********************
TBS yawahimiza wanafunzi wa shule
za Sekondari Mpanda na Rungwa zilizopo Manispaa ya Mpanda kuzingatia
ununuzi wa bidhaa zenye ubora ili kuepuka hasara na athari za kiafya.
Vilevile walikumbushwa kusoma taarifa mbalimbali zinazopatikana kwenye
vifungashio za bidhaa kama vile muda wa kuisha matumizi. Wanafunzi hao
walishukuru TBS na kuahidi kuwa mabalozi wa masuala ya ubora. Jumla ya
wanafunzi 2116 walipata elimu hiyo.
No comments :
Post a Comment