Saturday, July 31, 2021

Tanzania: President Samia Appoints New Tanroads Boss

Dar es Salaam — President Samia Suluhu Hassan has appointed Rogatus Hussein Mativila as the new Chief Executive Officer of the Tanzania Roads Agency (Tanroads).

Uganda Petitions Kenya, Tanzania Over Milk Exports

Uganda has asked Kenya and Tanzania to remove prohibitive levies placed on its dairy products saying it could jeopardise trade relations and the East African Community spirit.

Southern Africa: Lake Victoria Fishers' Worst Nightmare Not Hippos but Uganda, Tanzania Police

Edwin Osundwa and his colleagues normally set sail across Lake Victoria on a fishing expedition that takes at least eight hours.

AFUNGWA MIAKA 30 JELA KWA KUKUTWA NA BANGI

**************************

Mahakama ya Hakimu mkazi Pwani (Kibaha) imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Ridhiki Omary Marimbwa kwa kosa la kusafirisha kilo 21.86 za dawa za kulevya aina ya bangi.

Hukumu hiyo ilitolewa tarehe 29 mwezi Julai 2021 na hakimu Mhe. Joyce Mushi baada ya

HESLB YAMPONGEZA RAIS SAMIA ONGEZEKO LA BAJETI YA MIKOPO

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga (kushoto) akizungumza jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Abdul-Razaq Badru wakati alipotembelea Banda la HESLB leo Jumamosi Julai 31, 2021 wakati wa kufunga Maonesho ya 16 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yaliyofanyika kuanzia tarehe 26-31 Julai, 2o21 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Charles Kihampa.

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru akitoa ufafanuzi kwa Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga wakati alipotembelea Banda la HESLB leo Jumamosi Julai 31, 2021 wakati wa kufunga Maonesho ya 16 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yaliyofanyika kuanzia tarehe 26-31 Julai, 2o21 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof. Charles Kihampa.

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga wa (pili kushoto) akizungumza na Mbunge wa Zamani Mkoa wa Pwani, Dkt. Zainab Gama (kulia) wakati alipotembelea Banda la HESLB katika Maonesho ya 16 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yalianza tareh2 26-31 Julai mwaka huu. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru.

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Abdul-Razaq Badru akizungumza na wadau mbalimbali waliotembelea Banda la HESLB leo Jumamosi Julai 31, 2021 wakati wa kufunga Maonesho ya 16 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 26-31 Julai mwaka huu.

Afisa Mawasiliano Mkuu wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu HESLB, Veneranda Malima (Katika) akitoa ufafanuzi kwa Mkurugenzi wa HESLB leo Abdul-Razaq Badru wakati alipofika katika Banda la HESLB, leo Jumamosi Julai 31, 2021 katika Maonesho ya 16 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yaliyohitimishwa leo Jumamosi Julai 31, 2021.

……………………………………………………………..

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa hatua ya Serikali kuongeza bajeti ya Mikopo ya Elimu ya Juu kwa mwaka wa

MHANDISI MASAUNI ARIDHISHWA NA UTENDAJI WA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb) akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Dkt. Elirehema Doriye, baada ya kukabidhiwa zawadi, alipofanya ziara katika Shirika hilo, jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb), akiipongeza Menejimenti ya Shirika la Bima la Taifa (NIC), kwa jitihada za kuimarisha utendaji na kutoa huduma bora kwa wananchi, alipotembelea Shirika la NIC, jijini Dar es Salaam.  

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Dkt. Elirehema Doriye (kulia) akieleza uwezo wa Shirika katika kuhudumia wananchi kutokana na uwepo wa matawi yake nchi nzima, wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb) (kushoto) katika taasisi hiyo, jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Uthamini na Udhibiti wa Majanga wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Bi. Annette Magogo, akieleza namna mpya ya kiutendaji inayofanywa na Shirika hilo, ambayo imeongeza imani kwa wananchi wa kulitumia Shirika hilo katika huduma za Bima, wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb) (kushoto) katika taasisi hiyo, jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Dkt. Elirehema Doriye akielezea bidhaa mpya ambazo Shirika lake limejipanga kuzitoa kwa wananchi ili kukidhi uhitaji wao, wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb) (hayupo pichani), katika Shirika hilo, jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya Viongozi wa Menejimenti ya Shirika la Bima la Taifa (NIC), wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb), alipokuwa akiwasisitiza kuongeza jitihada katika kutoa huduma ili kukabiliana na ushindani wa huduma za bima alipotembelea Shirika hilo, jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb) (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Dkt. Elirehema Doriye, wakiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Shirika hilo, alipofanya ziara ya kikazi ya kutembelea taasisi zilizochini ya Wizara ya Fedha na Mipango, jijini Dar es Salaam.

(picha na Wizara ya Fedha na Mipango, Dar es Salaam)

…………………………………………………………………

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam

NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, amelipongeza

ZANZIBAR YAPOKEA CHANJO YA COVID- 19 KUTOKA CHINA

Chanjo ya COVID-19  aina ya SINOVAC iliyopokelewa  katika Uwanja  wa Ndege wa Abeid A. Karume Zanzibar na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Omar Said Shaaban kwa  niaba ya Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahamed Mazrui ikiwa ni msaada kutoka China

Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Omar Said Shaaban (kushoto) akipokea  Chanjo COVID-19 ya   aina ya SINOVAC kwa niaba ya Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Nassor Ahamed Mazrui  kutoka kwa Balozi Mdogo wa China Zhang Zhisheng (kulia)

Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Omar Said Shaaban akifafanua kuhusu chanjo ya COVID-19  aina ya SINOVAC  aliyoipokea kwa niaba ya Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee , Jinsia na Watoto Nassor Ahamed Mazrui  kutoka kwa Balozi Mdogo wa China Zhang Zhisheng (wa kwanza kulia) hafla iliyofanyika Uwanja wa ndege wa Abeid A. Karume Zanzibar.

Mkurugenzi Mkuu Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Abdalla Sleiman Ali akijibu maswali ya Waandishi wa habari katika makabidhiano ya Chanjo ya aina COVID-19 ya SINOVAC kutoka kwa serikali ya china hafla iliyofanyika mara baada ya kuwasili Chanjo hiyo na ndege ya Ethopian katika Uwanja wa Ndege wa Abeid A. Karume Zanzibar.

PICHA NA FAUZIA MUSSA /MAEEZO ZANZIBAR.

 

SERIKALI YA ZANZIBAR YAAPA KUULINDA MUUNGANO


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akiongea na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakati uongozi huo ulipomtembelea Ofisini kwake Zanzibar. Uongozi wa Wizara umeongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula, Naibu Waziri Balozi Mbarouk Nassoro Mbarouk, Katibu Mkuu, Balozi Joseph Sokoine, Naibu Katibu Mkuu, Balozi Fatma Mohammed Rajab pamoja na baadhi ya wakurugenzi wa Idara na vitengo vya Wizara.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akimueleza jambo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla wakati uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje ulipomtembelea Ofisini Kwake Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akisisitiza jambo kwa Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakati uongozi huo ulipomtembelea Ofisini kwake Zanzibar. Uongozi wa Wizara umeongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula, Naibu Waziri Balozi Mbarouk Nassoro Mbarouk, Katibu Mkuu, Balozi Joseph Sokoine, Naibu Katibu Mkuu, Balozi Fatma Mohammed Rajab pamoja na baadhi ya wakurugenzi wa Idara na vitengo vya Wizara.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula na  Naibu Waziri Balozi Mbarouk Nassoro Mbarouk

……………………………………………………….

Na mwandishi wetu, Zanzibar

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuulinda Muungano kwa kuwa ndio tunu kubwa ambayo imeachwa na waasisi wa Muungano huo na kwamba Serikali haitotumia nguvu

NCAA YAADHIMISHA SIKU YA ASKARI WANYAMAPORI DUNIANI




Naibu Kamishna wa Uhifadhi wa NCAA (Uhifadhi, Utalii na Maendeleo ya Jamii) Dkt. Christopher Timbuka akizungumza na askari wa Mamlaka hiyo (hawapo pichani) wakati wa maadhimisho ya siku ya askari wanyamapori duniani.



Naibu Kamishna wa Uhifadhi wa NCAA (Uhifadhi, Utalii na Maendeleo ya Jamii) Dkt. Christopher Timbuka (kushoto) akimkabidhi cheti mmoja wa askari wanyamapori Bw. Pius Rwiza kama motisha ya kutambua mchango wake katika ulinzi wa rasilimali za wanyamapori na misitu.



Kamishna Msaidizi Mwandamizi Huduma za Ulinzi NCAA Bw. Elibariki Bajuta akizungumzia umuhimu wa maadhimisho ya siku ya wanyamapori duniani wakati halfa fupi ya kuwapongeza askari wa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Wilayani Karatu mkoani Arusha.



Askari wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro wakiwa katika mazoezi ya vitendo wakati wa maadhimisho ya siku ya askari Wanyamapori iliyofanyika ofisi za NCAA Karatu Mkoani Arusha.



Sehemu ya menejimenti ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro wakiwa katika picha ya pamoja na askari ya mamlaka hiyo wakati wa maadhimisho ya siku ya askari wanyamapori duniani iliyofanyika katika ofisi za NCAA Wilayani Karatu Mkoani Arusha.

……………………………………………………………………………..

Na Mwandishi wetu NCAA.

Tarehe 31 Julai ya kila mwaka ni siku ya maadhimisho ya askari wanyamapori duniani (World Rangers day) ikiwa ni kumbukumbu ya kuwaenzi askari waliopoteza maisha wakiwa kwenye utekelezaji wa

DSE and the efforts to engage family businesses

DSE pic
By Moremi Marwa

Family firms dominate the business landscape across economies – developing and developed. They are major contributors to both employment, availability of goods and services as well as to the economic

CRDB, Tanesco, Tanroads league key to Nyerere dam

Nyerere picSummary
By The Citizen Reporter

Equity Bank starts remittance services

Equity pic

Equity Bank (T) managing director Robert Kiboti (centre) is flanked by the lender’s executives at the launch of the new remittance windows known as “Equity ni Moja” that allows Equity customers in all subsidiaries of Tanzania, Kenya, Rwanda, South Sudan, and DRC to transact as at domicile country, and Sadc-SIRESS services that allows customers to transact in all Sadc countries at the rate of only $10 per transaction. PHOTO | COUTERSY

By Rosemary Mirondo

What it will take to revive Tanzania's tourism sector

WB pic
By Alawi Masare

Uganda eases Covid restrictions as admissions fall

Ug Covid

A Red Cross volunteer checks a man's temperature before he is allowed to enter Nakasero market in Kampala, Uganda

By Nation. Africa

TRA collected Sh18 trillion in the last fiscal year

tra pic

Tanzania Revenue Authority commissioner general Alphayo Kadata

By The Citizen Reporter

Dar es Salaam. Tanzania Revenue Authority (TRA) yesterday announced that it had collected Sh18.14 trillion in the last financial year (2020/21) amid the ravages of Covid-19 that disrupted economic life around the world.

Ministry of health names health centers to provide Covid-19 vaccine

Centers pic
By Bethsheba Wambura

Dar es Salaam. The government has released a list of centers that will be used to provide Covid-19 vaccines nationwide.
Speaking at the Medical Store Department (MSD) during the launching of the vaccines distribution today Friday July 30, 2021 the Permanent Secretary of the Ministry of Health, Prof Abel Makubi, said they have begun shipping the jabs to all 26 regions.

CLICK HERE TO KNOW CENTERS THAT WILL BE USED TO PROVIDE COVID-19 VACCINES


He said three priority groups that will be inoculated first include health workers, the elderly and the

How Tanzania can avoid the debt trap

covid pic
By Jacob Mosenda

CBK says economy recovered in the first half of 2021

Central Bank of Kenya governor Patrick Njoroge during an interview on October 26, 2020. [David Gichuru,Standard]

By Dominic Omondi

Kenya’s economy shook off the adverse effects of Covid-19 to post recovery in the first half of the year, the Central Bank of Kenya (CBK) said yesterday.

State seeks court's help to recover millions of cash from gold racket

By Paul Ogemba   

The Asset Recovery Agency (ARA) has unearthed a multi-million-shilling fake gold scheme disguised as timber export to Europe. The racket involves a group of Kenyan, Zambian and Cameroonian businessmen and a top law firm the agency claims is being used as a conduit to receive money from unsuspecting foreign nationals before the loot is hurriedly shared out.

In January alone, ARA says the businessmen received Sh157 million from a Dutchman on the promise that they will deliver gold while hiding under the pretext that they were exporting timber to the Netherlands.

“We established that they are involved in an intricate money-laundering scheme executed with the intent of defrauding foreign nationals on the pretence that they have gold for sale while hiding behind falsified bank documents showing they are

Vodafone, Vodacom reap Sh22b from Safaricom dividend payout

Safaricom PLC Shareholders going through the 2019 Safaricom Annual Report and Financial Statements during the company’s 11TH Annual General Meeting held at Bomas of Kenya.[Wilberforce Okwiri,Standard]

By Frankline Sunday

UK-based Vodafone Group Plc and its subsidiary Vodacom will earn Sh21.9 billion from the Sh54.89 billion dividend payout that Safaricom will make to shareholders for the year ended March 2021.

How to grow crunchy carrots that clients love

Mary Nyambura washing her Carrots at Mauche area in Njoro sub-county before packing it in sacks and transport them for ready markets in Nakuru and Narok towns.[Joseph Kipsang,Standard]

By Jennifer Anyango

Carrots are a popular root vegetable which are increasingly becoming valued among smallholder farmers and consumers.

CBK moves to mop up excess dollars from the economy

By Dominic Omondi 

 The Central Bank of Kenya (CBK) has moved to mop up excess dollars from the economy through the Open Markets Operations (OMO) to protect the shilling.

Safaricom CEO takes home Sh202m

Safaricom Chief Executive Officer (CEO) Peter Ndegwa. [Wilberforce Okwiri, Standard]

  By Frankline Sunday

Safaricom Chief Executive Officer (CEO) Peter Ndegwa took home Sh201.5 million in annual pay in his first year at the helm of East Africa’s most profitable company. This means he was making about Sh16.79 million a month.

According to the company’s latest annual report, Ndegwa’s basic pay for the year ended March 31, 2021, stood at Sh102.3 million.


He also received a Sh90 million bonus and Sh9.2 million in non-cash benefits. Ndegwa’s annual pay is Sh590,000 higher than what the late Bob Collymore made and makes up 42 per cent of the telco’s Sh469.7 million annual pay to directors for the year ended March 31, 2021.

SERIKALI YAZINDUA KITUO CHA KURUSHIA MATANGAZO TBC MKOANI MOROGORO


Waziri wa  Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe Dkt. Faustine Ndugulile na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe, Innocent Bashungwa wakikata utepe kuashiria ufunguzi wa kituo cha kurushia matangazo cha TBC Taifa na TBC FM kilichojengwa kwa ufadhili wa UCSAF. Wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TBC,Dkt. Ayub Rioba na wa kwanza kushoto ni Mtendaji Mkuu wa UCSAF, Justina Mashiba.
Waziri wa  Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe Dkt. Faustine Ndugulile akizungumza katika uzinduzi wa kituo cha kurushia matangazo cha TBC katika kijiji cha Sesenga, wilayani Morogoro, Mkoani Morogoro. Kituo hicho kimefadhiliwa na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote( UCSAF).
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza katika uzinduzi wa kituo cha kurushia matangazo cha TBC katika kijiji cha Sesenga, wilayani Morogoro, Mkoani Morogoro.
Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF), Justina Mashiba akisaini hati ya makabidhiano ya kituo cha kurushia matangazo cha TBC Kisaki kilichojengwa kwa ufadhili wa

WAZIRI BITEKO AIPONGEZA SHANTA GOLD KWA KUSIMAMIA LOCAL CONTENT

Waziri wa madini Doto Biteko akizungumza na uongozi wa Mgodi wa Kati wa Dhahabu wa Singida (SINGIDA GOLD MINE) Shanta uliyopo wilaya ya Ikungi Mkoani Singida alipotembembelea  na kukagua Maendeleo ya ujenzi  wa mgodi huo tarehe 30 Julai, 2021 Ikungi Mkoani Singida

Meneja Mkuu Mahusiano ya Serikali wa mgodi wa Shanta, Philibert Rweyemamu akiwasilisha tarifa ya Maendeleo ya ujenzi wa mgodi huo kwenye ziara ya Waziri Biteko tarehe 30 Julai, 2021 Ikungi Mkoani Singida

Mkuu wa Mkoa wa Singida Binilith Mahenge akizungumza wakati akimkaribisha Waziri wa Madini Doto Biteko kwenye ziara ya kutembelea mgodi wa Shanta na shughuli za uchimbaji wa Dhahabu mkoani Singida tarehe 30 Julai, 2021

………………………………………………………………………..

Na. Steven Nyamiti – Singida

Waziri wa Madini Doto Biteko ameeleza kuwa, Mgodi mpya wa Kati wa Dhahabu wa Shanta ndio mgodi pekee Tanzania unaotekeleza ipasavyo Matakwa ya Sheria ya

WAZIRI UMMY AZINDUA MAKASHA YA KUSAMBAZIA KONDOM

 Waziri wa nchi ofisi ya Rais tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Ummy Mwalimu akionyesha kondom aina ya safari mara baaa ya kuitoa kwenye mashine ya kuuzia kondom kwa bei nafuu wakati wa uzinduzi wa makasha ya kondom mjini Dodoma jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Tayoa, Peter Masika ambaye alisema wanatarajia kusambaza makasha 80,000 nchini.

Waziri wa nchi ofisi ya Rais tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Ummy Mwalimu akiwasili kwenye uzinduzi wa makasha ya kondom mjini Dodoma jana. Kulia kabisa Mkurugenzi Mkuu wa Tayoa, Peter Masika ambaye alisema wanatarajia kusambaza makasha 80,000 nchini. Mwingine ni Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde

  Vijana wa kikundi cha ngoma cha mjini Dodoma wakitumbuiza kwenye uzinduzi wa makasha ya kusambazia kondom mjini Dodoma uliofanywa na Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu ambapo shirika la vijana Tayoa linatarajia kusambaza makasha 40,000 nchi nzima.

Mkurugenzi Mkuu wa Tayoa Peter Masika akimfafanulia jambo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Ummy Mwalimu namna makasha ya kusambazia kondom yanavyofanyakazi, mwishoni mwa wiki wakati wa uzinduzi wa makasha hayo jijini Dodoma.

Waziri wa nchi ofisi ya Rais tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Ummy Mwalimu akiwa kwenye picha na viongozi mbalimbali waliohudhuria uzinduzi huo jijini Dodoma

*************************

-Aimwagia sita asasi ya Tayoa kwa ubunifu

Na Mwandishi Wetu

SERIKALI imeshauri Shirika la Vijana Tanzania (Tayoa) kusambaza makasha ya kusambazia