Rais
wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine
Tshisekedi Tshilombo akipewa maelezo na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Isaack Kamwelwe Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,
Mhe. Isaack Kamwelwe kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR
na njia itamopita wakati mgeni huyo alipotembelea sehemu ya mradi huo
eneo la Vingunguti ‘Mahakama ya Mbuzi’ jijini Dar es salaam leo Juni 14,
2019
Rais
wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine
Tshisekedi Tshilombo akisalimia wananchi wakati mgeni huyo alipotembelea
sehemu ya mradi wa Reli ya Kisasa eneo la Vingunguti ‘Mahakama ya
Mbuzi’ jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2019
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa kongo (DRC)
Mhe.
Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akiwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi
na Mawasiliano, Isaack Kamwelwe Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe akikagua maendeleo ya ujenzi wa Reli
ya Kisasa ya SGR na njia itamopita wakati mgeni huyo alipotembelea
sehemu ya mradi huo eneo la Vingunguti ‘Mahakama ya Mbuzi’ jijini Dar es
salaam leo Juni 14, 2019
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa
kongo
(DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akitambulishwa na Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isaack Kamwelwe Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe kwa viongozi wa kampuni ya
upakuaji Makontena ya Tanzania International Containers Terminal
Services (TICTS) alipotembelea Bandari ya Dar es salaam jijini Dar es
salaam leo Juni 14, 2019.
Rais
wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine
Tshisekedi Tshilombo akitambulishwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe kwa Mkurugenzi Mkuu Shirika la Reli
Tanzania Ndugu Masanja Kungu Kadogosa alipofika kukagua maendeleo ya
ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR na njia itamopita wakati mgeni huyo
alipotembelea sehemu ya mradi huo eneo la Vingunguti ‘Mahakama ya Mbuzi’
jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2019
PICHA NA IKULU
No comments :
Post a Comment