Saturday, August 18, 2018

MHE. SPIKA AMJULIA HALI WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHUMBILI ALIKOLAZWA KWA AJILI YA MATIBABU


SPIKA MUHIMBILI 3
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiwa ameambatana na Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai na baadhi wa Waheshimiwa Wabunge wamemtembelea Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Khamis Kigwangalla kwa lengo la kumjulia hali katika Hospitali ya Taifa ya Muhumbili alikolazwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.
 SPIKA MUHIMBILI 2
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Khamis Kigwangalla baada ya kumtembelea kwa lengo la kumjulia katika Hospitali ya Taifa ya Mhumbili alikolazwa kw ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.
SPIKA MUHHIMBILI
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Khamis Kigwangalla baada ya kumtembelea kwa lengo la kumjulia katika Hospitali ya Taifa ya Mhumbili alikolazwa kw ajili ya kupatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.

1 comment :