********************************
TMDA yaibuka mshindi wa pili wa
Jumla na kukabidhiwa kikombe cha ushindi katika maonesho ya Biashara ya
Afrika Mashariki yanayofanyika jijini Mwanza tarehe 28 hadi 5 Septemba
2020.
TMDA inashiriki katika maonesho
hayo kwa lengo la kutoa elimu juu ya udhibiti wa
ubora, usalama na
ufanisi wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi.
Katika maonesho haya hamasa kubwa
imewekwa katika umuhimu wa utoaji taarifa juu ya madhara yatokanayo na
matumizi ya dawa ma vifaa tiba.
No comments :
Post a Comment