Monday, February 29, 2016

Tanzania makes more gas finds off Dar coast

 Tanzania's President John Magufuli. His government has slapped stringent restrictions on all diplomatic, consular missions and international organisations meeting with its officials as well as political leaders in the country. PHOTO | AFP

By HENRY MWANGONDE
In Summary
  • This is the biggest onshore gas discovery in Tanzania and the third significant discovery after Mnazi Bay and Songo Songo in Mtwara and Lindi regions.

Will oil glut hinder Kenya's entry into the Islamic money market?


Islamic banks in Kenya have in recent past raised funds in Gulf countries. PHOTO | FILE
Islamic banks in Kenya have in recent past raised funds in Gulf countries. PHOTO | FILE 
By ALLAN OLINGO
In Summary
  • Falling oil prices, uncertainty over a US Federal Reserve interest rate increase, and the complexity of structuring a Sukuk bond among challenges Kenya could encounter.
  • The International Sukuk bond issuance has been on a downward trend, with its 2015 issuance dropping to $20 billion compared with a high of $30 billion in 2014.
  • However, Jaffer Abdulkadir, KCB Group head of Islamic banking, says it is still viable for Kenya to enter the Sukuk market despite the liquidity issues in the GCC countries.
  • Legislative gaps on Islamic banking could also delay issuance of the bond.

Barclays plays down impact of possible Africa exit

A branch of Barclays bank in central London. PHOTO | FILE

A branch of Barclays Bank in central London: A report by the Financial Times on Friday that the bank's chief executive, Jess Staley, had decided to shut operations in Africa. PHOTO | FILE 
In Summary
  • The UK-based lender said on Sunday its board was evaluating strategic options in relation to its shareholding in its African business.
  • Announcement comes after a report by the Financial Times on Friday that the bank's chief executive, Jess Staley, had decided to shut operations in Africa and had appointed a subcommittee to study the sale process.

African IPOs undeterred by commodities rout, says US law firm

Launch of the NSE initial public offer.  PHOTO | NATION
Launch of the NSE initial public offer in 2014. African IPOs expected in 2016 include the self-listing of the Dar es Salaam Stock Exchange, Botswana Telecoms and real estate fund Tadvest's dual listing in Mauritius and Namibia. PHOTO | FILE 
By Reuters
In Summary
  • If transactions in the pipeline are concluded they are likely to raise $3.1 billion, some $1.5 billion more than was raised by last year's 21 IPOs on the continent, said Baker & McKenzie, a leading law firm by deal count for mergers and acquisitions in emerging markets, in a statement.

Facebook-owned WhatsApp to end support for Nokia, Blackberry


WhatsApp said that the millions of people operating the targeted phones would have to get newer phones by year end or be locked out of the popular text-based service. PHOTO | FILE  
By JAMES KARIUKI
In Summary
  • All BlackBerry phones will be hit by the decision, despite their record seven million sales in 2014.
  • Facebook-owned app says targeted devices do not offer customers the capability to accommodate new features when an upgrade takes place ‘in the near future’.

EAC positions itself for Nile irrigation and power projects


River Nile in Egypt.  Photo/AFP
River Nile in Egypt. East African countries are positioning themselves to benefit from irrigation and hydroelectric power projects along the River Nile. PHOTO | FILE 
By MOSES ODHIAMBO
In Summary
  • East African countries are positioning themselves to benefit from irrigation and hydroelectric power projects along the River Nile.
  • Most of the $6 billion projects that have been in development for the past 16 years will be commissioned by 2017.
  • The 10 countries sharing the Nile’s waters — Kenya, Egypt, Ethiopia, Rwanda, South Sudan, Tanzania, Uganda, Democratic Republic of Congo, Sudan and Burundi — are all involved in the projects.

Government allocates 1.65bn/- to teachers' colleges countrywide

Wife of the immediate former President, Salma Kikwete
 The government has allocated 1.65bn/- to Block Teaching Practice in the country’s teachers’ training colleges this year, according to Prime Minister Kassim Majaliwa.

Exim Bank lists retail bond at DSE


Deputy Finance and Planning minister Dr Ashatu Kijaji rings the bell to officially mark the listing of the Exim Bond at the Dar es Salaam bourse on Friday. Photo: Courtesy of Exim Bank
 The Exim Bank retail bonds have been floated at the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) for trading to mark yet another milestone in the development of the capital markets in the country.

TPB YATOA MIKOPO KWA VIKUNDI VYA SACCOS KIGOMA, NI MPANGO WA KUINUA MITAJI YA WAJASIRIAMALI

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya, (kushoto), akimpatia mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni75 Kaimu mwenyekiti wa Saccos ya Ishimwe Kigoma Bi.Gabriela Hangula wakati wa hafla ya kukabidhi fedha kwa vikudi vya benki za vijijini (VICOBA), mkoani humo,. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma. John Ndungulu,
Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Tanzania, (NEEC), Bi. Beng’ Issa na Afisa Mtendaji Mkuu, (CEO) wa Benki ya Posta Tanzania, Bw. Sabasaba Moshingi.Benki ya Posta imekabidhi jumla ya silingi milioni 175 kwa vikundi hivyo viwili ikiwa ni mpango wa kuwawezesha wananchi kwa kuwakooesha fedha kuinua mitaji yao chini ya udhamini wa baraza hilo.


 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya (kushoto), akimpa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 100 Mwenyekiti wa Saccos ya TWCC Kigoma, Dorothy Takwa. Wa pili kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma John Ndungulu, Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Uchumi Tanzania Bi. Beng’ Issa na Afisa Mtendaji wa Benki ya Posta Sabasaba Moshingi akishuhudia makabidhiano hayo.
.
 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Sabasaba Moshingi akiongea na wana-saccos wa Manispaa ya Kigoma-Ujiji, kabla ya kuwakabidhi kiasi cha fedha Shs milioni 175/=kama mkopo ili kuinua mitaji yao. Kutoka kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, John Ndungulu, Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi Tanzania, (NEEC), Bi. Beng’ Issa na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya
Mkurugenzi wa Idara ya Mikopo wa Benki ya Posta Tanzania, Henry Bwogi akimpa zawadi mmoja wa mwanachama wa Saccos, kulia ni Afisa Uhusiano na Mawasiliano ya Benki Tanzania, Timotheo Mwakifulefule. 

POLISI WAZIMA MAANDAMANO YA WANAFUNZI WA KILICHOKUWA CHUO KIKUU CHA MTAKATIFU JOSEPH TAWI LA SONGEA

01
Mmoja wa vijana ambaye anasadikiwa ndiye aliyekuwa kinara wa kuhamasisha maandamano ya wanafunzi wa vyuo vya Mtakatifu Joseph vya Tawi la Songea vilivyofungwa na serikali  akiwa chini ya ulinzi wa kikosi cha kuzuia fujo FFU kutokana na kufanya maandamano kinyume cha utaratibu wakitaka kwenda kumuona Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi wakati walipodhibitiwa maeneo ya shule ya Bunge posta wakielekea wizarani leo.
TUME ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) ilifuta kibali kilichoanzisha vyuo vikuu viwili vishiriki vya Mtakatifu Joseph ambavyo ni Chuo Kikuu kishiriki cha Sayansi ya Kilimo na Teknolojia (SJUCAST) na Chuo Kikuu kishiriki cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (SJUIT) vilivyopo Songea.
(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
1
Baadhi ya askari wakijiandaa kuzuia maandamano ya wanafunzi hao leo maeneo ya wizara ya Fedha na Mipango Posta  jijini Dar es salaam.
2
Wanafunzi hao wakifurumushwa na polisi mara baada ya kuktwa wakiandamana bila kibali kwenda kumuona  Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi
3
Wanafunzi hao wakitoka mbio baada ya kuamriwa na polisi kuondoka eneo hilo na kutawanyika.
4
Askari polisi wakizunguka maeneo mbalimbali kuangalia hali ya usalama.
5
Polisi wakiwazuia wanafunzi hao na kuwaamuru kutawanyika kabla ya kuchukuliwa kwa hatua zaidi.
6
Mmoja wa polisi akiwaamuru wanafunzi hao kutawanyika eneo hilo.

TAS NA UTSS WAMTAFUTA MWENZAO ALIYEPOTEA.

2 (1)Jacquiline Mrisho – MAELEZO. Dar es Salaam.
Chama cha Watu Wenye Ualbino Tanzania (TAS) wameiomba Serikali kuwasaidia kumtafuta Bw. Said Abdalah Ismail (47) mkazi wa Kijiji cha Mbezi Mlungwana Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani.

BWENI LA WAVULANA SHULE YA SEKONDARI IYUNGA JIJINI MBEYA LATEKETEA KWA MOTO

Moto ukiendelea kuteketeza Bweni la Wavulana (Mkwawa ) katika shule ya sekondari ya
Iyunga jijini Mbeya ambapo chanzo chake kimetajwa kuwa ni hitilafu ya umeme ambapo moto huo ulizuka majira ya saa 3 asubuhi february 29 mwaka huu wakati wanafunzi wakiwa madarasani.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Nyirembe Munasa mwenye suti akisaidiana na kikosi cha Zima moto kuuzima moto ulioteketeza Bweni la wavulana katika shule ya sekondari ya Iyunga jijini Mbeya linalolaza wanafunzi 95 February 29 mwaka huu ambapo hakuna  
 
Muonekano wa bweni la Wavulana katika shule ya sekondari Iyunga jijini Mbeya mara baada ya kuteketea kwa moto uliosababishwa na hitilafu ya umeme majira saa3 asubuhi ambapo hakuna mwanafunzi yeyote aliyejeruhiwa kutokana na ajali hiyo ya moto. .
 
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Nyirembe Munasa akizungumza na Walimu pamoja na wanafunzi (hawapo pichani )katika shule ya sekondari Iyunga jijini Mbeya mara ya baada ya kukumbwa na tukio la kuungua kwa moto kwa mabweni ya wavulana ya (Mkwawa) February 29 mwaka huu.
Kamati ya ulinzi na Usalama wilaya ya  Mbeya na baadhi ya viongozi wakitizama athari zilizotokea mara baada ya mabweni ya wavulana katika shule ya sekondari Iyunga jijini Mbeya kuungua moto uliosababishwa na hitilafu ya umeme February 29 mwaka huu .
Afisa elimu Mkoa wa Mbeya Charles Mwakalila akizungumzia athari zilizojitokeza mara baada ya mabweni ya wavulana katika shule ya sekondari ya Iyunga jijini Mbeya ambayo yaliteketea kutokana na hitilafu ya umeme majira ya saa3 asubuhi wakati wanafunzi wakiwa madarasani .
 
Baadhi ya wanafunzi waliofanikiwa kuokoa vifaa vyao kwa masaada wa watu wa zima moto wakiwa nje wakisubiri utaratibu mara baada ya bweni lao kuteketea kwa moto.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa  nje kusbiri utaratibu mara baada  waliofanikiwa kuokoa baada ya bweni lao kutektea kwa moto.Picha na David Nyembe 
 

Mke wa Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa WAMA asisitiza umuhimu wa Chama cha Girl Guide Tanzania Kuongeza Wanachama

WAMA1
Mke wa Rais Mstaafu na Mwenyekiti wa WAMA akisalimiana na Mama Othman Chande alipowasili katika Shule ya Sekondari Tambaza kuhudhuriaWorld Thinking Day iliyoandaliwa na Tanzania Girl Guide Association.
WAMA2
Wanachama wa Girl Guide wakiwasili katika Shule ya Sekondari Tambaza  katika kusherekea World Thinking Day  ambao walipokelewa na Mgeni Rasmi Mama Salma Kikwete.
WAMA3
Mama Salma Kikwete akiingia katika ukumbi wa Tambaza Sekondari akiwa na viongozi wa Girl Guide kushoto ni Mama Symphorosa Hangi, Kamishna Mkuu  na kulia ni Mama Matilda Balama na Mkuu wa Shule ya Tambaza.
WAMA4
Picha ya Pamoja na Mgeni Rasmi  na baadhi ya wanafunzi Wanachama na viongozi wa  Girl Guide
WAMA5
Mama Salma Kikwete akiangalia kazi za wakinamama wajasiriamali ambao walifanya maonyesho katika sherehe hizo
PICHA NA YUSUPH BADI
………………………………………………………………………………………………………………….

OLDUVAI GORGE IKO TANZANI SI KENYA

old map2download (12)old map
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imekuwa ikifuatilia kwa makini majadiliano yanayoendelea katika mitandao mbalimbali ya kijamii kufuatia video iliyotumwa katika YouTube https://www.youtube.com/watch?=iveX49WE7fw na kusambazwa kupitia njia mbalimbali za habari ikimuonesha mtu mmoja kutoka nchi jirani akisema kuwa Olduvai Gorge ambayo kimsingi iko Kenya.
Video hii imeibua majadiliano katika mitandao ya kijamii baina ya watanzania na watu wengine ambao wanaitakia mema Tanzania na wanaoelewa vizuri kuwa Olduvai Gorge iko Tanzania.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AZUNGUMZA NA WAZEE WA MKOA WA TANGA JANA JIONI MKOANI TANGA

sul1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Tanga katika kikao maalum kilichoangaliwa kwa ajili yake kilichofanyika Ikulu ndogo mjini Tanga jana jioni Februari 28, 2016. (Picha na OMR)

WAZIRI MKUU AAGIZA DAKTARI ASIMAMISHWE KAZI

MTW1
Wamawake wakiwa wametandika khanga kwenye wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Februari 29, 2016.Waziri Mkuu, Kassim majaliwa alitembelea wodi hiyo na kukemea mtindo huo akiwataka wauguzi na waganga kutandika mashuka yahospitali ambayo alisema ana taarifa kuwa yapo ili kuepusha hatari ya wananwake hao kubeba magonjwa kupitia kahanga hizo watokapo hospitalini hapo.(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
mtw2
Wamawake wakiwa wametandika khanga kwenye wodi ya wazazi ya Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Februari 29, 2016.Waziri Mkuu, Kassim majaliwa alitembelea wodi hiyo na kukemea mtindo huo akiwataka wauguzi na waganga kutandika mashuka yahospitali ambayo alisema ana taarifa kuwa yapo ili kuepusha hatari ya wananwake hao kubeba magonjwa kupitia kahanga hizo watokapo hospitalini hapo.(Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
mtw3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea hospitali ya Mkoa wa Mtwara Februari 29, 2016. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Halima Dendego na kulia Ni Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dkt.Shaibu Maarifa.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
mtw4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitembelea hospitali ya Mkoa wa Mtwara Februari 29, 2016. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Halima Dendego na kulia Ni Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dkt.Shaibu Maarifa.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
mtw5
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Waganga, Wauguzi na wafanyakazi wa Hospitali ya Mkoa wa Mtwara wakati alipoitembelea Februari 29, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
mtw6
Baadhi ya Wauguzi na Madaktari wa Hospitali ya Mkoa wa Mtwara wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao hospitalini hapo Februari 29, 2016. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
mtw7
Waziri Mkuu, Kassim majliwa akitoa agizo la kusimamishwa kazi Daktari wa Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Fortunatus Namahala (kulia)  baada ya kutajwa kuwa alidai rushwa ya sh.100, 000/= ili aweze kumtibu baba mzazi wa Tatu Abdallah (wapili kulia) wakati alipoitembelea hospitali hiyo Februari 29, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
mtw8
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akiagana na Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Shaibu Maarifa kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara kabla ya kurejea Dar es slaam Februari 29, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
mtw9
Waziri Mkuu, Kassim majaliwa akitazama ngoma  kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara kabla ya kuondoka  kurejea Dar es salaam Februari 29, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA WARSHA YA PILI YA KIMATAIFA YA UNESCO MKOANI TANGA LEO

su1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
su2
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Mkurugenzi Msaidizi wa UNESCO kanda ya Afrika Firmin Matoko katikati na mwakilishi Mkaazi wa UNESCO Tanzania Zulmira Rodrigues kabla ya kufungua rasmi Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
su3
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza jambo na Balozi wa Korea kusini Nchini Geum-Young Song kabla ya kufungua rasmi Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
su4
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi Cheti kiongozi wa Spice kutoka Zanzibar ambae ni mmoja kati ya washiriki Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai  katika hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
su5
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi Cheti Judith Mwambela mmoja kati ya washiriki Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai katika hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.
su6
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katikati akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Warsha ya pili ya Kimataifa inayojadili kuhusu Bayoanuwai katika hifadhi ya kupunguza umaskini na uhifadhi ya viumbe hai na maendeleo endelevu kusini mwa Jangwa la Sahara. Warsha hiyo imefunguliwa leo Februari 29, 2016 katika ukumbi wa Hoteli ya  Tanga Beach Resort Mkoani Tanga.(Picha na OMR)

MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. BILAL AKABIDHI ZAWADI ZA WASHINDI WA MASHINDANO YA KUTAFUTA WAWAKILISHI WA NCHI KATIKA MASHINDANO YA KIMATAIFA YA QUR’AN TUKUFU.

bil1
Makamu wa Rais mstaafu  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla fupi ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa mashindano ya kumtafuta mwakilishi wa Nchi atakayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan Tukufu, yaliyoandaliwa na Kamati Maalum chini ya Mwenyekiti wake Saleh Omary, yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, jana Feb 28, 2016. Picha na Mafoto Blog
bil2
Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, mshindi wa kwanza wa Mashindano ya kumtafuta mwakilishi wa Nchi atakayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan Tukufu, Rajai Ayoub, aliyepata pointi 95 kwa upande wa Tajweed, wakati wa mashindano hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, jana Feb 28, 2016. Mashindano hayo yameandaliwa na Kamati maalum chini ya Mwenyekiti wake, Saleh Omary. . Kushoto ni Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mahd Aghajafar . Picha na Mafoto Blog
bil3
Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, mshindi wa pili wa Mashindano ya kumtafuta mwakilishi wa Nchi atakayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan Tukufu, Ibrahim Omary, aliyepata pointi 90 kwa upande wa Tajweed, wakati wa mashindano hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, jana Feb 28, 2016. Mashindano hayo yameandaliwa na Kamati maalum chini ya Mwenyekiti wake, Saleh Omary. Kushoto ni Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mahd Aghajafar. Picha na Mafoto Blog
bil5
Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu, waliohudhuria mashindano hayo, wakimsikiliza Dkt. Bilal, wakati akihutubia. Picha na Mafoto Blog
bil6
Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu, waliohudhuria mashindano hayo, wakimsikiliza Dkt. Bilal, wakati akihutubia. Picha na Mafoto Blog
bil8
Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Balozi wa Iran nchini Tanzania, Mahd Aghajafar, wakati wa Mashindano ya kumtafuta mwakilishi wa Nchi atakayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan Tukufu hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, jana Feb 28, 2016. Mashindano hayo yameandaliwa na Kamati maalum chini ya Mwenyekiti wake, Saleh Omary. Kulia ni Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Al-had Mussa Salum. Picha na Mafoto Blog
bil9
Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakati akiondoka kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, baada ya kumalizika kwa mashindano ya kumtafuta mwakilishi wa Nchi atakayeiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya Kimataifa ya Qur’aan Tukufu. Picha na Mafoto Blog
bil10
Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sl-had Mussa Salum, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi, kufunga mashindano hayo. Picha na Mafoto Blog
bil11
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano hayo,Saleh Omary, akizungumza wakati wa mashindano hayo. Picha na Mafoto Blog

WAZIRI MKUU APOKEA MISAADA YA ZAHANATI, KOMPYUTA

hal2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya shilingi milioni tisa kutoka kwa Mtalaam wa Ufundi wa Kampuni ya simu ya Halotel wa mkoa wa Lindi, Tran The Hoang ili ziweze kugharimia malipo ya kadi za bima ya Afya kwa baadhi ya wakazi wa kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa. Alikuwa katika ziara ya siku moja wilayani humo Februari 29, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
…………………………………………………………………………

MAOMBI YA USAJILI WA WAKALA BINAFSI WA HUDUMA ZA AJIRA KWA KIPINDI CHA MWAKA 2016

  1. download (2) 
  2. Kwa kuzingatia matakwa ya kifungu cha 20 cha Sheria ya Kukuza Huduma za Ajira Na. 9 ya Mwaka 1999 pamoja na Kanuni zake kupitia Gazeti la Serikali 232 la tarehe 11Julai 2014, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu inakaribisha maombi  ya kufanya shughuli za Wakala Binafsi wa Huduma za Ajira kwa kipindi cha mwaka 2016

WADAU WAAANZA KUJENGA UELEWA KUHUSU SIKU YA MAGONJWA YANAYOTOKEA KWA KUNDI DOGO LA JAMII

Wadau hao wakinyoosha mikono juu kuonesha umuhimu wa kuadhimishwa kwa siku hiyo ya Magonjwa Yanayotokea kwa kundi dogo la jamii ndani ya jamii.
Mratibu wa tukio hilo Bibi Sharifa Mbaraka akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye moja ya ukumbi wa hoteli ya Serena leo jijini Dar,Bi.Sharifa alisema kuwa tukio hilo limedhamiria kujumuisha  vyombo vya habari na wadau wengine ili kujenga uelewa

Pichani wa pili kulia ni Mdau mkubwa wa sekta ya afya Monica Joseph kutoka Philips Medical Systems , akifafanua zaidi kuhusiana na huadhimishwa kwa Siku ya ‘Rare Disease’ Duniani ambayo inaadhimishwa leo.Monica amesema kuwa ni wakati mwafaka kwa Watanzania kuwa na tahadhari ya kuelewa kuhusu magonjwa hayo ili wanajamii waweze kufahamu mbinu za kuyadhibiti iwapo watayakuta ndani ya jamii. pichani kulia ni Dkt.Mariam Nooram kutoka hospital ya Aghakhan.

 
Kauli mbiu ya Siku ya Magonjwa Yanayotokea kwa kundi dogo la jamii Mwaka 2016 ni ‘Sauti za Wagonjwa’ na inamaanisha kutambua mchango muhimu unatolewa na wagonjwa katika kutaka mahitaji yao na kuchochea mabadiliko ambayo yataboresha maisha yao na masiha ya familia zao na maisha ya wale wanaowahudumia. 
Kauli mbiu ya Siku ya Magonjwa yanayotokea kwa kundi dogo la wanajamii ambayo ni, “Ungana nasi kuzifanya sauti za waathirika zisikike” ikitaka jamii kwa jumla, wale wanaishi bila magonjwa hayo au wanaothirika nayo moja kwa moja kuungana na jamii ya waathirika katika kuelewa athari za magonjwa hayo. Watu wanaoishi na magonjwa hayo na familia zao mara kadhaa hutengwa. 

Professor Kareem Manji kutoka Muhimbili akitoa ufafanuzi mbele ya Waandishi wa Habari namna magonjwa hayo yanavyoisumbua jamii kwa kiasi kikubwa na pia uzoefu wake katika suala zima la kutoa matibabu,kushoto kwake ni Dkt Nurudin Lakhan ambaye pia alielezea namna ya magonjwa hayo  Yanayotokea kwa kundi dogo la jamii yanapaswa kuangaliwa upya ili kuitaka jamii kutambua kuwa magonjwa hayo yapo na yamekuwa yakiisumbua jamii kwa muda mrefu.

Bi.Monica Joseph kutoka Philips Medical Systems  alieleza mambo kadhaaa katika kupambana na magonjwa hayo,ameeleza kuwa ipo haja ya wadau wa sekta ya Afya na jamii kwa ujumla kuyafahamu magonjwa yasiyotambulika yapo katika jamii yetu na lazima tuchukue hatua za kushughulika nayo. Miongoni mwa hatua zinazopaswa kuchukuliwa ni pamoja na:


Baadhi ya wageni waalikwa mbalimbali waliofika kwenye mkutano huo.
Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri kwenye mkutano huo.

Baadhi ya Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.PICHA NA MICHUZI JR-MMG

Wadau wa watakiwa kutoa maoni juu ya Maboresho ya Sera ya Michezo

mic1
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Zawadi Msalla( katika) akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu wanachi kutoa maoni juu ya Maboresho ya Sera ya Michezo leo jijini Dar es Salaam.Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Alex Makoye Nkenyenge na kushoto ni Afisa Uchumi Mwandamizi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Richard Kundi.
mic2
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Alex Makoye Nkenyenge akizungumza na waandishi wa Habari

Mashindano ya Tigo Kili Half Marathon yafana mjini Moshi


Maelfu ya wakazi wa Moshi na wanariadha mbalimbali wakifuatilia  mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushirika Mjini Moshi  
Wafanyakazi wa  kampuni ya Tigo wakiwa katika picha  ya pamoja  kabla  ya kuanza    mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi  
 Waziri wa habari, utamaduni, Sanaa na michezo Mhe. Nape mnauye  ( katikati mwenye kofia) akisubiri kufungua mbio za Tigo Kili half Marathon 2016, mkoani Kilimanjaro, kulia kwake  Meneja masoko Olivier prentout  atika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi .
Wanariadha wa Tigo Kili half Marathon wakisubiri kuanza mbio   katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi  
 Wafanyakazi wa kampuni ya Tigo wakikimbia mbio za Tigo half Marathon   katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi   
Meneja chapa Tigo, William Mpinga akimalizia mbio za kilometa 21      katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi  
Wafanyakazi wa Tigo wakiwa kwenye water point kwa kutoa huduma kwa wakimbiaji   katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi  
Mzee mwenye Umri wa miaka 70 akiungana na wanariadha wenzake  katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi  
Wanariadha mbalimbali wakikimbia katika  katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi  
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez nae akionyesha ushirikiano mzuri kabisa na wananchi kwa wa kuungana nao katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon  mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez  akipata huduma ya kwanza wakati akikimbia   na kumalizia kilomita 42 za kili marathon katika mashindano yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha ushirika Mjini Moshi jana 
Meneja mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez akimaliza mbio za kilomita 42 za kili marathon katika mashindano yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha ushirika Mjini Moshi jana 
.Meneja mkuu wa Tigo , Diego Gutierrez akipongezwa na mkiambiaji wenzie Mara baada ya kumaliza mbio za Kilimanjaro marathon za kilomita 42   katika mashindano yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha ushirika Mjini Moshi jana 
 
 Waziri wa habari, utamaduni, Sanaa na michezo Mhe. Nape mnauye  akimkabidhi akimkabidhi hundi ya sh Milion 2 Bernard Matheka (mkenya miaka 27) baada ya kuibuka mshindi kwa upande wa wanaume  katika mashindano ya Tigo Kili Half Marathon kwa kukimbia kilometa 21 na kutumia saa 1.14.55  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi
Baadhi ya washiriki waliopata bahati ya kuzawadiwa na Tigo kwenye mbio za Kili Marathon  katika mashindano hayo yaliyofanyika jana kwenye viwanja vya chuo cha Ushrika Mjini Moshi

IBRAHIM AJIB AKABIDHIWA TUNZO YA MCHEZAJI BORA

Katika kuongeza morali na kuwazawadia wachezaji wanaofanya vizuri, Klabu ya Simba ilianzisha Tunzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi kuanzia mwezi wa Septemba 2015.

SHULE 18 DAR KUNUFAIKA NA ELIMU YA USALAMA BARABARANI KUTOKA KWA CFAO MOTORS GROUP NA ALLIANCE AUTOS

IMG_4204
Meneja wa Volkswagen nchini, Bi. Tharaia Ahmed (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mafunzo ya elimu ya usalama barabarani ambayo wanataraji kufanya katika shule 18 zilizo katika Manispaa ya Ilala.Mkurugenzi Mtendaji wa CFAO Motors Group, Eric Potin, (katikati)  na Mwanzilishi wa mashindano ya mbio za magari ya Go4school, Henning Nathow.
Katika kusaidia kupambana na ajali za barabarani kwa watoto wa shule za msingi jijini Dar es Salaam, kampuni ya CFAO Motors Group kwa kushirikiana na Alliance Autos ambao ni wauzaji wa magari ya Volkswagen wametoa msaada wa elimu na vifaa vya usalama barabarani kwa shule 18 zilizo katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam.
Akizungumzia msaada huo Meneja wa Volkswagen nchini, Tharaia Ahmed amesema kuwa lengo la kutoa elimu na vifaa hivyo ni kuwasaidia wanafunzi wa shule ambao wengi wao
Attu Mynah
Meneja Masoko wa CFAO Motors Group nchini, Bi. Attu Mynah (kulia) akionyesha baadhi vifaa hivyo vya usalama barabarani kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mbio hizo za kusaidia elimu nchini Rwanda zimepewa jina la The go4school Charity Rally ambazo zimeshirikisha magari 18 ambayo yameanzia jijini Dar es Salaam na yanataraji kufikia kilele chake Machi, 13 nchini Rwanda na yatapita katika nchi za Kenya na Uganda na kisha Rwanda.
Akizungumzia mashindano hayo Mkurugenzi Mtendaji wa CFAO Motors Group, Eric Potin alisema mbio hizo za magari zimeanzishwa na taasisi ya Volkswagen kwa kushirikiana na taasisi ya Opportunity International Germany kwa kutambua kwao umuhimu wa elimu na usalama wa watoto wawapo barabarani.
Alisema kuwa wamekuwa wakisaidia zaidi katika sekta ya elimu na sio mara ya kwanza kufanya mbio hizo za magari kwani mwaka 2013 walifanya mbio kama hizo kutokea Senegal hadi Ghana na mwaka 2015 walifanya kutokea Namibia hadi Malawi na mara zote kampuni ya CFAO Motors Group imekuwa ikihusika kufanikisha mbio hizo.
Henning Nathow
Mwanzilishi wa mashindano ya mbio za magari ya go4school, Henning Nathow (wa pili kushoto) akielezea dhumuni lengo lao la kusaidia upatikanaji wa elimu bora kupitia mradi wa go4school.
“Mbio hizi zimeanzishwa na Wajerumani ili kusaidia elimu ya Rwanda na hii sio mara ya kwanza tayari yamefanyika mara mbili barani Afrika  na sisi kama CFAO tumekubali kuungana na taasisi ya Opportunity International Germany ili kusaidia upatikanaji wa elimu,”
Helen Peter
Afisa Elimu wa Ilala, Helen Peter akitoa neno la shukrani kwa kampuni ya CFAO Motors Group kwa msaada huo wa vifaa vya usalama barabarani kwa shule 18 zilipo ndani ya Manispaa ya Ilala.
Eric Potin
Mkurugenzi Mtendaji wa CFAO Motors Group, Eric Potin (wa pili kushoto) akimkabidhi Afisa Elimu ya Ufundi wa Manispaa ya Ilala, Bi. Helen Peter (wa kwanza kushoto) msaada wa vifaa vya usalama barabarani kusaidia wanafunzi wavukapo barabarani pamoja na vifaa vya michezo, Wanaoshuhudia tukio hilo ni Meneja wa Volkswagen nchini, Bi. Tharaia Ahmed na (kulia) na Meneja Masoko wa CFAO Motors Group nchini, Bi. Attu Mynah.
Eric Potin
Attu Mynah
Meneja Masoko wa CFAO Motors Group nchini, Bi. Attu Mynah akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).

MAJALIWA APOKEA MISAADA WILAYANI RUANGWA

hal1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa ambao unafanywa kwa ufadhili wa kampuni ya HUAWEI ya China , kijijini hapo, Februari 28, 2016. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Jordan Lugimbana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hal2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea hundi ya shilingi milioni tisa kutoka kwa Mtalaam wa Ufundi wa Kampuni ya simu ya Halotel wa mkoa wa Lindi, Tran The Hoang ili ziweze kugharimia malipo ya kadi za bima ya Afya kwa baadhi ya wakazi wa kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa. Alikuwa katika ziara ya siku moja wilayani humo Februari 29, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hal3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa ma  Mwanaidi Mussa  na Mkussa Lukoloma (kushoto) wote wa kijiji cha Nandagala wilayani  Ruangwabaada ya kuwakabidhi kadi zao za bima ya Afya ambazo zimegharimiwa na Kampuni ya Simu ya Halotel iliyochangia shilingi milioni tisa kuwawezesha wakazi wa kijiji hicho kufaidi huduma za Bima ya Afya, Februari 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hal4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea msaada wa vyakula na nguo kutoka kwa Eric Shigongo Mwenyekiti  watu waliojitotelea kusaidia waliopatwa na maafa ya mvua katika kijiji cha Mtondo wilayani Ruangwa wakati Waziri Mkuu alipokwenda kijijini hapo kuwapa pole wananchi Februari 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hal5
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea msaada wa vyakula na nguo kutoka kwa Eric Shigongo Mwenyekiti  watu waliojitotelea kusaidia waliopatwa na maafa ya mvua katika kijiji cha Mtondo wilayani Ruangwa wakati Waziri Mkuu alipokwenda kijijini hapo kuwapa pole wananchi Februari 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hal6
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wananchi wa Ruangwa baada ya kuwasili mjini hapo kwa ziara ya siku moja Februari 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hal7
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wananchi wa Ruangwa baada ya kuwasili mjini hapo kwa ziara ya siku moja Februari 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI MKOANI TANGA KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI MKOANI HUMO LEO

LU1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Mwantum Mahiza alipowasili uwanja wa ndege wa Tanga kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku Mbili Mkoani humo leo Februari 28, 2016
LU2
Chipukizi wa Umoija wa Vijana wa CCM Mkoa Tanga akimvisha Skafu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipowasili uwanja wa ndege wa Tanga kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani hum oleo Februari 28,2016.
LU3
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Vijana wa Chipkizi wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa Tanga alipowasili uwanja wa ndege wa Tanga kwa ajili ya kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani humo leo Februari 28,2016.
LU4
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi wa Mkoa wa Tanga baada ya kupokea Taarifa ya Mkoa huo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Mwantumu Mahiza leo Februari 28, 2016. Makamu wa Rais yupo Mkoani Tanga kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku mbili.
LU5
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Mwantumu Mahiza leo Februari 28, 2016. Makamu wa Rais yupo Mkoani Tanga kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku mbili.(Picha na OMR)

WAZIRI NAPE AZINDUA NA KUSHIRIKI KILIMANJARO MARATHON 2016

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akisalimiana na wakazi wa mji wa Moshi waliojitokeza kwa wingi kushiriki mbio za Kilimanjaro Marathon 2016 ambapo mwaka huu zaidi ya watu elfu 8 walishiriki kutoka nchi mbali mbali ambapo kati ya hao 200 walitoka nchini Kenya. 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akikimbia kwenye riadha ya Kilimanjaro Marathon 2016 ambapo alikimbia kilomita 5 pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka, mashindano hayo ya riadha yameshirikisha zaidi ya nchi 40.
 Mshindi wa kwanza wa kilometa 42.2 Kiprotich Kirui akiinua mikono juu kama ishara ya kushangilia ushindi wa mbio za Kilimanjaro Marathon 2016.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akisoma risala mara baada ya kuhitimisha mbio za Kilimanjaro Marathon ambapo aliwapongeza wahiriki wote, wadhamini na kuwataka Watanzania kutumia mbio hizo kama fursa ya kuutangaza utalii uliopo nchini.
 

DK.KIGWANGALLA AHIMIZA JAMII KUWA NA UTAMADUNI WA KUPIMA AFYA ZAO MARA MWA MARA

dk hk
Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kigwangalla akitoa hutuba fupi wakati wa tukio hilo la kambi maalum ya matibabu ya bure kwa wananchi wote iliyoandaliwa na Care Foundation kwa kushirikiana na wadau wengine akiwemo Mbunge wa jimbo la Ilala, Mh. Mussa Hazan Zungu.
………………………………………………………………………………………………………………………………….
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla amehimiza Jamii kuwa na utaratibu wa kupima afya mara kwa mara katika hali ya kubaini matatizo yanayowakabili ilikuchukua hatua ikiwemo kupata tiba mapema
Dk. Kigwangalla ametoa kauli hiyo mapema leo Februari 28.2016, jijini Dar es Salaam, wakati alipokuwa mgeni rasmi katika kambi maalum ya kupima afya bure kwa wananchi mbalimbali wakiwemo wa Jimbo la Ilala kwa kuandaliwa na Care Foundation na wadau wengine wa afya ikiwemo Hospitali ya Ebrahim Haji Chartable Health Centre ambao wanasimamia kutoa huduma za matibabu kwa kushirikiana na taasisi zingine.
Akitoa hutuba yake fupi, kwa wananchi mbalimbali walifika katika tukio hilo la kupatiwa matibabu hayo ya bure, Naibu Waziri, Dk. Kigwangalla amesema Jamii wanatakiwa kuwa na maisha yenye afya hivyo zoezi la kupima afya mara kwa mara ni bora zaidi kaika kuimalisha afya ya mwili.
“Wananchi wapo na wakati mwingi wakifanya shughuli zingine na hata muda kupima afya inakuwa ngumu. Kukinga ni bora Zaidi kuliko tiba. Zoezi hili litasaidia sana wananchi wengi na tunaomba muendelee na maeneo yote ya nchi yetu.” Ameeleza Dk.Kigwangalla.
Aidha, Dk. Kigwangalla amempongeza Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Hazan Zungu kwa kuwezesha kuandaa zoezi hilo kwa kushirikiana na wadau hao kwani ni mfano bora wa kuigwa na wabunge wengine pindi wapatapo nafasi ya kutumikia jamii iliyowachagua.
Pia katika zoezi hilo, Mbune wa jimbo la Ilala, Mh. Mussa Zungu na Naibu Waziri Dk. Kigwangalla walipata wasaha wa kupima afya zao pamoja na kutembelea maeneo ya kutolea huduma na kushuhudia namna huduma zinavyotolewa kwa wananchi.
Kambi hiyo ya matibabu, inatoa matibabu hayo bure kwa wananchi wote wanaofika hapo ambapo pia mbali na matibabu wanatoa huduma ya dawa huku wakitoa pia mawani kwa watu wenye matatizo ya macho. Watu mbalimbali wamekaribishwa kupatiwa matibabu hayo ambayo pia yanatolewa na madaktari bingwa wa magonjwa husika.
yi
Tukio likiendelea
DK KIGWANGALLA 65
Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kigwangalla akiwa katika meza ya kupima afya ya mwili ikiwemo magonjwa yasio ambukiza kama vile Magonjwa ya moyo, sukari, shinikizo la damu na mengine mengi katika zoezi linaliendelea katika viwanja vya Bustani ya jiji iliyopo mkabara na Ukumbi wa Karimjee.
Dk. Kigwangalla
Naibu Waziri wa Afya. Dk.Kigwangalla akiwa katika vipumo hivyo..
DK
Mbunge wa Ilala, Mh. Mussa Hazani Zungu, akipima afya katika zoezi hilo..
TIBA 3
Dk. Efrahim Mika Zaky wa Msimbazi Eyes Vision Center, (kushoto) akimpima macho mmoja wa wananchi waliojitokeza katika zoezi hilo linaloendelea leo jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Bustani ya jiji, mkabara na Ukumbi wa Karimjee.
TIBA
Uchunguzi wa macho ukiendelea..
TIBA3
Dk. Efrahim Mika Zaky wa masuala ya macho, akimpima macho Naibu Waziri wa Afya, Dk. Kigwangalla wakati wa zoezi hilo..
TIBQ667
Naibu Waziri wa Afya Dk. Kigwangalla akiwa katika kupima macho kwenye kambi maalum ya kutoa huduma za matibabu ya bure yaliyoandaliwa na Care Foundation na wadau wengine katika viwanja vya Bustani ya Jiji, Posta Jijini Dar es Salaam.
TIBA222
Naibu Waziri Dk.Kigwangalla akiwa katika moja ya sehemu ya kutolea dawa na miwani kwa watu watakaobainika kuwa na matatizo katika macho..
DK KIGWANGALLA 685
Naibu Waziri akipokea ua maalum kama ishara ya kukaribishwa katika ufunguzi huo wa kambi maalum ya matibabu ya bure yaliyoandaliwa na CARE Foundation na wadau wengine akiwemo Mbunge wa jimbo la Ilala, Mussa Hazzan Zungu.(Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog/Mo tv