Friday, August 30, 2019

New online matatu gets Sh1.5bn funding for Nairobi


Mostafa Kandil
SWVL CEO and co-founder Mostafa Kandil. PHOTO | SALATON NJAU | NATION MEDIA GROUP 

PATA VICHWA VYA HABARI KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMAMOSI AGOSTI 31, 2019

`


















RAIS DKT. MAGUFULI AKERWA NA CHANGAMOTO ZA UMASKINI BARA LA AFRIKA

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Mkutano wa Sita Jukwaa la Uongozi la Afrika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam, Tanzania.
*************
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.
Rais John Magufuli wa Tanzania amesema masalia ya fikra za kikoloni walizonazo Waafrika wengi ni miongoni mwa sababu zinazofanya Bara la Afrika kushindwa kusimamia rasilimali

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI KATIKA MKUTANO MKUU WA SITA WA JUKWAA LA UONGOZI BARANI AFRIKA



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Rais Mstaafu wa Somalia Prof. Hassan Sheikh Mohammed baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Sita wa Jukwaa ka Uongozi Barani Afrika Uliojadili suala la kuendeleza usimamizi mzuri wa Maliasili kwa mabadiliko ya kijamii na kiuchumi Barani Afrika. Mkutano huo wa siku mbili uliofanyika tarehe 29/30, Agost 2019 Ikulu Jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa na Marais Wastaafu wa Nchi za Afrika umemalizika leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kulia na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Wiliam Mkapa wakiwa wakisikiliza moja ya mada zilizokuwa zikitolewa kwenye Mkutano Mkuu wa Sita wa Jukwaa la Uongozi Barani Afrika Uliojadili suala la kuendeleza usimamizi mzuri wa Maliasili kwa mabadiliko ya kijamii na kiuchumi Barani Afrika. Mkutano huo wa siku mbili uliofanyika tarehe 29/30, Agost 2019 Ikulu Jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa na Marais Wastaafu wa Nchi za Afrika umemalizika leo.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Wiliam Mkapa akifunga Mkutano Mkuu wa Sita wa Jukwaa ka Uongozi Barani Afrika Uliojadili suala la kuendeleza usimamizi mzuri wa Maliasili kwa mabadiliko ya kijamii na kiuchumi Barani Afrika. Mkutano huo wa siku mbili uliofanyika tarehe 29/30, Agost 2019 Ikulu Jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa na Marais Wastaafu wa Nchi za Afrika umemalizika leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katikati, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Wiliam Mkapa kulia na Rais Msataafu wa Afrika ya Kusini Mhe. Tabo Mbeki wakijadiliana jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa Sita wa Jukwaa ka Uongozi Barani Afrika Uliojadili suala la kuendeleza usimamizi mzuri wa Maliasili kwa mabadiliko ya kijamii na kiuchumi Barani Afrika. Mkutano huo wa siku mbili uliofanyika tarehe 29/30, Agost 2019 Ikulu Jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa na Marais Wastaafu wa Nchi za Afrika umemalizika leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kulia, Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin Wiliam Mkapa kushoto, Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho kikwete wa pili kushoto na Rais Msataafu wa Somalia Prof. Hassan Sheikh Mohammed, wakiingia kwenye ukumbi wa Mkutano Mkuu wa Sita wa Jukwaa la Uongozi Barani Afrika Uliojadili suala la kuendeleza usimamizi mzuri wa Maliasili kwa mabadiliko ya kijamii na kiuchumi Barani Afrika. Mkutano huo wa siku mbili uliofanyika tarehe 29/30, Agost 2019 Ikulu Jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kimataifa na Marais Wastaafu wa Nchi za Afrika umemalizika leo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

TASAF Yamaliza Changamoto ya Nyumba za Walimu, Bweni na Jengo la Utawala Shule ya Sekondari Mlowa Njombe



NJOMBE
Shule ya sekondari Mlowa iliyokuwa ikibakiliwa na changamoto kubwa ya mikasa ya mimba,utoro na ufaulu duni na kusababisha ya kukosekana kwa nyumba za walimu,mabweni pamoja na miundombinu isiyorafiki ya  kutolea elimu kwa wanafunzi imeanza kuona mwanga mara baada

TANZANIA YATOA RAI KWA JAPAN NA JUMUIYA ZA KIMATAIFA



Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa akiwa katika mzungumzo na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Bw Filippo Grandi. Mazungumzo hayo yamefanyika kando na mkutano wa TICAD7 Yokohoma,Japan.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akifuatilia mazungumzo kati ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Bw Filippo Grandi(hayupo pichani) Yokohama, Japan.
Mazungumzo kati ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Bw Filippo Grandi kuhusu wakimbizi waliopo Tanzania yakiendelea. Yokohama, Japan.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa akiagana na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Bw Filippo Grandi mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo baina yao kuhusu wakimbizi waliopo Tanzania. Mazungumzo hayo yamefanyika Yokohama, Japan.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akisalimiana na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Bw Filippo Grandimara baada ya kumaliza kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mhe. Kassim M. Majaliwa. Yokohama, Japan.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akiteta jambo na Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) Bw Filippo Grandi mara baada ya kumalizika mazungumzo ya Waziri Mkuu mhe. Kassim M. Majaliwa. Yokohama, Japan.
……………….
Tanzania imetoa rai kwa Jumuiya ya Kimataifa na Japan kuendelea kutafuta suluhu ya kudumu kwenye changamoto mbalimbalii ambazo bado zinajitokeza kwenye baadhi ya nchi za Afrika ikiwemo ugaidi wa kimataifa, uhalifu, mabadiliko ya tabianchi, ukame, njaa na

POLISI TANZANIA YANYAKUA MEDALI 29 KATIKA MICHEZO YA EAPCCO 2019 KENYA


Wachezaji wa timu ya Polisi Tanzania wakiwa katika picha ya Pamoja kabla ya mechi kuanza katika viwanja vya Kasarani jijini Nairobi nchini Kenya.
Wahamasishaji kutoka Jeshi la Polisi wakishangilia timu ya Jeshi la Polisi ikiwa inacheza mpira wa miguu na timu ya Polisi Burundi ambapo Tanzania iliibuka mshindi kwa kuifunga Burundi bagoli 2 kwa 1.
Mwanariadha wa  Polisi Tanzania katika mbio za nyika WP. Catherine akiwa katika mbio hizo katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Kenyata jijini Nairobi,  nchini Kenya ambaye ameiwezesha nchi ya Tanzania kuingia katika  nafasi ya pili katika mashindano ya michezo ya  EAPCCO 2019.
Mwanariadha wa  Polisi Tanzania PC Michael  baada ya kumaliza mbio za mita 100 katika viwanja vya Kasarani jijini Nairobi,  nchini Kenya na kuiwezesha nchi ya Tanzania kuingia katika  nafasi ya pili katika mashindano ya michezo ya  EAPCCO 2019.
…………………
Timu za Jeshi la Polisi Tanzania zinazoshiriki katika michezo ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kwa nchi za Kanda ya Afrika Mashariki (EAPCCO 2019) inayochezwa katika viwanja vya