Saturday, February 1, 2020

MBUNGE CHIKOTA ATAKA SERIKALI KUMALIZIA UJENZI WA BARABARA YA MTWARA-NEWALA-MASASI KWA LAMI


Na Alex Sonna, DODOMA
MBUNGE wa Nanyamba, Abdallah Chikota(CCM), amehoji serikali lini itajenga kwa kiwango cha lami kilometa 160 zilizobaki katika barabara ya Mtwara – Newala – Masasi.
Akiuliza swali bungeni leo, Chikota amesema barabara hiyo yenye

New era for divided Britain as it leaves EU

UK flag removed from EU
Staff members take down the United Kingdom's flag from the European Parliament building in Brussels on Brexit Day, January 31, 2020. PHOTO | JOHN THYS | POOL | AFP 
AFP
By AFP
More by this Author
London,
Britain on Friday ended almost half a century of European Union membership, making a historic exit

US travel ban: Trump restricts immigration from Nigeria and five other countries

Donald Trump
US President Donald Trump. The president first introduced a travel ban in 2017. PHOTO | SCOTT OLSON | AFP 
BBC
By BBC
More by this Author
The US has announced it is expanding its curbs on immigration to include six more countries,

US bans Tanzanian official who launched anti-gay crackdown

Dar es Salaam’s Regional Commissioner Paul Makonda.
Dar es Salaam’s Regional Commissioner Paul Makonda. FILE PHOTO | NMG 
REUTERS
By REUTERS
More by this Author
The United States said on Friday it banned from visiting the country a Tanzanian official who

Friday, January 31, 2020

DKT. POSSI AWATAKA WATUMISHI WA WIZARA YA HABARI KUFANYA KAZI KWA UADILIFU.



Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Ally Possi akizungumza na wafanyakazi wa Wizara yake leo Jijini Dodoma wakati alipokua akifunga Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ambalo amewakumbusha watumishi hao kufanya kazi kwa uadilifu na weledi mkubwa kwa maendelo ya Wizara na taifa kwa ujumla.
Mkurugenzi Idara ya Utawala na Rasilimali watu wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Bernad Patrick akiwasilisha mada kuhusu idara yake katika Baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo lilifanyika kwa siku mbili januari 30 -31 Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw.Petro Lyatuu akiwasilisha mada kuhusu Utekelezaji wa Bajeti ya mwaka 2019/2020 na vipaumbele vya bajeti ya 2020/2021 katika Baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo lilifanyika kwa siku mbili januari 30 -31 Jijini Dodoma.
*****************************
Na Shamimu Nyaki – WHUSM, Dodoma.
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Ally Possi amewataka watumishi wa Wizara hiyo kuendelea kufanya kazi kwa bidiii,

WAZIRI ZUNGU AWATAKA WATUMISHI WAKE KUWAJIBIKA IPASAVYO


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kilichofanyika jijini Dodoma leo ambapo aliwataka kuwajibika ipasavyo mahali pa kazi.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwa ajili ya kufungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika leo jijini Dodoma.


Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine akimkaribisha mgeni rasmi kwa ajili ya kufungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika leo jijini Dodoma.


Sehemu ya wajumbe wa Baraza la Watumishi la Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwa katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika leo jijini Dodoma na kufunguliwa na Waziri Mussa Azzan Zungu.


Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine (wa pili kulia) akiongoza mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo jijini Dodoma. Wengine pichani kuanzia kulia ni Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Eva Mbigi, Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Isaya Kisiri na Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa Jane Mbura


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi

RAIS MAGUFULI ATEUA VIONGOZI WA WIZARA, MAHAKAMA, MAJESHI NA MIKOA


Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akitangaza majina ya Viongozi mbalimbali walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya  Muuungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam Januari 31, 2020.
Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Balozi John Kijazi amewataja walioteuliwa kama ifuatavyo;