Wednesday, March 31, 2021

PATA VICHWA VYA HABARI KUTOKA MAGAZETINI LEO ALHAMISI APRILI 1, 2021













VW says regrets name-change prank after outcry

VW pix
By AFP

5,000 Mozambique attack survivors have found refuge, says UN

Cabo pix
By AFP

Outrage in Nigeria over Buhari's London medical trips

Buhari pic
By AFP

Lagos. Critics of Nigerian President Muhammadu Buhari have launched an outcry after he flew to London for a medical visit, highlighting his frequent trips abroad for treatment and the country's ramshackle health system.

BUNGE LIMEELEZWA SABABU ZA JKT KUSITISHA MAFUNZO YA VIJANA WA KUJITOLEA MF 2020/21


……………………………………………………………………………………..

Na.Alex Sonna,Dodoma

BUNGE limeelezwa kuwa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ilisitisha mafunzo ya vijana wa kujitolea

Soma zaidi...... SHAMIMU MWASHA NA MUMEWE GEREZANI MAISHA, GARI LAO KUTAIFISHWA

Mmiliki wa Blog ya 8020 Fashion, Shamimu Mwasha akitoka katika chumba cha Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi mara baada ya kuhukumiwa kifungo cha misha Jela leo Machi 31.
Mfanyabiashara Abdul Nsembo (45) akiwa katika Mahabusu ya Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu kama mahakama ya mafisadi leo mara baada ya Kuhukumiwa Kifungo cha Maisha jela.

Gari aina ya Land Rover Discover, T 817 DQN walilokutwa nalo washtakiwa na Shamimu na Mumewe limeamuliwa litaifishwe na kuwa mali ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii
MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi

WAZIRI NDALICHAKO AKABIDHI MAGARI 38 KWA WADHIBITI UBORA WA SHULE ZA KANDA NA WILAYA

WAZIRI wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako,akizungumza na watumishi wa wizara hiyo wakati wa hafla ya kukabidhi Magari 38  kwa wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe Omary Kipanga,akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Magari 38  kwa wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Bw.Moshi Kabengwe,akieleze mikakati wakati wa hafla ya kukabidhi Magari 38  kwa wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

Baadhi ya Watumishi wakifatilia Hotuba ya Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako,wakati wa hafla ya kukabidhi Magari 38  kwa wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

Baadhi ya Magari yaliyotolewa  kwa wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako,akikata utepe kuashiria ugawaji wa  Magari 38  kwa wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako,akiingia kwenye gari mara baada ya kukabidhi Magari 38  kwa wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako,akiwa ndani ya gari akienda mara baada ya kuwakabidhi Magari 38  wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako,akimkabidhi ufunguo wa gari Mdhibiti Mkuu ubora wa Shule Kanda ya Ziwa Bw.Victor Bwindiki  mara baada ya kuwakabidhi  Magari 38  wadhibiti ubora wa shule za Kanda na Wilaya iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

WAZIRI wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako,akiwa na Naibu wake Mhe Omary Kipanga wakimsikiliza Mdhibiti Mkuu ubora wa Shule Kanda ya Ziwa Bw.Victor Bwindiki wakati akitoa neno la shukrani mara baada ya Waziri Kukabidhi Magari 38 kwa Wadhibiti Ubora wa Shule za Kanda na Wilaya hafla iliyofanyika leo Machi 31,2021 jijini Dodoma.

……………………………………………………………………………..

Na.Alex Sonna,Dodoma

WAZIRI wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof.Joyce Ndalichako ,amekabidhi magari 38 kwa

MAKAMU WA RAIS DKT PHILIP MPANGO AWASILI OFISINI KWAKE IKULU CHAMWINO JIJINI DODOMA. ,



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango kwa mara ya kwanza amewasili Ofisini kwake Ikulu Chwamwino na kuzungumza na Viongozi wa Ofisi yake mara baada ya Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma kumuapisha kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo March 31,2021 Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa mara baada ya Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma kumuapisha Dkt. Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo March 31,2021 Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.


 

Mabadiliko ya baraza la mawaziri Tanzania

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.

Mabadiliko hayo ameyafanya hii leo katika Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma wakati wa hafla ya kumuapisha makamu mpya wa Rais wa nchi hiyo. Mwandishi wetu.

Airlines oppose closing of airspace in five counties

jambo

Passengers disembark from a Jambojet plane at Jomo Kenyatta International Airport, Nairobi. FILE PHOTO | NMG

bonface_img

Summary

  • Domestic air travel operators has opposed blocking local airlines to fly foreign tourists in and out of Nairobi and four surrounding counties, saying the move will kill tourism in Kenya.
  • Through their lobby, the— Kenya Association of Air Operators (KAAO), the airlines yesterday said the state erred in its decision, arguing that foreign tourist land in the country with Covid-19 certificates.

Kenyattas, Co-op CEO top in Sh17bn bank dividends

uhuru-coop-ncba

Co-operative Bank chief executive Gideon Muriuki (left) and President Uhuru Kenyatta. FILE PHOTOS | NMG

victorjuma_img

Summary

  • The Kenyattas are set to receive Sh326 million for their combined 13.2 percent stake in NCBA Group, which has proposed a payout of Sh1.5 per share.
  • The Ndegwas will earn Sh290 million on their 11.7 percent ownership in the same bank, which was created following the merger of the former NIC Group and CBA Group.
  • Mr Muriuki is set for a Sh102 million payout after Co-op Bank declared a dividend of Sh1 per share

Motor insurance cover valid under curfew hours - IRA

motorists

Public and private vehicles along Moi Avenue in Nairobi heading out of the city centre on December 5, 2020. PHOTO | DENNIS ONSONGO | NMG

Motorists will be able to receive claims if involved in an accident past curfew hours, the insurance regulator has clarified putting to rest earlier reports by the industry players.

CMA slaps Sh15m fine on Real People bosses for misuse of funds

Daniel Ohonde

Real People CEO Daniel Ohonde (left), board member Nthenya Muli and Nairobi Securities Exchange chief executive Geoffrey Odundo (right) at the bell ringing to mark the start of Real People bond trading at the Nairobi bourse on August 19, 2015. FILE PHOTO | NMG

The Capital Markets Authority (CMA) has fined four former directors of microlender Real People a

Foes turn into friends to protect nature Lions.

Lions.Lions in Tanzania. PHOTO | COURTESY | NCAA
By APOLINARI TAIRO

Uganda’s expo goes virtual to revive tourism sector


Traditional dancers.

Traditional dancers perform at a Pearl of Africa tourism Expo in Kampala. PHOTO | MORGAN MBABAZI | NMG

By JONATHAN KAMOGA

Tourism authorities in Uganda are targeting about Ush12.2 billion ($3.3m) as return on investments from this year’s Pearl of Africa Tourism Expo (POATE) slated for between April 23 and 25.

Tanzania Ports Authority boss arrested for questioning on graft claims

TPA boss Deusdedit Kakoko

Tanzania Ports Authority (TPA) Director-General Deusdedit Kakoko. PHOTO | FILE | NMG

By THE CITIZEN
By XINHUA

Dar es Salaam,

Tanzania's anti-corruption watchdog said on Tuesday it has arrested the

IMF Board approves $174m Covid-19 emergency funds for South Sudan

Salva Kiir.

South Sudan's President Salva Kiir. The country has secured $174 million from the International Monetary Fund (IMF). PHOTO | AFP

By ANTHONY KITIMO

The International Monetary Fund (IMF) on Wednesday approved a disbursement of $174.2 million to