Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama nyuzi za pamba wakati alipotembelea
kiwanda cha nyuzi cha Tabora kiichopo kwenye Manispaa hiyo, Agosti 18,
2018. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho, Urvesh Rajani.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa
kiwanda cha nyuzi cha Tabora, Urvesh Rajani (kulia) kuhusu pamba
chafu wakati alipotembelea kiwanda hicho katika Manispaa ya Tabora,
Agosti 18, 2018.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa
kiwanda cha nyuzi cha Tabora, Urvesh Rajani (kulia) kuhusu kinu cha
kuchambua pamba wakati alipotembelea kiwanda hicho katika Manispaa ya
Tabora, Agosti 18, 2018.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama nyuzi za pamba wakati alipotembelea
kiwanda cha nyuzi cha Tabora kiichopo kwenye Manispaa hiyo, Agosti 18,
2018. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho, Urvesh
Rajani.(PICHA NA OWM)
No comments :
Post a Comment