Wednesday, June 23, 2021

MATUKIO: MAADHIMISHO SIKU YA WAJANE DUNIANI, DAR ES SALAAM \





NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Mwanaidi Ali Khamis akitembelea mabanda na kujionea shughuli zinazofanywa na Wajane wa Mkoa wa Dar es Salaam katika kuadhimisha Siku ya Wajane Duniani leo tarehe 23 Juni, 2021, yanayofanyika kimkoa katika viwanja vya Mnazi Mmoja.

No comments :

Post a Comment