Afisa udhibiti Ubora (TBS) Bw.
Ernest Simon akiwahamasisha wajasiriamali wa Manispaa ya Mpanda
kuthibitisha ubora wa bidhaa zao ili waweze kuuza ndani na nje ya nchi
na hatimaye kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Tano ya Mhe. Dkt
John Pombe Magufuli ya uchumi wa viwanda. Wajasiriamali hao
wameishukuru TBS kuwafikia na wameahidi kuanza mchakato wa kuthibitisha
bidhaa zao.
#TBStunakufikia ulipo# Tunakusogezeahudumakaribu#
No comments :
Post a Comment