Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya
Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na Mbunge wa Muheza,
Mheshimiwa Adadi Rajabu (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa semina
ya kuwajengea uwezo wabunge iliyofanyika leo katika ukumbi wa African
Dream Mjini Dodoma. wa pili kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya
Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mbunge wa Same Mashariki,
Mheshimiwa Nangenjwa kaboyoka, kulia ni Makamu Mwenyekiti wa kamati ya
kudumu ya Bunge ya Masuala ya ukimwi na Mbunge wa Manyoni Mashariki,
Mheshimiwa Daniel Mtuka na Kushoto ni Mkurugenzi wa Kamati za Bunge,
Ndg. Athuman Hussein
Mwenyekiti
wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na
Mbunge wa Muheza, Mheshimiwa Adadi Rajabu (wa pili kushoto) akizungumza
wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wabunge iliyofanyika leo katika
ukumbi wa African Dream Mjini Dodoma. wa pili kulia ni Mwenyekiti wa
kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mbunge wa Same
Mashariki, Mheshimiwa Nangenjwa kaboyoka, kulia ni Makamu Mwenyekiti wa
kamati ya kudumu ya Bunge ya Masuala ya ukimwi na Mbunge wa Manyoni
Mashariki, Mheshimiwa Daniel Mtuka na Kushoto ni Mkurugenzi wa Kamati za
Bunge, Ndg. Athuman Hussein
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya
Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mbunge wa Same Mashariki,
Mheshimiwa Nangenjwa kaboyoka akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea
uwezo wabunge iliyofanyika leo katika ukumbi wa African Dream Mjini
Dodoma. kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya
Masuala ya Ukimwi na Mbunge wa Manyoni Mashariki, Mheshimiwa Daniel
Mtuka, wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya
Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na Mbunge wa Muheza, Mheshimiwa Adadi
Rajabu na Kushoto ni Mkurugenzi wa Kamati za Bunge, Ndg. Athuman Hussein
Mkurugenzi wa Kamati za Bunge,
Ndg. Athuman Hussein (aliesimama) akitoa maada wakati wa semina ya
kuwajengea uwezo Wabunge iliyofanyika leo katika ukumbi wa African Dream
Mjini Dodoma. wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya
Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama na Mbunge wa Muheza, Mheshimiwa
Adadi Rajabu, wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge
ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mbunge wa Same Mashariki, Mheshimiwa
Nangenjwa kaboyoka na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya
Bunge ya Masuala ya ukimwi na Mbunge wa Manyoni Mashariki, Mheshimiwa
Daniel Mtuka
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya
Bunge ya Masuala ya Ukimwi na Mbunge wa Viti Maalum, Mheshimiwa, Mary
Muro akiuliza swali wakati wa semina ya kuwajengea uwezo Wabunge
iliyofanyika leo katika ukumbi wa African Dream Mjini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya
Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mbunge wa Bagamoyo, Mheshimiwa,
Shukuru Kawambwa akiuliza swali wakati wa semina ya kuwajengea uwezo
Wabunge iliyofanyika leo katika ukumbi wa African Dream Mjini Dodoma.
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya
Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mbunge wa kilindi, Mheshimiwa,
Omary kigua akiuliza swali wakati wa semina ya kuwajengea uwezo Wabunge
iliyofanyika leo katika ukumbi wa African Dream Mjini Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa kamati ya
kudumu ya Bunge ya Masuala ya ukimwi na Mbunge wa Manyoni Mashariki,
Mheshimiwa Daniel Mtuka (aliesimama)
No comments :
Post a Comment