Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Issa Haji Ussi
(Gavu) alipowasili katika uzinduzi wa Kongamano la tano la Diaspora
Tanzania lililofanyika leo katika ukumbi katika kiwanja cha Tibirinzi
Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,[Picha na Ikulu.] 18 Aug 2018.
Baadhi ya Wanadiaspora wakisimama
wakati Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki,Wimbo wa Taifa wa Zanzibar
na Tanzania wakati wa Uzinduzi wa Kongamano la la Tano la Diaspora
Tanzania lililofanyika leo katika ukuimbi wa Uwanja wa Tibirinzi Chake
chake Mkoa wa Kusini Pemba,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo
pichani), [Picha na Ikulu.] 18 Aug 2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) pamoja na Viongozi
wengine wakipiga makofi baada ya wimbo wa Taifa wa Zanzibar,Tanzania na
Jumuiya ya Afrika Mashariki ulioimbwa katika Kongamano la Tano la
Diaspora Tanzania lililofanyika leo katika ukuimbi wa Uwanja wa
Tibirinzi Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,[Picha na Ikulu.] 18 Aug
2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na
Viongozi mbali mbali na wanadiaspora katika Kongamano la Tano la
Diaspora Tanzania lililofanyika leo katika ukuimbi wa Uwanja wa
Tibirinzi Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,[Picha na Ikulu.] 18 Aug
2018.
Baadhi ya Wanadiaspora
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumzanao
pamoja na Viongozi mbali mbali katika Kongamano la Tano la Diaspora
Tanzania lililofanyika leo katika ukuimbi wa Uwanja wa Tibirinzi Chake
chake Mkoa wa Kusini Pemba,[Picha na Ikulu.] 18 Aug 2018.
No comments :
Post a Comment