Friday, December 31, 2021

Rais Dkt.Mwinyi 2021 agusia matukio yalioacha alama nchini, asisitiza umoja,mshikamano 2022

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema, miongoni mwa matukio yaliyoacha alama katika historia ya nchi yetu katika mwaka 2021ni misiba ya viongozi wetu wakuu wawili, ambao ni Dkt.John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyefariki dunia Machi 17, 2021 na Maalim Seif Sharif Hamad aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar aliyefariki dunia Februari 17, 2021. 

"Watanzania tulipata huzuni kubwa kwa kuondokewa na viongozi wetu hawa. Tunamuomba Mwenyezi Mungu, awalaze mahali pema viongozi wetu hao na wananchi wengine waliotangulia mbele ya haki;

Mheshimiwa Rais Dkt.Mwinyi ameyasema hayo leo Desemba 31, 2021 Ikulu jijini Zanzibar wakati akitoa salamu za kuukaribisha mwaka mpya wa 2022 kwa wananchi.

LIVE:RAIS SAMIA AKILIHUTUBIA TAIFA KUPITIA VYOMBO VYA HABARI


 

Tisha Na Tembocardvisa Yafanikisha Miamala Ya Mabilioni

Mwandishi Wetu.
Mwezi mmoja tangu izinduliwe kampeni ya “Tisha na TemboCardVisa” katika mikoa ya kanda ya kaskazini inayolenga kuhamasisha miamala ya kidijitali, mwitikio wa wateja umefanikisha miamala ya mabilioni mpaka sasa.

Kwa kushirikiana na kampuni ya Visa International, Benki ya CRDB ilizindua kampeni hiyo Desemba mosi 2021 ukiwa ni utekelezaji wa mkakati wa kujenga utamaduni wa kufanya miamala ya kidijitali huku wateja wanaoshiriki hilo wakijiweka kwenye nafasi ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwamo kwenda kushuhudia kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) litakalofanyika nchini Cameroon mwaka 2022.

Tangu kuzinduliwa kwa kampeni hiyo katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro kulikojumuisha matangazo ya barabarani, uwezeshaji wa vituo vya huduma zikiwamo baa, Migahawa, vyuo vikuu, maduka ya rejareja na supermarkets na michezo hasa riadha, pamoja na ziara kwenye vyombo vya habari, Jumla ya miamala 136 yenye thamani ya Sh17 bilioni imefanyika.

Kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanapata taarifa za kampeni hii, maofisa wa Benki ya CRDB walitembelea vyombo vya habari wakianza na kituo cha Sunrise FM cha jijini Arusha. Maofisa hao walienda katika kituo hicho Desemba 10 mwaka 2021 na kutoa elimu kwa wananchi.
Licha ya kuzungumza na wananchi wa kituo hicho cha redio, huduma ya kulipa kwa kadi ilizinduliwa Pillars ambako maofisa wa benki walizungumza na wateja.
“Licha ya kuzungumza na wateja, tulitoa zawadi kuonyesha shukrani kwao kwa kuendelea kutumia huduma zetu,” anasema Erica Mwaipopo, meneja mwandamizi wa biashara ya kadi Benki ya CRDB. 
Maeneo mengine ambako huduma ilizinduliwa ni katika vituo vya mafuta kikiwamo cha Great North.
 
Wateja wanaoenda katika maeneo mbalimbali kufanya manunuzi ikiwamo TFA Mall nao wanaweza kuitumia huduma yetu kwani inapatikana hapo. Wanafunzi na wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi (Muco zamani Muccobs) mkoani Kilimanjaro nao wameunganishwa ambapo kunakipengele kinacho jitegemea kwenye promosheni hii mahsusi kwa wanafunzi. Mjini Moshi, huduma hii ya kulipa kwa kutumia kadi ya TemboCardVisa inapatikana katika kituo cha Mafuta cha Oryx, Kilimanjaro Star Supermarket pamoja na baa za Kwetu Pazuri na Redstone.

Desemba 24, Erica Mwaipopo alitoa elimu kwa wananchi wa Kilimanjaro wanaosikiliza Redio ya Kili FM na wateja waliokuwepo Kwetu Pazuri, Hugo’s Garden, Kilimanjaro Star Supermarket, Redstone na Kili Home Recreation Centre walianza kunufaika na huduma hii salama na ya uhakika baada ya kuzinduliwa katika vituo hivyo huku magari ya matangazo yakizunguka mitaani kuwahamasisha na kuwawezesha wananchi kuitumia.
Wiki tatu za kujumuika na wateja, wadau na wananchi wa kanda ya kaskazini zilihitimishwa Desemba 26 ambapo elimu ilitolewa kuhusu promosheni hiyo kwa washiriki wa Siha Marathon zilizodhaminiwa na Benki ya CRDB na kampeni ya Tisha na TembocardVisa ikaongeza uhai na kunogesha mashindano hayo.

Rais Samia Afanya Uteuzi Wa Viongozi Mbalimbali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali: -

1.     Amemteua Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Chancellor) kwa kipindi kingine cha miaka sita (06) kuanzia tarehe 17 Januari, 2022.

Rais Samia Kulihutubia Taifa Leo

Don’t blame China for Africa’s debt distress, but our leaders

Debt.

Spendthrift governments bent on squandering what they do not have are selling their people onto a modern-day slave market. PHOTO | FILE | NMG

By JENERALI ULIMWENGU

A steady stream of reports has been coming out regarding what has been termed as unfair economic relations entered into between Chinese economic giants and a

Samia brought a big heart and emotional intelligence into EAC

Tanzanian President Samia Suluhu

Tanzanian President Samia Suluhu. PHOTO | POOL

By Charles Onyango-Obbo

So another bad Covid-19 year ends, and 2022 is here. The East African Community has been, and it too is here. Being secretary-general of the East African Community must be the most thankless big job in the region, together with being in charge of a

Price-shy tea traders pull record tonnage from auction

 East Africa Tea Trade Auction

Traders at the East Africa Tea Trade Auction in Mombasa on Kenya’s Coast. PHOTO FILE | NATION

r the ambitious plan of a few people to start the Dar es Salam Tea Auction failed. We are aware that the idea was mooted by a few people seeking to compete with the

Four firms sign up to invest in Dar es Salaam’s mining

Workers

Workers at a gold mining site. PHOTO | FILE

By EMMANUEL ONYANGO

Tanzania seeks to increase mining revenue after it signed new agreements with four firms.

The four firms, Faru Graphite Corporation, Petra Diamonds Ltd (PDL), Nyati Mineral Sands Ltd and Sotta Mining Corporation, are now expected to invest in the mining

Ugandan novelist Kakwenza detained over offensive communication: police

Novelist Kakwenza Rukirabashaija

Ugandan novelist Kakwenza Rukirabashaija. PHOTO | DAILY MONITOR

By DAILY MONITOR

The Ugandan Police are holding novelist Rukirabashaija Kakwenza on allegations of offensive communication after a series of tweets about popular individuals that detectives are yet to name. 

South Africa lifts curfew as Omicron wave subsides

Covid jab SA

A woman receives a Covid jab. The highly contagious Omicron variant, which contains a number of mutations, has fuelled an end-of-year global pandemic resurgence. FILE PHOTO | AFP

By AFP

South Africa, where the Omicron variant was detected in November, said Thursday that the country's latest coronavirus wave had likely passed its peak without a significant increase in deaths and that restrictions would be eased.

Somalia, AU agree to review Amisom transition plan ahead of deadline

Amisom guard

Kenyan soldiers serving under Amisom guard Kismayo Sea Port in Somalia on October 6, 2021. Somalia and the AU on December 30, 2021 agreed to have their respective technical teams re-examine the future of Amisom. FILE PHOTO | NATION MEDIA GROUP

By AGGREY MUTAMBO

Somalia and the African Union on Thursday agreed to have their respective technical teams re-examine the future of the combat mission, Amisom, whose mandate was extended recently to the end of March 2022.

DSE trading plunges nearly by 50 percent in Christmas week

Week pic

DSE workers follow proceedings during a past trading session in Dar es Salaam. PHOTO | FILE

By Josephine Christopher


Dar es Salaam. Performance of the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) dropped by nearly a half last week as investors prepared to celebrate Christmas at the weekend.

Equity Bank to support investors seeking DRC business deals

Equity pic

Equity Group Managing Director and CEO Dr James Mwangi at the Equity Centre in Nairobi on Monday, October 25, 2021. PHOTO | DENNIS ONSONGO | NMG

By The East African

Nairobi. The Democratic Republic of Congo (DRC) has tipped Kenyans to invest in its minerals and agricultural sectors in deals that will get Equity Bank financing.

WHC ‘Faida Fund’ to take off in March

pic watumishi

The Watumishi Housing Company (WHC),chief executive Fred Msemwa.

By Rosemary Mirondo

Dar es Salaam. Watumishi Housing Company (WHC) yesterday said that its new collective investment scheme will be up and running by March 2022 after an administrative software that is being developed by e-government authority is finalised.