Saturday, June 15, 2019

RAIS TSHISEKEDI WA DRC ATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM, AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)






Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akipewa maelezo na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isaack Kamwelwe Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR na njia itamopita wakati mgeni huyo alipotembelea sehemu ya mradi huo eneo la Vingunguti ‘Mahakama ya Mbuzi’ jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2019 


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akisalimia wananchi wakati mgeni huyo alipotembelea sehemu ya mradi wa Reli ya Kisasa eneo la Vingunguti ‘Mahakama ya Mbuzi’ jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2019 


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa kongo (DRC)

Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akiwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isaack Kamwelwe Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe akikagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR na njia itamopita wakati mgeni huyo alipotembelea sehemu ya mradi huo eneo la Vingunguti ‘Mahakama ya Mbuzi’ jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2019 


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa

kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akitambulishwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isaack Kamwelwe Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe kwa viongozi wa kampuni ya upakuaji Makontena ya Tanzania International Containers Terminal Services (TICTS) alipotembelea Bandari ya Dar es salaam jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2019. 


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Watu wa kongo (DRC) Mhe. Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo akitambulishwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Isaack Kamwelwe kwa Mkurugenzi Mkuu Shirika la Reli Tanzania Ndugu Masanja Kungu Kadogosa alipofika kukagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR na njia itamopita wakati mgeni huyo alipotembelea sehemu ya mradi huo eneo la Vingunguti ‘Mahakama ya Mbuzi’ jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2019 

PICHA NA IKULU

No comments :

Post a Comment