Mkuu wa wilaya ya Rorya Simon
Odunga (wa tano kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mbio za
Serengeti Migration Marathon zilizodhaminiwa na Kampuni ya Bia ya
Serengeti (SBL) pamoja na makampuni mengine kwa ajili ya uhamasiahaji wa
utunzaji wa mazingira. Mbio hizo zilifanyika jana wilayani Serengeti
mkoani Mara
Baadhi ya washiriki wa mbio za
Serengeti Migration Marathon wakionyesha medali zao baada ya kuweza
kumaliza mbio hizo zilizodhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL)
pamoja na makampuni mengine kwa ajili ya uhamasishaji wa utunzaji wa
mazingira. Mbio hizo zilifanyika jana wilayani Serengeti mkoani Mara.
Baadhi ya washiriki wa mbio za
Serengeti Migration Marathon wakishangilia baada ya kufanikiwa kumaliza
mbio hizo zilizodhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) pamoja na
makampuni mengine kwa ajili ya uhamasishaji wa utunzaji wa mazingira.
Mbio hizo zilifanyika jana wilayani Serengeti mkoani Mara.
No comments :
Post a Comment