Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein
Bashe (kulia)akiteta jambo na Kaimu Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya Ziwa,
Ahmed Akbarali na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya
Wilaya ya Nzega, Suleiman Sekeite katika uzinduzi wa mpango wa kujenga
kituo cha huduma kwa wakulima kupitia program ya M-Kulima. Kampuni ya
Vodacom Tanzania PLC inakusudia kuanzisha kituo cha mawasiliano cha
kidijitali kitakachowawezesha wakulima kuwasiliana na maafisa ugani
kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu kilimo.
Kaimu Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda
ya Ziwa Ahmed Akbarali akizungumza na wakulima wa mpunga na mahindi
wilaya ya Nzega mkoani Tabora katika uzinduzi wa mpango wa kujenga kituo
cha huduma kwa wakulima kupitia program ya M-Kulima. Kampuni ya Vodacom
Tanzania PLC inakusudia kuanzisha kituo cha mawasiliano cha kidijitali
kitakachowawezesha wakulima kuwasiliana na maafisa ugani kuhusu mambo
mbalimbali yanayohusu kilimo.
No comments :
Post a Comment