Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akifungua mkutano wa
Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo kilichofanyika jijini Dodoma leo
ambapo aliwataka kuwajibika ipasavyo mahali pa kazi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasili katika
ukumbi wa mikutano kwa ajili ya kufungua mkutano wa Baraza la
Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika leo jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi
Joseph Sokoine akimkaribisha mgeni rasmi kwa ajili ya kufungua mkutano
wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika leo jijini Dodoma.
Sehemu ya wajumbe wa Baraza la
Watumishi la Ofisi ya Makamu wa Rais wakiwa katika mkutano wa Baraza la
Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika leo jijini Dodoma na kufunguliwa
na Waziri Mussa Azzan Zungu.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi
Joseph Sokoine (wa pili kulia) akiongoza mkutano wa Baraza la
Wafanyakazi wa Ofisi hiyo jijini Dodoma. Wengine pichani kuanzia kulia
ni Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Eva Mbigi, Mwenyekiti wa Baraza la
Wafanyakazi Isaya Kisiri na Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE Taifa Jane Mbura
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwa katika
picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi