Mgombea ubunge Jimbo la Ukonga kwa yiketi ya Chama
Cha Mapinduzi (CCM), Mwita Waitara leo Agosti 17, 2018 amechukua fomu za
kuwania kiti hicho kutoka kwa Msmsimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo Bw. Jumanne
Shauri. Waitara amefuanhgua pazia kwa
wagombea wengine kutoka vyama vya upinzani kufanya nhivyo. Pichani Waitara ambaye
awali alikuwa Mbunge wa jimbo hilo kupitia chama kikuu cha upinzani CHADEMA,
alikihama chaam hicho na hivyo kujivua ubunge kwa maelezo kuwa ameamua kufanya
hivyo baada ya kuchoshwa na siasa mbovu za upinzani na ameona ni busara kuhamia
CCM ili aweze kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli, katika kujenga uchumi wan chi. Pichani Waitara (kushoto)
akichukua fomu kutoka kwa Msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo, Jumanne Shauri, Dar
es Salaam
Pages
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)



No comments :
Post a Comment