Thursday, March 31, 2022

TBL Yaalika Kampuni Chipukizi Za Kivumbuzi Kutatua Changamoto Za Maendeleo Na Kushinda USD 100,000

Meneja wa Masuala endelevu wa Kampuni ya TBL, Abigail Mutaboyerwa, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo wakati wa kutangaza program ya 'Accelerator 100+' inayowezesha Kampuni chipukizi za kiuvumbuzi kutoka mikoa yote nchini kujiunga ili ziweze kupata Dola 100,000 za kimarekani ili kuziwesha kutatua changamoto za kimaendeleo endelevu katika nyanja za ugavi, utunzaji maji, kilimo endeleovu na mabadiliko ya tabia nchi. Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Smart Lab, Edwin Bruno na Meneja Ugavi wa TBL, Dickson Rushekya.
Mkurugenz Mkaazi wa TBL, Jose Moran, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo wakati wa kutangaza program ya 'Accelerator 100+' inayowezesha Kampuni chipukizi za kiuvumbuzi kutoka mikoa yote nchini kujiunga ili ziweze kupata USD  100,000 zitakazowawezesha kutatua changamoto za kimaendeleo endelevu katika nyanja za ugavi, utunzaji maji, kilimo endeleovu na mabadiliko ya tabia nchi. Katikati ni Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Smart Lab, Edwin Bruno na Meneja wa Masuala endelevu wa TBL, Abigail Mutaboyerwa.
Meneja Ugavi wa Kampuni ya TBL, Dickson Rushekya akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo wakati wa kutangaza program ya 'Accelerator 100+' inayowezesha Kampuni chipukizi za kiuvumbuzi kutoka mikoa yote nchini kujiunga ziweze kupata Dola 100,000 za kimarekani ili kuziwesha kutatua changamoto za kimaendeleo endelevu katika nyanja za ugavi, utunzaji maji, kilimo endelevu na mabadiliko ya tabia nchi. Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Smart Lab, Edwin Bruno na Meneja wa Masuala endelevu wa TBL, Abigail Mutaboyerwa.

KAMPUNI ya vinywaji  ya TBL inayomilikiwa na kampuni ya AB Inbev imeendelea na jitihada  za kutafuta suluhu za  changamoto mbalimbali  za

OPERESHENI ANWANI ZA MAKAZI SASA NI ASILIMIA 67


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akizungumza wakati wa mkutano na Wakuu wa Mikoa uliofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa operesheni ya Anwani za Makazi.



Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza wakati wa mkutano na Wakuu wa Mikoa uliofanyika jijini Dodoma kwa lengo la kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa operesheni ya Anwani za Makazi.



Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe akizungumza na Wakuu wa Mikoa na viongozi mbalimbali katika mkutano wa Wakuu wa Mikoa kwa lengo la kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa operesheni ya Anwani za Makazi jijini Dodoma.



Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akiagana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Innocent Bashungwa baada ya mkutano wa wakati Wizara hizo na Wakuu wa Mikoa wa kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa operesheni ya Anwani za Makazi uliofanyika jijini Dodoma.

************************

Operesheni ya uwekaji wa Anwani za Makazi nchini iliyotangazwa tarehe 8 Februari mwaka huu wa 2022 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan sasa utekelezaji wake umefikia asilimia 67 kulingana na takwimu za

OFISI YA MAKAMU WA RAIS YASAINI MKATABA

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Kampuni ya Dezo Construction Co. Ltd Bw. Premji Pindoria wakisaini mkataba wa ujenzi na ukarabati wa kingo za fukwe katika maeneo ya mwambao wa Mikindani (Mtwara) hafla iliyofanyika leo Machi 31, 2022 Dustan Shimbo na Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi.



Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga (wa pili kushoto) na Mkurugenzi wa Kampuni ya Dezo Construction Co. Ltd Bw. Premji Pindoria wakionesha nyaraka za mkataba za ujenzi na ukarabati wa kingo za fukwe katika maeneo ya mwambao wa Mikindani (Mtwara) hafla iliyofanyika leo Machi 31, 2022 jijini Dodoma Dustan Shimbo na Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Bw. Abdallah Hassan Mitawi



Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais na wataalamu kutoka Kampuni ya Dezo Construction Co. Ltd Bw. Premji Pindoria mara baada ya kutiliana saini kwa mkataba wa ujenzi na ukarabati wa kingo za fukwe katika maeneo ya mwambao wa Mikindani (Mtwara) hafla iliyofanyika leo Machi 31, 2022 jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

…………………………………………………..

Ofisi ya Makamu wa Rais na Kampuni ya Ujenzi ya DEZO Civil Contractors Co. Ltd. zimesaini mkataba wa ujenzi na ukarabati wa kingo za fukwe katika maeneo ya

Tanzania Kuanza Majaribio Ya Chanjo Yake Ya Corona



 Na Amiri Kilagalila,Njombe


Misanga Marko mtafiti na daktari mwandamizi kutoka NIMR Mbeya,amesema nchi ya Tanzania imetengeneza chanjo ya Corona inayotarajiwa

WAZIRI GWAJIMA ALAANI MAUAJI YA WAZEE WATATU WALIOUWAWA NA KUCHOMWA MOTO KWA MADAI YA USHIRIKINA IRAMBA MKOANI SINGIGA

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya mauaji ya wazee watatu (Agnes Msengi miaka 84, Windila Saidi miaka 80 na Winfrida Gigila miaka 80) waliouwawa kwa kuchomwa moto na wanakijiji wenzao kwa kile kinachodaiwa kuwa wamekuwa wakishiriki vitendo vya

Kampuni Ya Howden Puri Yazindua Bima Maalum Kwa Machinga



Mkuu wa wilaya ya Ilala Ng’wilaburu Ludigija (kushoto) akizungumza katika uzinduzi wa bima ya Hifadhi Biashara iliyoanzishwa na kampuni ya Howden Puri. Bima hiyo maalum kwa wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga.

Kamishna wa Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima Nchini (TIRA) Dkt. Baghayo Abdallah Saqware akizungumza katika uzinduzi wa bima ya Hifadhi Biashara iliyoanzishwa na kampuni ya Howden Puri. Bima hiyo maalum kwa wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga.



Meneja Masoko wa Kampuni ya Bima a Howden Puri Sinda Sinda akizungumza katika uzinduzi wa bima ya Hifadhi Biashara iliyoanzishwa na kampuni ya Howden Puri. Bima hiyo maalum kwa wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga.

Mwenyekiti wa Chama Cha wafanyabiashara wadogo wadogo (Machinga) mkoa wa Dar es Salaam, Yusuph Namoto kizungumza katika uzinduzi wa bima ya Hifadhi Biashara iliyoanzishwa na kampuni ya Howden Puri. Bima hiyo maalum kwa wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga

Mratibu wa bidhaa wa kampuni ya Selcom, Gallus Runyeta akizungumza wakati wa uzinduzi wa bima ya Hifadhi Biashara iliyoanzishwa na kampuni ya Howden Puri. Bima hiyo maalum kwa wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga.


Mkuu wa Kitengo cha Tigo Pesa Mshamma Mshamma akizungumza katika uzinduzi wa bima ya Hifadhi Biashara iliyoanzishwa na kampuni ya Howden Puri. Bima hiyo maalum kwa wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga.

Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu kwa jina la Wamachinga wakifuatilia uzinduzi wa bima ya Hifadhi Biashara iliyoanzishwa na kampuni ya Howden Puri.

Washirika wakuu wa Bima ya Hifadhi Biashara iliyozinduliwa na kampuni ya Howden Puri wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Wialaya ya Ilala Ng’wilaburu Ludigija


Mkuu wa Wilaya akiwa na Washirika wa Bima ya Hifadhi BiasharaViongozi mbalimbali wa Hifadhi biashara

Kampuni ya Howden Puri imezindua bima maalum kwa wajasiriamali ijulikanayo kwa jina la Hifadhi Biashara, ambayo lengo kubwa ni

RAIS SAMIA AFANYA MABADILIKO MADOGO YA BARAZA LA MAWAZIRI


KQ’s see-sawing strategies keep investors waiting for turnaround

 

A Kenya Airways plane at the JKIA in Nairobi. FILE PHOTO | NMG

Finding a cure for the ailing Kenya Airways  has proven to be a big problem for the government, with the airline gobbling up billions in bailouts without much sign of a recovery.

Insurers invest Sh66bn more in bonds, T-bills

 

The National Treasury building in Nairobi. PHOTO | SALATON NJAU | NMG

Insurance companies increased their investment in government bonds and T-bills by Sh66.2 billion or 15 percent in the quarter ended December, seeking to lock in double-digit returns offered by the securities.

How Absa is coping with loss of mobile transfer fees

 

For three years now, banks have not made money on transfers between accounts and mobile wallets.

In an interview with the Business Daily, Absa Bank Kenya  chief executive Jeremy Awori discussed the risks associated with the Central Bank of Kenya (CBK) waiver and why the banks would even be willing to cut the fees as a tradeoff to have the charges reinstated.

Love still drives my business

 

Kayamba afrika director Juma Odemba. FILE PHOTO | NMG

Microphone in hand, Juma Odemba, is the uber master of ceremonies. He is funny and irreverent, surprising and provocative. At wedding receptions—champagne in hand — he dances, jokes and swaggers around, wielding his charm and chutzpah.

Safaricom dividend pay pulls NSE to one-year low

 

Securities trader Mbuthia Irungu at Nairobi Securities Exchange (NSE) trading floor at the Exchange building in Nairobi on August 26, 2020. PHOTO | SALATON NJAU | NMG

Investors at the Nairobi Securities Exchange (NSE)  lost Sh73.2 billion in

War in Ukraine: Latest developments

War pic

Ukrainian soldiers fire their weapons, during a training exercise at an undisclosed location, near Lviv, western Ukraine, March 29, 2022. PHOTO | AP

By AFP

Here are the latest developments in the war in Ukraine: 

- Buses sent to Mariupol - 

Ukraine's government says it is sending 45 buses to evacuate civilians from the

Tanzania’s national debt reaches Sh64.5 trillion

Debt pic

Controller and Auditor General (CAG) Charles Kichere. PHOTO | FILE

By Rosemary Mirondo

Dar es Salaam. Tanzania’s national debt has increased Sh7.76 trillion from

Dr Mpango on Tanzania’s position in the Russia-Ukraine conflict

Mpango Dubai

PHOTO| COURTESY

By The Citizen Reporter
By Agencies

Many African countries including Tanzania have chosen to remain neutral in the

EAC now one of Africa's largest trading areas

EAC Summit

Virtual EAC Heads of State Summit. PHOTO | EAC Twitter account

By Zephania Ubwani

Arusha. The East African Community (EAC) is now one of the leading trading blocs in Africa, thanks to the entry of DR Congo yesterday.

How payment delays cost Tanzania billions annually

CAG, Samia

President Samia Suluhu Hassan (left) receives a report for the year 2020/2021 from the Government Controller and Auditor General, Mr Charles Kichere (right) during a hand-over ceremony at Chamwino State House in Dodoma yesterday. PHOTO | STATE HOUSE

By Rosemary Mirondo

Dar es Salaam. Tanzania is losing billions of shillings each year due to delays in

Bernard Membe returns to CCM fold after four years

membe pic

Bernard Membe a former presidential candidate in October 2020 polls on the ACT-Wazalendo ticket.

By The Citizen Reporter

Dodoma. Former Foreign Affairs minister Bernard Membe has returned to ruling party Chama cha Mapinduzi (CCM) in announcement that was made by the party’s