
Meneja wa TIRA Kanda ya Kaskazini, Bw. Eliezer Rweikiza
akitoa ufafanuzi kuhusiana na Bima ya kilimo katika maonesho ya 26 ya
Nanenane Kanda ya kaskazini kwenye viwanja vya Themi, Njiro jijini
Arusha.
Paulo Makanja ni Mwanasheria Mwandamizi kutoka TIRA:amesisitiza wakulima wanaodai malipo ya Bima wafike banda la TIRA kwaajili ya msaada zaidi
Meneja wa TIRA kanda ya Kaskazini Eliezer Rweikiza akisisitiza kwajambo mteja kama anavyoonekana katika picha,kushoto kwake ni Paulo Makanja ni Mwanasheria Mwandamizi kutoka TIRA
Paulo Makanja ni Mwanasheria Mwandamizi kutoka TIRA:amesisitiza wakulima wanaodai malipo ya Bima wafike banda la TIRA kwaajili ya msaada zaidi
Meneja wa TIRA kanda ya Kaskazini Eliezer Rweikiza akisisitiza kwajambo mteja kama anavyoonekana katika picha,kushoto kwake ni Paulo Makanja ni Mwanasheria Mwandamizi kutoka TIRA
Na Vero Ignatus, Arusha
Mamlaka
ya usimamizi wa Bima nchini TIRA imepitisha na kutoa mwongozo wa Bima
ya kilimo ikiwa na maana ya kusisitiza wananchi ambao wanajihusisha na
kilimo kwenda katika maonyesho ya 88 ili waweze kupatiwa huduma ili kukinga kilimo chao na mifugo yao. Meneja wa TIRA Kanda ya Kaskazini Bw. Eliezer Rweikiza amesema.
kilimo kwenda katika maonyesho ya 88 ili waweze kupatiwa huduma ili kukinga kilimo chao na mifugo yao. Meneja wa TIRA Kanda ya Kaskazini Bw. Eliezer Rweikiza amesema.
Alisema ziko faida nyingi za kukata bima ya kilimo kwani mkulima anapokata bima ya kilimo
inamkinga dhidi ya majanga ya kilimo anapopata hasara kutokana na majanga hayo anafidiwa na kampuni husika ya bima.
Bw.
Eliezer amesema hivi karibuni Mamlaka ilieendesha mafunzo kwenye
vikundi takribani 50 vinavyojumuisha VICOBA, SACOS, AMCOS,
pamoja na wajasiriyamali juu ya umuhimu w abima kwenye shughuli zao
hususan kilimo.
Ameainisha vijiji ambavyo wametoa elimu kwa
ujumla kuwa ni pamoja na Tanga mjini vikundi 10, Wilaya ya Muheza 12, Korogwe 11, Babati 6, na Hanang
8.
Rweikiza mesema huduma za bima zimekuwa
zikutolewa zaidi ya miaka mitano nyuma ila kwa sasa zinakuwa na vitu ambavyo
vimeboreshwa zaidi kwani zipo huduma hadi kwa wakulima wadogo
"Hivyo
basi bima ni muhimu
sana kwa wote wanaolima au kufanya shughuli za ufugaji na haijalishi
kilimo kikubwa au kilimo kidogo wote wanaweza kupatwa na majanga na
kwakweli tunawasihi sana wakulima wa Kanda hii kukata bima ya Kilimo na
Mifugo ili kujihakikishia usalama wa kilimo chao na mifugo."
Alisisitiza.



No comments :
Post a Comment