Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe.
Dkt. Ali Mohamed Shein .Mheshimiwa Ndugai pamoja na ujumbe wake ambao ni wawakilishi wa Kamati ya Bunge ya
Uongozi na wawakilishi wa Tume ya Utumishi ya Bunge walikwenda kumtembelea Mhe.
Shein leo Ikulu Zanzibar.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akizungumza na Spika wa Bunge, Mhe. Job
Ndugai. Mheshimiwa Ndugai pamoja na ujumbe wake
ambao ni wawakilishi wa Kamati ya Bunge ya Uongozi na wawakilishi wa
Tume ya Utumishi ya Bunge walikwenda kumtembelea Mhe. Shein leo Ikulu Zanzibar.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akizungumza na Spika wa Bunge, Mhe. Job
Ndugai. Mheshimiwa Ndugai pamoja na ujumbe wake
ambao ni wawakilishi wa Kamati ya Bunge ya Uongozi na wawakilishi wa
Tume ya Utumishi ya Bunge walikwenda kumtembelea Mhe. Shein leo Ikulu Zanzibar.
Wa kwanza kushoto ni Mhe. Oscar Mukasa, Mhe. Mary Chatanda, Mhe.Fakharia Shomar
Khamis, Mhe. Mussa Azzan Zungu na Mhe. Freeman Mbowe.(PICHA NA OFISI YA BUNGE)


No comments :
Post a Comment