| Maafisa wa BoT wakitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la BoTviweanja vya Nyakabindi Simiyu leo Agosti 3, 2019. |
Maafisa wa BoT wakitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la BoTviweanja vya Nyakabindi Simiyu leo Agosti 3, 2019.
Maafisa wa BoT wakitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la BoTviweanja vya Nyakabindi Simiyu leo Agosti 3, 2019.
Wananchi
wakitazama noti ili kujifunza namna ya kubaini zilizo halali na zile za
bandia (Feki) walipotembelea banda la BoT viwanja vya Nyakabindi
Simiyu leo Agosti 3, 2019.
Maafisa wa BoT wakitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la BoTviweanja vya Nyakabindi Simiyu leo Agosti 3, 2019.NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, Simiyu
WANANCHI
wengi wamekuwa wakimiminika kwenye banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT)
kwenye maonesho ya Nanenane kitaifa kwenye viwanja vya Nyakabindi nje
kidogo ya mji wa Bariadi Mkoani Simiyu.
Banda
la BoT limekuwa kivutio kwa watu wengi hususan wananchi wa Mkoa wa
Simiyu na mikoa jirani ambapo wamekuwa wakifika kwenye banda hilo kupata
taarifa kuhusu namna ya kugundua noti bandia, kubadilisha fedha
zilizochakaa na kupatiwa noti mpya, lakini pia kuelimishwa kuhusu
majukumu yab Benki Kuu.
Maonesho
ya Nanenane Kitaifa yanafanyika kwenye viwanja vya Nyakabindi nje
kidogo ya mji wa Bariadi mkoani Simiyu Agosti 1, 2019 na yatafikia
kilele Agosti 8, 2019.
Maonesho yamebeba kauli mbiu isemayo "Kilimo, Ufugaji na Uvuvi kwa Ukuaji wa Uchumi wa nchi.".
No comments :
Post a Comment