Sunday, July 12, 2020

RAIS DKT MAGUFULI NA WASANII IKULU CHAMWINO JIJINI DODOMA LEO



Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata picha ya kumbukumbu na wasanii waliofika pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama hicho kutembelea Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma leo Jumapili Julai 12, 2020
PICHA NA IKULU

No comments :

Post a Comment