Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua ghala la skimu ya umwagiliaji ya Mombo,
Machi 5, 2020. Wa tatu kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba na
wa pili kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Tanga, Henry Shekifu.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mchele daraja la kwanza wakati
alipotembelea mashine ya kukoboa nafaka ya Skimu ya Umwagiliaji ya
Mombo wilayani Korogwe, Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kiloba cha mchele uliokobolewa na
kufungashwa tayari kwa kuuzwa wakati alipozindua ghala la skimu ya
umwagiliaji ya Mombo wilayani Korogwe, Machi 5, 2020.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama trekta la kuvuna mpunga wakati
alipozindua ghala la skimu ya umwagiliaji ya Mombo wilayani Korogwe,
Machi 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri)
No comments :
Post a Comment