Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge Bi. Maimuna Tarishi (katikati), akizungumza
wakati wa hafla fupi ya ya kupokea vifaa vya Ofisi hiyo vilivyowasili Jijini Dodoma
kutoka Dar es Salaam mapema leo Ijumaa Agosti 17, 2018
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge Bi. Maimuna Tarishi (kushoto) akieleza jambo na mmoja wa wajumbe wa kikosi kazi cha
Kitaifa cha kuratibu zoezi la Serikali kuhamia Dodoma leo Agosti 17, 2018 Jijini Dodoma wakati
wa hafla ya kupokea vifaa vya Ofisi hiyo vilivyowasili kutoka Jijini Dar es
Salaam.
Mkurugenzi
wa Utawala na Rasilimali Watu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Nigel Msangi
akionesha sehemu ya vifaa vya Ofisi hiyo vilivyowasili Jijini Dodoma ikiwa ni
sehemu ya kuhitimisha zoezi la Ofisi hiyo kuhamia Dodoma.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge Bi.
Maimuna Tarishi akikagua sehemu ya vifaa vya Ofisi hiyo vilivyowasili kutoka Jijini Dar es Salaam leo
Jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya kukamilisha zoezi la Serikali kuhamia Dodoma.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge Bi.
Maimuna Tarishi akikagua sehemu ya vifaa vya Ofisi hiyo vilivyowasili kutoka Jijini Dar es Salaam leo
Jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya kukamilisha zoezi la Serikali kuhamia Dodoma.
Mkuu
wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Agustino Tendwa
akisisitiza jambo kwa Katibu Mkuu Ofisi
ya Waziri Mkuu Bunge Bi. Maimuna Tarishi
wakati wa hafla ya kupokea vifaa vya Ofisi hiyo kutoka Jijini Dar es Salaam leo
Jijini Dodoma.
Sehemu
ya vifaa vya Ofisi ya Waziri Mkuu vikishushwa katika moja ya magari ya Jeshi la
Wananchi wa Tanzania (JWTZ) leo Jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa
agizo la Serikali kuhamia Dodoma.
Sehemu
ya vifaa vya Ofisi ya Waziri Mkuu kama vinavyoonekana katika picha mara baada
yakufikishwa Jijini Dodoma na gari la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
vikitokea Jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bunge Bi.
Maimuna Tarishi akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa ofisi hiyo
na kikosi kazi cha kitaifa cha kuratibu zoezi la Serikali kuhamia Dodoma leo
Jijini Dodoma wakati wa hafla ya kupokea sehemu ya vifaa vya Ofisi ya Waziri
mkuu iliyofanyika katika Ofisi hizo.(PICHA ZOTE NA FRANK MVUNGI- MAELEZO)
No comments :
Post a Comment