Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mstaafu Francis Mtungi akichangia
hoja wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Msaji wa
Vyama vya Siasa (ORPP) kilichofanyika katika ukumbi wa Veta jijini
Dodoma leo tarehe 10/01/2020. Kutoka kulia ni Maafisa Utumishi wa ORPP,
Bibi Eneja Mwakanyamale na Happiness Muyombo
Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama
vya Siasa ambaye pia ni Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Mohamed
Ali Ahmed akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Baraza la
Wafanyakazi la Ofisi ya Msaji wa Vyama vya Siasa kilichofanyika katika
ukumbi wa Veta jijini Dodoma leo tarehe 10/01/2020. Kutoka kulia ni
Katibu wa Baraza hilo Bibi. Prudensia Kwabila na kushoto ni Mwenyekiti
wa THUGHE Tawi la ORPP, Bw.Salim Mokiwa
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Bw. Magohu Zonzo akijibu hoja
wakati wa Kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Msaji wa Vyama vya
Siasa kilichofanyika katika ukumbi wa Veta jijini Dodoma leo tarehe
10/01/2020.
Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa,
Bibi. Edina Assey akichangia mada wakati wa Kikao cha Baraza la
Wafanyakazi la Ofisi ya Msaji wa Vyama vya Siasa(ORPP) kilichofanyika
katika ukumbi wa Veta jijini Dodoma leo tarehe 10/01/2020.
Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa,
Bw. Abuu Kimario akichangia mada wakati wa Kikao cha Baraza la
Wafanyakazi la Ofisi ya Msaji wa Vyama vya Siasa(ORPP) kilichofanyika
katika ukumbi wa Veta jijini Dodoma leo tarehe 10/01/2020.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama
vya Siasa (ORPP) wakifuatilia Kikao cha Baraza hilo kilichofanyika
katika ukumbi wa Veta jijini Dodoma leo tarehe 10/01/2020.
Msajili wa Vyama vya Sisa, Mhe. Jaji Mstaafu Francis Mutungi (watatu kutoka kushoto) na Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ambaye pia ni Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Mohamed Ali Ahmed (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) mara baada ya kumaliza kikao hicho leo tarehe 10/01/2020 jijini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa – ORPP)
Msajili wa Vyama vya Sisa, Mhe. Jaji Mstaafu Francis Mutungi (watatu kutoka kushoto) na Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ambaye pia ni Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Mohamed Ali Ahmed (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa (ORPP) mara baada ya kumaliza kikao hicho leo tarehe 10/01/2020 jijini Dodoma.(Picha na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa – ORPP)
No comments :
Post a Comment