake wengi hawapati huduma wanazohitaji,” alisema Sarah C. Keogh, mtafiti mwanasayansi mwandamizi wa taasisi ya Guttmacher na mwandishi kiongozi wa utafiti huo. “Utafiti huu unabainisha mapungufu hayo na kusaidia kuunda mikakati kuhakikisha kuwa kila mwanamke wa Kitanzania anayehitaji anaweza kupata huduma baada ya kuharibika kwa mimba inayoweza kuokoa uhai.”
Kiwango cha kitaifa cha utoaji mimba nchini Tanzania—36 kwa kila wanawake 1,000 walio kwenye umri wa uzazi—kinafanana na viwango vya nchi nyingine za Afrika Mashariki. Hata hivyo, ndani ya Tanzania viwango vya utoaji mimba vinatofautiana kwa ukanda. Viwango vya juu ya utoaji mimba hupatikana katika Kanda ya Ziwa (51 kwa kila wanawake 1,000) na Nyanda za Juu Kusini (47 kwa kila wanawake 1,000), na kiwango cha chini hupatikana Zanzibar (11 kwa kila wanawake 1,000). Viwango hivi tofauti vya utoaji mimba huhusishwa kimsingi na utofauti katika viwango vya matumizi ya njia za uzazi wa mpango na mimba zisizotarajiwa, na uwezekano wa wanawake kuamua kutoa mimba katika tukio la kupata mimba zisizotarajiwa.
“Mbali na huduma baada ya kuharibika kwa mimba, wanawake wa Kitanzania wanahitaji upatikanaji bora na kamilifu wa huduma mbalimbali za njia za uzazi wa mpango na ushauri nasaha kuhusu uzazi wa mpango  ili waweze kufanya maamuzi sahihi,” alisema Godfather Kimaro, mwanasayansi mtafiti wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu nchini Tanzania, ambaye alifanya kazi kwenye utafiti. “Ndani ya mwaka 2013, wanawake wa Kitanzania walipata mimba zisizotarajiwa zaidi ya milioni moja, ambazo kati yake 39% ziliishia kwenye kutolewa. Kukabiliana na mahitaji yasiyokidhiwa ya uzazi wa mpango kutapunguza kiwango cha mimba zisizotarajiwa na hivyo kupunguza uhitaji wa kutoa mimba na vifo na majeruhi ambayo kwa mara nyingi hutokea baada ya taratibu zisizo salama.”
Watafiti wamependekeza kuimarisha juhudi za kuhakikisha upatikanaji wa huduma baada ya kuharibika kwa mimba, ambayo kwa sasa inapatikana bila ulinganifu katika maeneo mbalimbali. Wamependekeza uwekezaji katika kufanya huduma baada ya kuharibika kwa mimba inapatikana katika ngazi zote za mfumo wa afya, ikiwa ni pamoja na kuwapa mafunzo watoa huduma wa ngazi ya kati na kusambaza kikamilifu dawa na vifaa vyote muhimu kwenye vituo vya afya. Pia, walisisitiza umuhimu wa kujumuisha utoaji wa huduma za uzazi wa mpango  kama sehemu ya huduma baada ya kuharibika kwa mimba na kuhimiza kwamba kila mwanamke anayetibiwa kutokana na matatizo yanayohusiana na kutoka kwa mimba apewe ushauri wa kina na nyenzo za uzazi wa mpango. Hatimaye, walipendekeza kwamba utata katika sheria ya utoaji mimba ya Tanzania ufafanuliwe kuhakikisha kuwa wanawake wanaweza kupata utaratibu salama na wa kisheria  kwa kiasi kamili kinachoruhusiwa. Watafiti wanatumaini kwamba matokeo ya utafiti huu yatasaidia kuleta mwanga kwenye sera na mipango ambayo italeta huduma za kifanisi zaidi na hatimaye kuboresha hali ya afya ya uzazi ya wanawake wote wa Tanzania.
Matukio ya Utoaji Mimba na Huduma Baada ya Kuharibika kwa Mimba Nchini Tanzania” na Sarah C. Keogh wa Taasisi ya Guttmacher et al. inapatikana mtandaoni kupitia PLoSONE.
Utafiti huu uliweza kufanyika kutokana na misaada kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Uholanzi, Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Serikali ya Uingereza, na Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo la Norway.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya jamii yatembelea mradi wa upanuzi wa masafa ya usikivu ya TBC-Kisarawe.

tib1
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akisalimiana na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya huduma na maendeleo ya jamii Bw.Peter Serukamba katika viwanja vya urushaji wa matangazo ya shirika la utangazaji Tanzania (TBC) Kisarawe
tib2
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma na maendeleo ya Jamii Bw.Peter Serukamba akieleza jambo wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kuangalia mradi wa upanuzi wa masafa ya usikivu ya shirika la utangazaji Tanzania iliyopo kisarawe Pwani.
tib3
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye (wa pili kulia) akiwasilisha jambo kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii walipotembelea mradi wa upanuzi wa masafa ya usikivu ya shirika la utangazaji Tanzania iliyopo kisarawe Pwani.
tib4
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma na maendeleo ya Jamii Bw.Peter Serukamba akieleza jambo wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kuangalia mradi wa upanuzi wa masafa ya usikivu ya shirika la utangazaji Tanzania iliyopo kisarawe Pwani.
tib5
Mkurugenzi wa shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw.Ayoub Ryoba akiwasilisha  taarifa ya shirika hilo  kwa wajumbe wa wa kamati ya kudumu ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii kuhusiana na upanuzi wa masafa ya usikivu kisarawe Pwani.Wengine pichani ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye,Naibu Waziri wa wizara hiyo Bi.Anastazia Wambura na mwenyekiti wa kamati hiyo Bw.Peter Serukamba
Picha na Daudi Manongi-Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Mwakyembe apokea taarifa ya sheria ya manunuzi.

3 Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Jaji Aloysius Mujulizi (Kushoto) akizungumza wakati wa kuwasilisha taarifa ya utafiti wa marekebisho ya Sheria ya Manunuzi ya Umma, katikati ni Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe na kulia ni katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Sifuni Mchome. 5 
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe akipokea taarifa ya utafiti wa marekebisho ya Sheria ya Manunuzi ya Umma kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Jaji Aloysius Mujulizi.
4 
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza mara baada ya kupokea taarifa ya utafiti wa marekebisho ya Sheria ya Manunuzi ya Umma kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Jaji Aloysius Mujulizi na kulia ni katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof Sifuni Mchome.
Picha zote na Raymond Mushumbusi MAELEZO
………………………………………………………………………………………
Na Jacquiline Mrisho -MAELEZO
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe amepokea taarifa ya utafiti wa marekebisho ya Sheria ya Manunuzi ya Umma kutoka Tume ya kurekebisha Sheria.
Akipokea taarifa hiyo leo Jijini Dar es salaam Mhe. Dkt.Harrison Mwakyembe amesema taarifa hiyo ya utafiti itasaidia kurekebisha sheria ya manunuzi ambayo inalenga kukuza uchumi wa nchi.
“Mimi na wataalamu wangu tumeipokea taarifa hii, tutaiangalia na kuhakikisha tunaifikisha Wizara ya Fedha na Mipango na kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili kuendelea na utaratibu unaofuata ili mchakato wa marekebisho uweze kufanyika kwa haraka”alisema Dkt Mwakyembe.
Akifafanua juu ya sheria ya manunuzi ya Umma, Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Jaji Aloysius Mujulizi  amesema kuwa Tume imefanya utafiti wa sheria hiyo kwa kushirikisha wadau mbalimbali.
“Tumepata maoni mengi na ushirikiano mkubwa kutoka kwa viongozi na wasimamizi wa manunuzi ya Serikali kwa namna wanavyoiona sheria ya manunuzi ya Umma,na sisi tumeyachambua maoni hayo kwa kutumia vigezo vya sheria”alisema  Jaji Mujulizi.
Aidha,Tume imetoa maoni kwa Serikali kusimamia sheria ili iweze kuendana na ukuaji wa uchumi nchini kwa kurekebisha baadhi ya sheria ili kuepuka muingiliano uliopo kati ya sheria ya manunuzi na sheria nyingine.
Marekebisho ya sheria hii ni moja ya agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli  lililotolewa Novemba 2015 alipokua akizindua Bunge la 11.

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM (BARA) AWATAKA WATUMISHI WA CCM KWENDANA NA KASI YA MABADILIKO YA SASA

Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Rajab Luhwavi akisalimia baadhi ya viongozi wa CCM, baada ya kuwasili Ofisi ya CCM mkoa wa Mbeya kwa ajili ya kuzungumza na wafanyakazi wa Ofisi hiyo, akiwa katika ziara ya kikazi leo. Anayemsalimia ni Katibu wa CCM wilaya ya Mbarali Abdallah Mpokwa.  Kushoto ni Katibu wa CCM wa mkoa huo Mwangi Kundya
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rajab Luhwavi akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Ofisi ya CCM mkoa wa Mbeya leo. Kulia ni Katibu ambaye hajapangiwa kituo, Mariam Yusuf
Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya Mwangi Kundya akimsindikiza Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Rajab Luhwavi kwenda ukumbini kuzungumza na watumishi wa Ofisi ya CCM mkoa huo leo
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rajab Luhwavi akiingia ukumbini kuzungumza na wafanyakazi katika Ofisi ya CCM mkoa wa Mbeya leo. Kulia kwake ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya Mwangi Kundya
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rajabu Luhwavi akiwasili ukumbini
Katibu wa UVCCM mkoa wa Mbeya Adiya Mamu akihamasisha watumishi wa Chama, kumkaribisha ukumbini Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Rajabu Luhwavi leo
Watumishi wa CCM Ofisi ya CCM mkoa wa Mbeya wakiwa ukumbini
Katibu wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Lobe Zongo akimkaribisha Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu Bara kuzungumza na wafanyakazi hao wa Chama mkoa wa Mbeya
Continue reading →

SERIKALI KUTOA KIPAUMBELE KATIKA KUHAKIKI RASLIMALI NA MADENI YA VIONGOZI

index 
Na Mwandishi wetu.
………………………………………
Serikali imesema kuwa italipa kipaumbele suala la uhakiki wa mali za viongozi wa umma  kwa kuiwezesha Sekretarieti ya Maadili ya viongozi kufanya kazi zake  kwa ukamilifu kwa mujibu wa Sheria ya  Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya mwaka 1995.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki amesema hayoleo jijini Dar es Salaam alipokutana na Kamati ya Kudumu yaBunge ya Utawala na Serikali za Mitaa pamoja na watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa imetembelea ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa umma kujua majukumu, mafanikio na changamoto zinazoikabili Taasisi hiyo  ili wakifika bungeni waweze kuisemea.
“Suala la uhakiki wa rasilimali na madeni ya viongozi tutahakikisha linapewa kipaumbele katika Awamu hii ya tano ya  uongozi,” amesema.
Kwa mujibu wa Waziri Kairuki, Serikali itajitahidi kuongeza jitihada ili uhakiki wa rasilimali na madeni ya viongozi wa Umma ufanyike,  pamoja na kuiongezea Taasisi hiyo bajeti ya kutosha.
Awali akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Jaji Mstaafu Mhe  Salome Kaganda amesema viongozi wengi wanarejesha fomu za raslimali na madeni, ila wapo wachache wanaoshindwa kurejesha fomu hizo.
Amesema, “Tangu mwaka 2005/06 hadi mwaka 2014/15 tumesambaza  fomu 78,786, lakini fomu zilizorejeshwa ni 60,948 ambazo ni sawa na asilimia 77 ya fomu zote zilizosambazwa.”
Aidha Kamishna huyo amewaambiawajumbe wa kamati hiyo ya Bunge kuwa tangu mwaka 2013 hadi 2015 Sekretarieti yake haikufanya uhakiki wa rasilimali na madeni kwa viongozi wa umma kutokana na  ufinyu wa bajeti.
Kwa upande wao baadhi ya Wajumbe wa kamati wamesema kuwa wataishauri serikali kuiongezea Sekretarieti bajeti iliiweze kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sharia.
Pia wamependekeza kufanyiwa maboresho Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya mwaka 1995 ili iwe na nguvu zaidi na kuwaruhusu kuwafikisha mahakamani viongozi wanaokiuka sharia hiyo.
Sekretarieti ya Maadil  ilianza kufanya kazi rasmi mwezi Julai, 1996 ikiwa na jukumu la msingi la kujenga na kukuza uadilifu miongoni mwa Viongozi wa Umma kwa kusimamia utekelezaji wa matakwa ya Sheria ya Maadili ya viongozi wa umma Na 13 ya mwaka 1995.

SPIKA WA BUNGE AKUATANA NA VIONGOZI WA JUMUIYA YA AHMADIYYA MUSLIM JAMAAT TANZANIA

jam01
. Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akisalimiana  na Kiongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania Sheik Tahir Mahmoud aliyemtembelea pamoja na viongozi wenzake Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
jam2
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akizungumza na Viongozi wa Jumuiya ya Ahmadiyya Muslim Jamaat Tanzania waliomtembelea Ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.Wa kwanza kulia ni Kiongozi wa Jumuiya hiyo nchini Sheik Tahir Mahmoud.
jam3 

WAZIRI WA AFYA AKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA MAJIMBO YA MTWARA VIJIJINI, MASASI NA NDANDA

Ummy Mwalimu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu (wa pili kushoto) akiwasili katika hospitali ya Rufaa Ndanda Mission.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu pamoja na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Bakari wametembelea Hospitali ya Mji wa Masasi (Mkomaindo), Hospitali ya Rufaa Ndanda Mission na Kituo cha Afya cha Nanguruwe kilichopo Jimbo la Mtwara Vijijini.
Katika ziara hiyo ya siku 2 Mh. Ummy alipata fursa ya kukagua shughuli mbalimbali za sekta ya afya ikiwemo kukagua wodi za wagonjwa, maabara pamoja na kusikiliza kero mbalimbali kutoka kwa watumishi wa idara ya afya na wananchi katika utoaji wa huduma za afya katika maeneo hayo.
Mh. Ummy alisema kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe Dk. John Pombe Magufuli imejikita zaidi katika kuwahudumia wananchi hasa wa kipato cha chini kwa kuimarisha Nidhamu na Uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma. Pamoja na kusimamia Uwazi na matumizi bora ya rasilimali za Taifa.
Licha ya kukiri kuwa sekta ya Afya inakabiliwa na changamoto mbalimbali Mh. Ummy aliwapongeza na kuwashukuru madaktari na wauguzi kwa kazi na nzuri wanayoifanya ktk kutoa huduma kwa wananchi. Alieeleza kuwa Serikali inatambua na kuthamini kazi yao na imedhamiria kutatua changamoto zilizoko katika utoaji wa huduma ikiwemo kuongeza watumishi wa afya na kununua vifaa tiba na kuboresha mazingira ya kazi ya watumishi wa afya hasa walioko pembezoni.
Aliwaasa wananchi kuwathamini madaktari na waaguzi na iwapo kuna malalamiko dhidi ya watumishi hao basi wananchi wazingatie Sheria, Kanuni na Taratibu ktk kuonyesha malalamiko yao badala ya kujichukulia sheria mkononi.
Alisema, Hata hivyo wapo watumishi wachache ambao wanafanya kazi kwa kutozingatia maadili ya kazi na viapo vyao, hivyo aliwataka wabadilike kwani Serikali ya awamu ya 5 haitamvumilia mtumishi yeyote anaejihusisha na vitendo vya rushwa na uzembe kazini.
Ummy Mwalimu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akiongea na wananchi Ndanda mission.
Pia aliwaasa watumishi hao kujiepusha na mambo ambao yanaweza kuleta mgongano na hisia mbaya kwa wananchi. Mfano tuhuma dhidi ya mfamasia wa Wilaya kumiliki maduka matatu ya 3 ambapo mhe Waziri ameelekeza uchunguzi wa TAKUKURU ufanyike.
Katika Hospitali ya Mkomaindo, Mhe Ummy ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Masasi kwa mafanikio waliyopata ktk ukusanyaji wa mapato ambapo baada ya kufunga mfumo wa kukusanya mapato wa kielektronik mapato yao yameongezeka kutoka shs 500,000 hadi 1,500,000 kwa siku. Amezitaka Halmashauri zote nchini kuiga mfano wa hospitali ya Mkomaindo kwa sababu hatua hii itachangia sana kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa wananchi ikiwemo uwezo wa Halmashauri wa kununua dawa na vifaa tiba.
Katika Kituo cha Afya cha Nanguruwe Mh. Ummy aliihimiza Halmashauri kukamilisha ujenzi wa wodi mbili ili Kituo hicho kiweze kupandishwa hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya. Pia aliwataka kuongeza jitihada katika kuingiza wananchi/kaya nyingi katika Bima ya Afya kwani asilimia 5 wa waliojiunga ni ndogo sana.
Ummy Mwalimu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akiongea na wananchi ili kujua kero zao katika ziara ya siku mbili mkoani humo.
Katika Hospitali ya Rufaa ya Mission Ndanda Mhe Ummy ameipongeza kwa kufanyia kazi agizo lake la wiki mbili zilizopita la kuzitaka hospitali za Taasisi za Dini zinazopokea ruzuku ya Serikali (Fedha na au Watumishi) kutekeleza kwa vitendo sera za Taifa za Serikali ikiwemo ya Matibabu Bure kwa Wajawazito, Watoto chini ya umri wa miaka 5 na Wazee. Hospitali ya Rufaa Ndanda imekubaliana na Halmashauri ya Wilaya ya Masasi kuanza utekelezaji wa jambo hili kuanzia Julai 1, 2016.
Mh. Ummy pia amepongeza upatikanaji wa huduma za uchunguzi na matibabu bure ya Ugonjwa wa Kifua kikuu hospitalini hapo ambapo alisema ni asilimia 10 tu ya vituo vya afya/Hospitali binafsi nchini zinazotoa huduma hizo licha ya Serikali kuwa tayari kuvipatia vifaa vya uchunguzi na dawa bure. Mhe Ummy amezitaka hospitali nyingine binafsi kuunga mkono jitihada za Serikali za kutokomeza ugonjwa wa Kifuu kikuu kama sehemu ya mchango wao kwa jamii.
Mhe Ummy pia ametembelea Chuo cha Maafisa Tabibu na Chuo cha uuguzi vilivyoko Masasi.
IMG-20160331-WA0025
Waziri Ummy akiongea na wagonjwa aliowakuta wakisubiri huduma katika hospitali ya Mkomaindo Masasi.
Mohammed Bakari
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Bakari akizungumza na Watumishi wa Afya Ndanda Mission katika ziara aliyoambatana na Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu.
Mohammed Bakari
IMG-20160331-WA0023Baadhi ya watumishi wa afya wakimsikiliza kwa makini Waziri wa afya Mh.Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati ziara yake tar 30 Machi.
Ummy Mwalimu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wakinamama aliyelazwa kwenye wodi ya wazazi alipokua akikagua maeneo mbalimbali ya hospitali hiyo.
Mussa Rashid
Kaimu Mganga mkuu Halmashauri ya mji wa Masasi DK. Mussa Rashid akitoa taarifa kwa Waziri wa afya alipotembelea chumba cha vipimo katika hospitali hiyo. Kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Muhammed Bakari.
Ummy Mwalimu
Waziri Mh. Ummy Mwalimu akibadilisha mawazo na Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe. Bernard Nduta. Kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya Rufaa Ndanda, Fr. Silvanus Kessy.

“KAMATI YA BUNGE, MALIASILI, UTALII, ARDHI NA MAZINGIRA WAMTAKA WAZIRI LUKUVI KUFUTA HATI MILIKI YA ECO ENERGY”

 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Injinia Ramo Makani kulia akiteta
jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili,Ardhi na Utalii,Meja Jenerali
Gaudance Milanzi katikati kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa wa Shirika la
Hifadhi za Taifa(TANAPA),Ibrahim Mussa wakati wa ziara ya siku moja ya
kamati ya Bunge Maliasili,Ardhi na Utalii kwenye hifadhi ya Taifa ya
Saadani,
Wajumbe wa Kamati ya Bunge,Maliasili,Ardhi na Utalii wakiingia kwenye hifadhi ya
Taifa ya Saadani jana

 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge,Maliasili,Ardhi na Utalii Atashasta
Justus Nditiye akitoa maazimio ya kamati hiyo mara baada ya kuitembelea
hifadhi ya Taifa ya Sadani wa kwanza kushoto ni Mjumbe wa kamati
hiyo,Marry Chatanda ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Korogwe mjini.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Injia Ramo Makani akizungumza wakati wa ziara hiyo

Kaimu Mkurugenzi wa (TANAPA),Ibrahim Mussa akizungumza wakati za ziara ya kamati ya Bunge
Maliasili,Utalii na Ardhi Mazingira ilipotembelea hifadhi ya Taifa ya
Saadani.

Katibu Mkuu wa
Wizara ya Maliasili na Utalii,Meja Jenerali Meja Jenerali Gaudance
Milanzi akizungumza wakati za ziara ya siku moja ya Kamati ya Bunge ya
Maliasili,Utalii na Ardhi

 Kaimu Mkurugenzi wa Uhifadhi wa Tanapa,Mtango Mtaniko akizungumza
wakati wa ziara ya kamati ya Bunge Maliasili,Utalii na Ardhi walipofanya
ziara ya kutembelea hifadhi ya Taifa ya Saadani
Mjumbe wa Kamati ya Bunge Maliasili,Utalii,Ardhi na Mazingira,Pauline Gekule
akiulizwa swali wakati ziara hiyo

MJUMBE wa Kamati ya Bunge,Maliasili,Ardhi na Utalii,Shabani Shekilindi ambaye pia ni
Mbunge wa Jimbo la Lushoto mkoani Tanga akiuliza swali wakati wa ziara hiyo

Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini,Marry Chatanda ambaye pia  ni mjumbe wa kamati
hiyo akichangia hoja kwenye ziara hiyo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Meja Jenerali Gaudance Milanzi kulia akiteta jambo na Meneja wa Mawasiliano wa Tanapa,Pascal Shelutete wakati kamati ya Bunge Maliasili,Ardhi na Utalii walipotembelea hifadhi ya Taifa ya Saadani
Picha kwa Hisani ya Tanga Raha Blog

Tume ya Kurekebisha Sheria Yakabidhi Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma

REK1
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi (Kushoto) akimkabidhi Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dk. Harison Mwakyembe Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma. Wengine pichani ni Katibu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sufini Mchome (wa pili kulia) na Katibu Mtendaji wa Tume Bw. Casmir Kyuki.
REK2
Mwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akizungumza wakati wa makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma. Makabidhiano yalifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Katiba na Sheria Dar es Salaam.
REK3
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dk Harison Mwakyembe akiongea mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma.
REK4
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. Casmir Kyuki akizungumza wakati wa makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma.
REK5
Katibu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akitoa maelezo mafupi wakati wa makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma.
REK6
Sehemu ya Waandishi wa habari waliohudhuria makabidhiano ya Taarifa ya Utafiti wa Sheria ya Ununuzi wa Umma (Picha zote na Munir Shemweta wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania).

WASHIRIKI ISHIRINI BORA WA SHINDANO LA ‘MO ENTREPRENEURS’ WATANGAZWA

Top 20 - Mo Entrepreneurs Competition
Taasisi ya Mo Dewji Foundation wakishirikiana na kampuni ya Darecha Limited wametangaza majina ya washiriki 20 bora wa shindano la Mo Mjasiriamali (Mo Entrepreneurs Competition). Shindano la Mo Mjasiriamali lilizinduliwa mwezi wa Januari, 2016 na mkurugenzi mtendaji wa makampuni ya MeTL na mwenyekiti wa Mo Dewji Foundation, Bilionea Mohammed Dewji. Akizindua shindano hilo mweneyekiti huyo alisema,
“Tatizo la ukosefu wa mitaji ni kikwazo kikubwa kwenye ukuaji wa biashara za vijana wengi hapa nchini.Hivyo ni muhimu kuwaongezea vijana fursa za upatikanaji wa mitaji”
Shindano la Mo Mjasiriamali linalenga kuwainua vijana wenye shauku, ari na nia ya dhati ya kukuza biashara zao ili kujiongezea kipato na mchango wao katika ujenzi na ukuaji wa uchumi wa Tanzania.
Wakitangaza majina ya washiriki 20 bora, waratibu wa shindano la Mo Mjasiriamali wamesema shindano hili limewafikia maelfu ya vijana katika maeneo mbali mbali ya Tanzania. Vijana wapatao 200 wanaomiliki biashara changa walituma maombi ya ushiriki. Washiriki waliotuma maombi walikuwa na wastani wa umri wa miaka 26, miongoni mwao asilimia 13 ni wa jinsia ya kike. Aina mbalimbali za biashara kama vile, biashara za kilimo, ufugaji, utengenezaji wa mbolea, tehama na nishati zilionekana kupata washirki wengi zaidi.
Majina ya washiriki 20 watakaofanyiwa usaili na jopo la majaji litakaloongozwa na mwenyekiti wa Mo Dewji Foundation, Ndg. Mohammed Dewji, majina ya biashara zao na mkoa wanaotoka kwenye mabano, ni:
1.Edgar Mwampinge (Spid Express Courier&Logistics, DSM),.
2.Geofrey Boniphace (Brain Bongo Media Network, DSM),
3.Alexander Jokoniah (Mazimbu Agro Enterprises,Morogoro),
4.Raphael Malongo( Malongo Poultry Farm,Singida),
5.Sirjeff Khagolla (Jefren Agrifriend, DSM),
6.Erick Karoli (Tado Travel, Arusha),
7.Ahad Katera (Guavay, DSM),
8.Bonkey Kaigembe (Igale Company, Mbeya),
9.Gerald Reuben(Nitume Sokoni, Pwani),
10.Selenga Kaduma(Agro Forest, Njombe),
11.Saturnin Tarimo (Galaxy Energy Solutions, DSM),
12.Ally Msigwa (Alishati Investments,Iringa),
13.Khadija Liganga (Dida Vitenge Wear, Mwanza),
14.Williard Kaaya (Newhope Cassava Flour, DSM),
15.Doreen Assey (Dee Bakery,DSM),
16.Clemence Makoyola(Easternwind Investment, Morogoro),
17.Emmanuel Ngalewa( Ngama Technologies, DSM),
18.Eric Mutta (Problem Solved, DSM),
19.Francis Saanane( Hub Networks, DSM),
20.Fredrick Swai (Nact Technology Hub, Mbeya)
Washiriki wote ishirini watafanyiwa usaili wa kina kuhusu biashara zao ambapo miongoni mwao watapatikana washindi watatu(3) hadi watano(5). Washindi hao watatangazwa siku ya tarehe 19 Aprili na kupatiwa kiasi cha milioni shilingi milioni 10 kila mmoja ili kukuza biashara zao.Pia washindi hawa watakuwa wakikutana na mkurugenzi mtendaji wa MeTL na mwenyekiti wa Mo Dewji Foundation kwa ushauri kuhusu namna ya kukuza biashara zao.

TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA INTANETI, AfPIF 2016

IMG_7655
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba akielezea matumizi ya intaneti yalivyo nchini na changamoto zinazowakabili watumiaji wa huduma hiyo. (Picha na Modewjiblog)
Mwaka 2016 unakuwa mwaka wa neema kwa Tanzania kupata fursa ya kuandaa Mkutano unaowakutanisha wadau wa intaneti (African Peering and Interconnection Forum), mkutano unaotaraji kufanyika Agosti 31 – Septemba 1, jijini Dar es Salaam.
Akizungumzia mkutano huo, Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya Internet Society, Michuki Mwangi amesema mkutano huo unalengo wa kukutanisha wadau mbalimbali wa intaneti ili kutanua miondombinu ya intaneti katika bara la Afrika.
Amesema taasisi yake inapenda kuona huduma ya intaneti ikipatikana kwa urahisi kwa watumiaji wake Afrika na hivyo kupitia mkutano huo wataweza kutazama jinsi gani wanaweza kushirikiana na kubadilishana takwimu za watumiaji wa mitandao kwa bara zima la Afrika.
“Tunatambua kuwa watumiaji wa intaneti wanazidi kuongezeka na kupitia mkutano huu tutaweza kuangalia jinsi gani tunaboresha huduma ya intaneti iwe bora ili iweze kutumiwa na watu wengi zaidi,” amesema Mwangi.
Nae Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba amesema mkutano huo una umuhimu kwa Watanzania kwa kupata fursa ya kujifunza na kubadilishana mawazo na watu kutoka mataifa mengine katika huduma ya intaneti.
Amesema kwa sasa Tanzania bado ina changamoto nyingi katika huduma ya intaneti na kupata nafasi hiyo ya kuandaa mkutano kutakuwa na faida kwa mashirika yanayotoa huduma ya intaneti ili kuwawezesha kutambua ni jinsi gani wataboresha huduma kwa wateja.
“Nchi yetu inawatumiaji wengi wa intaneti ila bado kuna changamoto nyingi ikiwepo usalama wa mtandao na serikali inafanya jitihada nyingi kumaliza changamoto hizo na kupitia mkutano huu tunaamini utasaidia zaidi Watanzania kupata kitu kipya katika huduma ya intaneti,” amesema Simba.
Kwa upande wa Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary amesema Watanzania wengi bado hawajafahamu umuhimu wa intaneti kutokana na kutokuwa na ujuzi wa kutosha kuhusu intaneti lakini kupitia mkutano huo ulioandaliwa na Internet Society wataweza kuapata elimu mpya kuhusu intaneti.
IMG_7593
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba (kushoto) akizungumza jambo na Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary.
IMG_7596
Wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba (kushoto), Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary, Meneja Mradi wa Tanzania Internet Exchange (TIX), Frank Habicht na Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya Internet Society, Michuki Mwangi wakizungumza jambo kabla ya kuanza kwa mkutano huo.
IMG_7603
Mwenyekiti wa TISPA, Vinay Choudary akifungua mkutano huo.
IMG_7613
Meneja Mwandamizi wa Maendeleo wa Taasisi ya Internet Society, Michuki Mwangi akizungumzia mkutano wa Intaneti, AfPIF utakaofanyika nchini, Agosti, 30 – Septemba, 1
IMG_7617
Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano huo.
IMG_7629
IMG_7631
IMG_7645
IMG_7622
Baadhi ya waandishi waliohudhuria mkutano huo.
IMG_7667
Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja.

WAZIRI KITWANGA, VIONGOZI WAKUU UHAMIAJI NA JESHI LA ZIMAMOTO WAFANYA KIKAO CHA MAPITIO YA RASIMU YA BAJETI KWA MWAKA 2016/17

TWA1
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akizungumza katika kikao cha Mapitio ya Rasimu ya Bajeti ya Wizara yake ya Mwaka 2016/17 kwa upande wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji pamoja na Idara ya Uhamiaji. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo, kilijumuisha Viongozi Wakuu wa Taasisi hizo pamoja na Wakuu wa Idara wa Wizara hiyo. Wa pili kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira, na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba Yahya. Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
TWA2
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akimsikiliza Kaimu Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Victoria Lembeli (kulia) wakati alipokuwa anatoa taarifa yake katika kikao cha Mapitio ya Rasimu ya Bajeti ya Mwaka 2016/17 kwa Idara ya Uhamiaji kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Kikao hicho kilijumuisha Viongozi Wakuu wa Uhamiaji na Wakuu wa Idara ya Wizara hiyo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
TWA3
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akiwafafanulia jambo Viongozi Wakuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Wakuu wa Idara ya Wizara yake katika kikao cha Mapitio ya Rasimu ya Bajeti ya Mwaka 2016/17 kwa Jeshi hilo kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Kulia meza kuu ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira. Wapili kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Simba Yahya, na wa tatu kushoto ni Kaimu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Rogatius Kipali. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
TWA4
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (wapili kulia) akizungumza na Viongozi Wakuu wa Idara ya Uhamiaji katika kikao cha Mapitio ya Rasimu ya Bajeti ya Mwaka 2016/17 ya Wizara yake. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo, pia kilihudhuriwa na Wakuu wa Idara wa Wizara hiyo. Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira, na wa pili kushoto ni Kaimu Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Victoria Lembeli akifuatiwa na Mrakibu Mwandamizi wa Idara ya Uhamiaji, Joseph Mtenga.  Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

KAMATI YA MALIASILI YATEMBELEA HIFADHI YA SAADANI PAMOJA NA KUKUTANA NA TANAPA

BUN1Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe Atashasta Nditiye akizungumza na Menejimenti ya TANAPA wakati kamati hiyo iliopotembelea Hifadhi ya Saadani. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mhandisi Ramo Makani.
BUN2Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mhandisi Ramo Makani akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii. Kamati hiyo ilikutana na TANAPA katika Hifadhi ya Saadani.
BUN3Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mhandisi Ramo Makani akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii. Kamati hiyo ilikutana na TANAPA katika Hifadhi ya Saadani.
BUN4
Mkuu wa Hifadhi ya Saadani Bw. Hassan Nguluma akiwaonesha Wajumbe wa Kamati ya Maliasili, Utalii na Ardhi ramani ya Hifadhi hiyo wakati kamati hiyo ilipoitembelea Hifadhi ya Saadani pamoja na kukutana na Menejimenti ya TANAPA. Wengine katika picha ni Naibu Waziri wa Utalii na Maliasili Mhandisi Ramo Makani (mweye miwani) na Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe Atashasta Nditiye

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM AANZA ZIARA MKOANI MBEYA LEO

LUH1
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Rajab Luhwavi, akisalimiana na viongozi wa CCM mkoa wa Mbeya baada ya kuwasili mkoani hapa, leo, Machi 31, 2016, kuanza ziara ya kikazi. Kutoka kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya Mwangwi Kundya, Katibu wa CCM, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Lobe Zongo na Katibu msaidizi Mkuu wa
mkoa, Adallah Mayomba.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Rajab Luhwai akiwa na mwenyeji wake, Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya, Mwangwi Kundya (kushoto), baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi mkoani Mbeya.

VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI MKURANGA VYASHAURIWA KUWA KATIKA MWAMVULI WA VICOBA ILI KUPATA SIFA YA KUKOPESHWA

Mkurugenzi wa Baraza la Uwezeshaji la Taifa, Bengi Issa mwenye kilemba, akizungumza kwenye kikao cha pamoja na Mbunge wa Mkuranga, Mheshimiwa Abdallah Ulega kushoto kwake kwa ajili ya kuangalia namna ya kushirikiana naye kuwasaidia na kuwawezesha wananchi wa Mkuranga. Mbunge Mkuranga asaka uwezeshwaji wa wananchi wake
…………………………………………………………………………………………………………………..
Na Mwandishi
Wetu, Dar es Salaam
MBUNGE wa Jimbo la Mkuranga, wilayani Mkuranga, mkoani Pwani, Abdallah Ulega, jana amefanya kikao na Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Taifa (NEEC), Bengi Issa, kwa ajili ya kutafuta fursa ya kuwawezesha wananchi wilayani humo.
Mbunge wa Mkuranga, Mheshimiwa Abdallah Ulega, akizungumza jambo katika kikao cha pamoja na Mkurugenzi wa Baraza la Uwezeshaji la Taifa (NEEC), Bengi Issa, hayupo pichani.
Kikao hicho pia kilihusisha Mkurugenzi wa Uwezeshaji, Afisa Maendeleo ya Jamii Mkuranga, ambapo pamoja na mambo mengine, kilijadili namna ya kusaidia vikundi vilivyosajiliwa 285, vikundi vya vicoba 109, ufugaji wa nyuki, vikundi vya wanawake, vijana na waendesha bodaboda.
Akizungumza baada ya kikao hicho kumalizika, Ulega aliyewahi pia kuwa Mkuu wa wilaya Kilwa, alisema kwamba lengo ni kuona wanananchi wa Mkuranga wanapiga hatua kutoka kwenye hali ya ukata na kufikia kiwango kizuri, sanjari na kufanikisha maendeleo kwa wananchi wote.
Alisema kwamba kikao hicho kimemalizika kwa mafanikio ambapo ilishauriwa kuwa vikundi vya kukopeshana (VICOBA) inabidi viwekwe chini ya mwamvuli mmoja utakaoviwakilisha vyote.
“Hili litakapofanyika, Benki ya Posta Tanzania ina utaratibu wa kutoa mikopo ya riba ndogo kupitia mwamvuli huo unaowakilisha vikundi vyote kwa pamoja, tukiamini kuwa itasaidia kwa kiasi kikubwa kufanikisha ndoto zetu.
“Lengo letu ni kuhakikisha kwamba tunaiweka Mkuranga katika kiwango kizuri ukizingatia kwamba wilaya hii ipo karibu na jiji la Dar es Salaam, hivyo inaweza kukua kwa kasi kwa sababu mtu anaweza kuishi Mkuranga na akafanya kazi au kuingia na kutoka kwa urahisi wilayani kwetu,” alisema.
Aidha imeshauriwa pia kuanzisha SACCOS ya wafugaji wa nyuki ili kurahisisha upatikanaji wa mikopo ya vifaa kwa ajili ya ufugaji wa kisasa wa nyuki, ambapo wana vikundi wanatakiwa kuandaa mpango kazi wao utakaopelekwa Benki ya Maendeleo kwa ajili ya mkopo, ikiwa na lengo la kuhifadhi misitu na kuacha utafutaji wa kipato kwa njia ya kukata miti ili kuzalisha mkaa.

BARABARA YA KIGOMA-NYAKANAZI KUKAMILIKA MWEZI MEI.

1 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akiwasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kigoma tayari kuanza ziara ya ukaguzi wa miundombinu katika mikoa ya ukanda wa magharibi.
2 
Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), mkoa wa Kigoma, Eng. Narcis Choma akitoa ufafanuzi kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (aliyevaa kofia) kuhusu ujenzi wa barabara ya Kidahwe-Kasulu Km 50 inayojengwa na China Railway 50 Group.
3 
Ujenzi wa barabara ya Kidahwe-Kasulu Km 50 inayojengwa na Kampuni ya  China Railway 50 Group ukiendelea.
4 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (aliyevaa kofia) akitoa maelekezo kwa wataalamu wa ujenzi wa kampuni ya China Railway 50 Group baada ya kukagua mitambo yao ya kupima na kutafiti udongo kabla ya kujenga barabara.
5 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (aliyevaa kofia) akitoa maelekezo kwa viongozi wa Wilaya ya Kasulu mara baaada ya kukamatwa kwa vijana wawili (waliokaa chini) kutokana na wizi wa nyaya za mkongo wa taifa, mkoani Kigoma.
6 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (aliyevaa koti la kaki) akiangalia athari za mmonyoko wa udongo zilizoathiri mkongo wa taifa wa mawasiliano katika eneo la Kidahwe mkoani Kigoma.
……………………………………………………………..
Makandarasi wanaojenga barabara ya Kidahwe-Kasulu Km 50 na Kibondo-Nyakanazi Km 50 wametakiwa kukamilisha ujenzi huo mwezi Mei mwakani badala ya Novemba ili kuharakisha mkakati wa Serikali wa kuufungua mkoa wa Kigoma kwa barabara za lami.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amesema hayo mara baada ya kukagua ujenzi wa barabara hiyo uliyogawanywa sehemu mbili, Kidahwe-Kasulu inayojengwa na China Railway 50 Group na Kibondo-Nyakanazi inayojengwa na Nyanza Road Works.
Prof. Mbarawa amewataka makandarasi hao kuongeza kasi ya ujenzi, vifaa na  wafanyakazi wenye sifa ili barabara hizo zikamilike kwa wakati na ubora unaotakiwa.
“Tutahakikisha ifikapo Juni mwaka huu tutakuwa tumelipa madeni yote mnayoidai Serikali hivyo fanyeni kazi kwa uhakika kwa kuwa katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya Tano tayari tumeshawalipa makandarasi zaidi ya shilingi bilioni 725”, amesema Prof. Mbarawa.
Prof. Mbarawa amesisitiza kwamba nia ya Serikali ni kuifungua mikoa ya Kigoma, Tabora, Katavi na Rukwa kwa barabara za lami ili kufungua ukanda wa magharibi mwa nchi kibiashara kutokana na ukanda huo kuwa sehemu muhimu ya nchi katika uzalishaji na kiungo kikuu kwa nchi za Congo DRC, Burundi na Rwanda.
Katika hatua nyingine Waziri Prof. Mbarawa amewataka wafanyakazi wa Shirika la Reli (TRL), kulinda miundombinu ya reli na kujiepusha na vitendo vya hujuma ili kuliwezesha shirika hilo kupata shehena kubwa ya mzigo kufuatia wadau mbalimbali kuonesha nia ya kusafirisha mizigo kwa njia ya reli.
“Serikali imewekeza vya kutosha katika Shirika la Reli hivyo mfanye kazi kibiashara ili mpate mzigo mkubwa wa kusafirisha”, amesisitiza Prof. Mbarawa
Akizungumza na viongozi wa mkoa wa Kigoma na taasisi zilizo chini ya wizara yake Prof. Mbarawa amewataka kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuzuia uvamizi na uhujumu wa miundombinu ya barabara, reli, na mkongo wa taifa wa mawasiliano na wote watakaokiuka agizo hilo wachukuliwe hatua za haraka na za kisheria.
Prof. Mbarawa ametoa wiki moja kwa taasisi zilizo chini ya wizara yake kuhakiki wafanyakazi ili kubaini kama kuna wafanyakazi hewa.
Naye, Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), mkoa wa Kigoma, Eng. Narcis Choma amemhakikishia Waziri Prof. Mbarawa kuwa mkoa wa Kigoma umejipanga vizuri katika kudhibiti uvamizi wa miundombinu ya barabara na wale waliojenga ndani ya mita 22 kwenye barabara kuu wataondolewa maramoja bila kulipwa fidia.
Prof. Mbarawa yuko katika ziara ya kukagua miundombinu katika mikoa ya kanda ya magharibi ikiwa ni utekelezaji wa mkakati wa Serikali wa uiboreshaji wa miundombinu ya kanda hiyo ili kuiwezesha kufanya biashara kiurahisi na mikoa mingine ya Tanzania na nchi za Congo DRC, Rwanda na Burundi.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Tanzania yapata medali mbili zaidi katika mashidano ya kuogelea ya kimataifa ya Afrika Kusini

1 
Muogeleaji Marin de Villard wa Tanzania akishindana katika staili ya backstroke kwenye mashindano ya kimataifa ya kuogelea ya Afrika Kusini.
2 
Muogeleaji wa Tanzania Celina Itatiro akionyesha ufundi wake katika staili ya backstroke kwenye mashindano ya kimataifa ya kuogelea ya Afrika Kusini.
3 
Muogeleaji wa Tanzania, Adil Bharmal akiwa katika staili ya breaststroke kwenye mashindano ya kimataifa ya kuogelea ya Afrika Kusini.
4Waogeleaji Josephine”Jojo” Oosterhuis aliyenyosha mkooi juu akiwa na wenzake, Isabella Kortland (wa pili waliosimama kutoka kushoto), Jacqulline Kortland ambaye ni pacha wa Isabella (wa tatu kutoka kulia waliosimama) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kunyakua medali tatu katika mashindano ya kuogelea ya Afrika Kusini. Wengine katika picha ni kocha Michael Livingstone (wa kwanza kushoto waliosimama), kocha  Alex Mwaipasi (wa pili kulia waliosimama) na meneja wa timu, Inviolata Itatiro wa kwanza kulia waliosimama. Pia katika picha ni Marin de Villard na Celina Itatiro (waliokaa).
5Nyuso za furaha: Meneja wa timu ya Tanzania Swim Squad (TSS), Inviolata Itatiro akiwa na makocha, Alex Mwaipasi (kushoto) na Michael Livingstone mara baada ya ushindi wa medali tatu katika mashindano ya kuogelea ya Kimataifa ya  Afrika Kusini.
………………………………………………………………………….
Na Mwandishi wetu
Nyota ya Tanzania katika mchezo wa kuogelea imeanza kung’ara baada ya kupata medali tatu katika mashindano ya kimataifa ya kuogelea ya Afrika Kusini yanayondelea katika mji wa Johannesburg.
Walioshinda medali katika mashindano hayo ni, Josephine Oosterhuis, Isabella Kortland na Jacqueline Kortland  katika mashindano hayo ambayo yanashirikisha waogeleaji zaidi ya 750 kutoka nchi mbalimbali kusini mwa Afrika.
Mbali ya Tanzania na wenyeji, Afrika Kusini, mashindano hayo pia yalishirikisha timu kutoka Zimbabwe, Msumbiji, Angola,  na Namibia. Josephine alishinda medali ya dhahabu katika fainali ya mita 100 breaststroke kwa kutumia muda wa 1.21.79 huku Jacqueline alishinda medali ya shaba kwa kushika nafasi ya tatu kwa kutumia muda wa 1.22.91.
 Nafasi ya pili ikikwenda kwa Deane Toerien wa Afrika Kusini aliyetumia muda wa 1.22.70 na kutwaa medali ya fedha. Isabella Kortland alishinda medali ya dhahabu kwenye mashindano ya mita 50 katika staili ya backstrokes kwa kutumia muda wa 33.25 kuwashinda Georgy Turner na Zantia Bainabridge wa Afrika Kusini ambao walifungana kwa kutumua muda wa 33.84 kila mmoja.
Waogeleaji Celina Itatiro hakuweza kutwaa medali pamoja na kumaliza akiwa wa tisa kwa kutumia muda wa 1.29.26 katika mita 100 butterfly, Marin de Villard  alimaliza wa tisa katika staili ya backstroke kwa kutumia muda wa 37.43.
“Tumefanya vizuri sana, si unajua mashindano haya ni magumu kutokana na ushindani uliopo, Afrika Kusini na nchi nyingine inatumia kutafuta waogeleaji wao ambao watakwenda kushindana katika mashindano ya Cana na wameleta waogeleaji wengi, sisi tumeleta 15 na mpaka sasa tuna medali 3, ni mafanikio,” alisema meneja wa timu hiyo Inviolata Itatiro.
Kocha Alex Mwaipasi alisema kuwa wamefurahishwa na matokeo hayo na wanaamini kuwa wakiendelea na msimamo wao wa kushiriki mashindano mengi ya kimataifa, basi watafika mbali sana ndani ya miaka mitano au kumi.
“Mbali ya medali, hapa waogeleaji wanasaka nafasi ya Cana, baadhi ya waogeaji wetu ndiyo kwanza wanaogelea katika bwawa la mita 50, wengine mara ya kwanza, hivyo kuna changamoto,” alisema Mwaipasi.
Kocha Michael Livingstone aliwashukuru wazazi wa waogeleaji kwa kufanikisha safari hii na kuifanya Tanzania kuingia katika chati ya mchezo wa kuogelea. “Wazazi wamejitahidi kwa kweli, wengine wameshindwa na wengine wameambatana na watoto wao kuja hapa kwa ajili ya kuitangaza Tanzania, tumefanikiwa,” alisema Michael.

SHULE YA AWALI YA SUNRISE YA MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM YAWAFARIJI WATOTO YATIMA WA KITUO CHA WATOTO WETU TANZANIA NA KUFANYA USAFI COCO BEACH


 Mkurugenzi wa Kituo cha Yatima na wale waliotoka katika mazingira magumu cha Watoto Wetu Tanzania (WWT), Evans Tegete akizungumza na wanahabari mwishoni mwa wiki wakati akipokea misaada mbalimbali kutoka Shule ya Awali ya Sunrise.
 Mwalimu wa Shule hiyo, Suma Mwasuka (katikati), akizungumza na wanahabari.
 Mwalimu wa Taaluma wa shule hiyo, Anne Nyokabi (mbele), akiongoza wenzake kufanya usafi Coco Beach ikiwa ni kuunga mkono kauli ya Rais Dk.John Magufuli ya kufanya usafi kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi.
 Shughuli za usafi zikiendelea.
 Uhamasishaji wa usafi ukiendelea.
 Wanafunzi wa shule hiyo wakiwa wamekaa na wenzao wa Kituo hicho cha Watoto Wetu Tanzania walipofika kuwajulia hali na kuwapa misaada mbalimbali iliyolewa na wazazi, walimu na mwanafunzi mmoja mmoja

ASKARI POLISI ANATAFUTWA NA JESHI LA POLISI BAADA YA KUGUNDULIKA ALIJIPATIA AJIRA KWA VYETI VYA KUGUSHI, AKAAMUA KUKIMBIA.

Askari wa kikosi cha kuzuia ghasia katika jeshi la Polisi mkaoni Ruvuma F 5425 PC Emmanuel Nyagoli ( 35), anatafutwa na Jeshi hilo kwa
kosa la kujipatia ajira kwa vyeti vya Kugushi, Na kwasasa hajulikani alipokimbilia. Taarifa zaidi hii hapa RUVUMA TV.

SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA MABENKI (TBA)

 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job
Ndugai akiongea na viongozi wa Chama cha Mabenki Tanzania (TBA) wakati
walipomtembelea ofisini kwake 30 Machi, 2016 jijini Dar es Salaam.
 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.
Dkt. Tulia Ackson akiongea na viongozi wa Chama cha Mabenki Tanzania (TBA)
wakati walipomtembelea Spika ofisini kwake 30 Machi, 2016 jijini Dar es Salaam.
 Mmoja wa wajumbe wa Chama cha Mabenki (TBA) Bwana Neech Msuya
(kushoto) akifafanua jambo mbele ya Spika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Job Ndugai (hayupo pichani) wakati walipomtembelea ofisini kwake
30 Machi, 2016 jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa wajumbe wa Chama cha Mabenki (TBA) Bwana Shani
Kinswaga (kushoto) akifafanua jambo mbele ya Spika Bunge la Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (hayupo pichani) wakati walipomtembelea ofisini
kwake 30 Machi, 2016 jijini Dar es Salaam.
 
(Picha zote na BenedictLiwenga)