Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai
akiwa ameambatana na Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai na baadhi
wa Waheshimiwa Wabunge wamemtembelea Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.
Dkt. Khamis Kigwangalla kwa lengo la kumjulia hali katika Hospitali ya
Taifa ya Muhumbili alikolazwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya
kupata ajali ya gari.
Spika wa Bunge,
Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt.
Khamis Kigwangalla baada ya kumtembelea kwa lengo la kumjulia katika
Hospitali ya Taifa ya Mhumbili alikolazwa kw ajili ya kupatiwa matibabu
baada ya kupata ajali ya gari.
Spika wa Bunge,
Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt.
Khamis Kigwangalla baada ya kumtembelea kwa lengo la kumjulia katika
Hospitali ya Taifa ya Mhumbili alikolazwa kw ajili ya kupatiwa matibabu
baada ya kupata ajali ya gari.
Thanks for sharing this type of blogs keep publishing…
ReplyDeleteclick here