Naibu Mkuu wa Kitengo cha
Maendeleo UK AID, Natalie Smith akizungumza na waandishi wa habari
wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya ubunifu 2020 (Innovation
Week 2020) leo jijini Dar Es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dkt.
Amos Nungu (wapili kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa
uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya ubunifu 2020 (Innovation Week 2020)
leo jijini Dar Es Salaam. Katika wiki hiyo ya ubunifu ambayo kauli mbiu
yake ni “Buni kwa Tija” Kampuni ya Vodacom ni mdhamini mkuu wa
maadhimisho hayo. Wengine toka kushoto ni Naibu Mwakilishi Mkazi UNDP,
Sergio Valdini, Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano Vodacom Tanzania
PLC, Bi.Rosalynn Mworia, na Naibu Mkuu wa Kitengo cha Maendeleo UK AID,
Natalie Smith.
Mkurugenzi wa Uhusiano na
Mawasiliano Vodacom Tanzania PLC, Bi.Rosalynn Mworia (kushoto)
akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya
wiki ya ubunifu 2020 (Innovation Week 2020) leo jijini Dar Es Salaam.
Katika wiki hiyo ya Ubunifu ambayo kauli mbiu yake ni “Buni kwa Tija”
Kampuni ya Vodacom inatarajia kuonyesha bunifu zake mbalimbali katika
sekta ya Kilimo, Elimu, Fedha na Afya. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu
wa COSTECH, Dkt. Amos Nungu, Naibu Mkuu wa Kitengo cha Maendeleo UK
AID, Natalie Smith na Mkurugenzi Mkazi wa HDIF, Joseph Evarist.
No comments :
Post a Comment