Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akitazama nyuzi za pamba wakati alipotembelea kiwanda cha nyuzi cha
Tabora kiichopo kwenye Manispaa hiyo, Agosti 18, 2018. Kulia ni
Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho, Urvesh Rajani. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akitazama nyuzi za pamba wakati alipotembelea kiwanda cha nyuzi cha
Tabora kiichopo kwenye Manispaa hiyo, Agosti 18, 2018. Kulia ni Mkuu wa
Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa
kiwanda cha nyuzi cha Tabora, Urvesh Rajani (kulia) kuhusu pamba
chafu wakati alipotembelea kiwanda hicho katika Manispaa ya Tabora,
Agosti 18, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akiwasalimia akinamama waliojifungua katika wodi ya
wazazi kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora ya Kitete Agosti 18,
2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa akikagua chumba cha upasuaji kilichojengwa katika
hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora ya Kitete wakati alipotembela
hospitali hiyo katika Manispaa ya Tabora, Agosti 18, 2018. Wapili
kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
No comments :
Post a Comment