…………………………………………………………………………………………….
Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya
Udhibiti wa Madawa ya Kulevya Bw. James Kaji akiwasilisha hotuba ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya
Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za
Kulevya na Jinai (UNODC) kuhusu utekelezaji wa mikataba mbalimbali ya
Kimataifa ya Madawa ya Kulevya. Tanzania katika mkutano huu, unaofanyika
Vienna, Austria,
imekuwa ni mfano bora wa namna ambavyo wameweza kujiimarisha katika
Mapambano Dhidi ya Matumizi ya Dawa za Kulevya.
https://www.unodc.org/unodc/en/commissions/CND/session/63_Session_2020/session-63-of-the-commission-on-narcotic-drugs.html
imekuwa ni mfano bora wa namna ambavyo wameweza kujiimarisha katika
Mapambano Dhidi ya Matumizi ya Dawa za Kulevya.
No comments :
Post a Comment