Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Elimu ya Juu wa
Namibia pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Dkt. Augustine
Mahiga, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe.
Edwin Paul Mhede (wa pili kushoto), Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na
Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Ali Khamis Wa tatu
kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Mhe. Sylvester
Ambokile (nyuma ya Makamu wa Rais) na Balozi wa Namibia nchini Tanzania
Bi. Theresia Samaria (koti jekundu) ukumbi wa Country Club mjini
Windhoek baada ya dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na Mwenyekiti mpya wa
SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob kwa heshima ya viongozi wa
nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa
usiku Agosti 17, 2018
Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika ukumbi wa Country
Club mjini Windhoek kuhudhuria dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na
Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob kwa heshima
ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini
(SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018
Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi wezake katika ukumbi
wa Country Club mjini Windhoek kuhudhuria dhifa ya kitaifa
iliyoandaliwa na Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage
Geingob kwa heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi
za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018
Mwenyekiti
mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob (wa tatu kushoto) na
wageni wake kwenye dhifa ya kitaifa aliyoandaa kwa heshima ya viongozi
wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC)
Ijumaa usiku Agosti 17, 2018. Wengine kutoka kushoto ni Rais Edgar Lungu
wa Zambia, Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika ya Kusini, Mama Geingob,
Katibu Mtendaji wa Sadc Dkt. Sergomena Tax na Naibu Waziri Mkuu na
Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Nambia, Mhe. Netumbo
Nandi-Ndaitwah
Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Edwin Paul Mhede ukumbi wa
Country Club mjini Windhoek baada ya dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa na
Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia Dkt. Hage Geingob kwa
heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Afrika ya
Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17, 2018
Makamu
wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hasna Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Dkt.
Augustine Mahiga, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na
Uwekezaji Mhe. Edwin Paul Mhede (wa pili kushoto), Naibu Katibu Mkuu
Wizara ya Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Ali
Khamis, Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Mhe. Sylvester
Ambokile na afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki katika ukumbi wa Country Club mjini Windhoek baada ya dhifa
ya kitaifa iliyoandaliwa na Mwenyekiti mpya wa SADC na Rais wa Namibia
Dkt. Hage Geingob kwa heshima ya viongozi wa nchi za Jumuiya ya
Maendeleo ya nchi za Afrika ya Kusini (SADC) Ijumaa usiku Agosti 17,
2018
No comments :
Post a Comment