Friday, September 4, 2020

CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (UDSM) CHASHIRIKI MAONESHO YA VYUO VIKUU KWENYE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM


Katibu Mtendaji Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Prof.Charles Kihampa akifuatilia maelekezo kutoka kwa mtaalamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam baada ya kutembelea banda la Chuo hicho kwenye Maonesho ya Vyuo Vikuu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Saam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akifuatilia maelekezo kutoka kwa mtaalamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam baada ya kutembelea banda la Chuo hicho kwenye Maonesho ya Vyuo Vikuu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Saam Wanafunzi mbalimbali wakifuatilia maelekezo kutoka kwa wataalamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam baada ya kutembelea banda la Chuo hicho kwenye Maonesho ya Vyuo Vikuu katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Saam ili kuweza kujisajili na kujiunga na Vyuo hivyo
Wanafunzi mbalimbali wakipata msaada wa usajili kutoka kwa Wataalamu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ili kuweza kujiunga na Elimu ya Vyuo Vikuu. Wanafunzi wamejitokeza katika Maonesho ya Vyuo Vikuu kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja ili kuweza kupata msaada wa kujisajili.
PICHA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

No comments :

Post a Comment