Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiongea na ujumbe kutoka
Oryx gas Tanzania waliomtembelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es
Salaamikiwa ni maongezi juu matumizi ya gesi katika kupunguza wimbi la
ukataji miti.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu
akiwa katika mazungumzo na ujumbe wa Kampuni ya Burn Stove kutoka Kenya
ambao walimtebelea Ofisini kwake Luthuli jijini Dar es Salaam ikiwa ni
kwa ajili ya mazungumzo juu ya matumizi ya nishati mbadala wa mkaa ili
kupunguza ukataji wa miti.
No comments :
Post a Comment