Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt.
(Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb)
akiagana na Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Cleopa D. Msuya leo Agosti 17, 2018.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt.
(Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb)
akifafanua jambo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Joseph S. Warioba alipomtembelea nyumbani kwake
jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt.
(Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb)
akifafanua jambo kwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Cleopa D. Msuya alipomtembelea nyumbani kwake
jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt.
(Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akimsikiliza
Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Cleopa D. Msuya alipomtembelea nyumbani kwake jijini Dar es
Salaam.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt.
(Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akimsikiliza
Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mhe. Joseph S. Warioba alipomtembelea nyumbani kwake jijini Dar es
Salaam.
No comments :
Post a Comment