Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata Utepe kuashiria
uzinduzi wa Mradi wa Nyumba za kisasa wa “Fumba Town Development” huko
Nyamanzi wilaya ya Magharibi “B”leo,[Picha na Ikulu]. 18Aug 2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipotembelea Nyumba
ya Bw.Khalil Din ikiwa ni miongoni mwa Nyumba Sitini zilizokabidhiwa
wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa Nyumba za kisasa wa “Fumba Town
Development” huko Nyamanzi wilaya ya Magharibi “B”leo,[Picha na Ikulu].
18Aug 2018.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Maopinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi hati ta
Nyumba kwa Bibi Yasmin Din na Mumewem Khalil Din wakati wa Uzinduzi wa
Mradi wa Nyumba za kisasa wa “Fumba Town Development” huko Nyamanzi
wilaya ya Magharibi “B”leo,[Picha na Ikulu]. 18Aug 2018.
Miongoni mwa Nyumba za Kisasa
“Fumba Town Development” huko Nyamanzi wilaya ya Magharibi “B” ambazo
leo jumla ya Nyumba 60 zimekabidhiwa katika sherehe za uzinduzi rasmi
uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) [Picha na Ikulu]. 18Aug 2018.
Wananchi waliohudhuria katika
sherehe za uzinduzi wa Mradi wa Nyumba za kisasa wa “Fumba Town
Development” huko Nyamanzi wilaya ya Magharibi “B”leo wakimsikiliza Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake,[Picha na
Ikulu].18/08/2018.
No comments :
Post a Comment