

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)
Mhe. Mussa Azzan Zungu akifuatilia maelekezo kutoka kwa mtaalamu wa
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam baada ya kutembelea banda la Chuo hicho
kwenye Maonesho ya Vyuo Vikuu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar
es Saam


Wanafunzi
mbalimbali wakifuatilia maelekezo kutoka kwa wataalamu wa Chuo Kikuu
cha Dar es Salaam baada ya kutembelea banda la Chuo hicho kwenye
Maonesho ya Vyuo Vikuu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Saam
ili kuweza kujisajili na kujiunga na Vyuo hivyo








PICHA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
No comments :
Post a Comment