Saturday, November 7, 2020

RAIS DKT. MWINYI AKIMUAPISHA KATIBU WA RAIS

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Bw.Suleiman Ahmed Saleh  kuwa Katibu wa Rais wa Zanzibar hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimuapisha Bw.Suleiman Ahmed Saleh  kuwa Katibu wa Rais wa Zanzibar hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar(kulia) Katibu wa Baraza la Mapinduzi pia katibu Kiongozi Dkt.Abdulamid Yahya Mzee

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na familia ya Bw.Suleiman Ahmed Saleh mara baada ya kumuapisha  kuwa Katibu wa Rais wa Zanzibar hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.Picha na Ikulu

 

No comments :

Post a Comment