Wednesday, April 24, 2019

KAMPUNI YA BEIJING ENG YASAIDIA UOKOZI ARUSHA KUKUZA USHIRIKIANO WA MATAIFA YA TANZANIA NA CHINA


IMG-20190424-WA0007
Mkuu wa wilaya Arusha akiongea katika machimbo ya moramu eneo la Moshono mara baada ya Uokoaji Jana picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
IMG-20190424-WA0008 
Sehemu ya mitambo iliotolewa na Kampuni hiyo kuokoa waliofukiwa na kifusi kwenye machimbo ya Moramu eneo la Moshono nje kidogo ya Jiji la Arusha picha na Ahmed Mahmoud Arusha
IMG-20190424-WA0010
Sehemu ya mitambo iliotolewa na Kampuni hiyo kuokoa waliofukiwa na kifusi kwenye machimbo ya Moramu eneo la Moshono nje kidogo ya Jiji la Arusha picha na Ahmed Mahmoud Arusha
IMG-20190424-WA0011
Meneja wa Kampuni ya Beijing Construction Eng.Guo Xiangke pichani akiongea na vyombo vya habari mara baada ya kushiriki zoezi la uokozi kwenye machimbo ya moramu eneo la Moshono.picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
……………………………………………………………………………………………………………
Na Ahmed Mahmoud Arusha.
Tukio la ajali ya kufukiwa Kwa Gari na watu watano kwenye mgodi wa mchanga moshono Kampuni ya kichina imejitokeza Kusaidia kuokoa Kwa kutoa mitambo yake  kudumisha ushirikiano Kati ya mataifa haya mawili ya China na Tanzania.
Shughuli za uokozi katika machimbo ya moramu yaliopo Kata ya Moshono jijini Arusha  Kampuni ya ujenzi ya Beijing Construction Engineering ilitoa mitambo yake mitatu Kusaidia shughuli ya uokoaji na kusimamisha kazi ya uboreshaji wa mtandao wa maji jijiji hapa Kwa muda.
Meneja mradi huo unaosimamiwa na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jijini Arusha AUWSA Guo Xiangke amesema kuwa baada ya tukio Hilo waliona ni muhimu kushirikiana na serikali  kuwaokoa waliofukiwa na kifusi.
Amesema Kampuni hiyo ilisaidia katika suala zima la ufukuaji wa kifusi Kwa siku nzima ya Jana mara baada ya kupata taarifa na kuombwa na mamlaka kusaidia kwenye tukio hilo.
Amesema wao kama wananchi wengine wanaoishi na kufanyakazi hapa nchini waliguswa na tukio Hilo hivyo kuona umuhimu wa kusaidiana na serikali katika kutoa masaada huo wa uokozi.
“Msaada wa kibinadamu ni muhimu Sana na Sisi kama jamii tunapaswa kuona umuhimu wa kuwasaidia wenzetu wanaopatwa na majanga kama haya tena wakati wowote tutajitolea pale itakapohitajika msaada wetu”
Nae mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro alisema tukio hilo limewasikitisha na watakaa kikao Kwa ajili ya kutoa maamuzi Kwa namna yakuwezesha wananchi kufanyakazi Kwa njia za usalama zaidi na taarifa zaidi zitatolewa.
“Tunashukuru kazi ya kuiondoa miili imefanikiwa na majeruhi wamepelekwa hospitali ya mount Meru no Jambo la huzuni  tutawajulisha hatua tutakazozalisha baadaye”
Pamoja na serikali kusimamisha mgodi huo mwaka 2013 na Hadi tukio Hilo linatokea ni miaka takribani sita imepita baada ya kupoteza maisha ya wananchi 13 na waziri mkuu wa wakati huo alipendekeza kuboresha usalama Kwa njia nzuri bila kufungwa mgodi huo.
Nukuu tutashauriana na viongozi wenzangu tuone namna sahihi lakini sipendekezi kufungwa”alisema Mizengo PindaNa Ahmed Mahmoud Arusha.
Tukio la ajali ya kufukiwa Kwa Gari na watu watano kwenye mgodi wa mchanga moshono Kampuni ya kichina imejitokeza Kusaidia kuokoa Kwa kutoa mitambo yake  kudumisha ushirikiano Kati ya mataifa haya mawili ya China na Tanzania.
Shughuli za uokozi katika machimbo ya moramu yaliopo Kata ya Moshono jijini Arusha  Kampuni ya ujenzi ya Beijing Construction Engineering ilitoa mitambo yake mitatu Kusaidia shughuli ya uokoaji na kusimamisha kazi ya uboreshaji wa mtandao wa maji jijiji hapa Kwa muda.
Meneja mradi huo unaosimamiwa na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jijini Arusha AUWSA Guo Xiangke amesema kuwa baada ya tukio Hilo waliona ni muhimu kushirikiana na serikali  kuwaokoa waliofukiwa na kifusi.
Amesema Kampuni hiyo ilisaidia katika suala zima la ufukuaji wa kifusi Kwa siku nzima ya Jana mara baada ya kupata taarifa na kuombwa na mamlaka kusaidia kwenye tukio hilo.
Amesema wao kama wananchi wengine wanaoishi na kufanyakazi hapa nchini waliguswa na tukio Hilo hivyo kuona umuhimu wa kusaidiana na serikali katika kutoa masaada huo wa uokozi.
“Msaada wa kibinadamu ni muhimu Sana na Sisi kama jamii tunapaswa kuona umuhimu wa kuwasaidia wenzetu wanaopatwa na majanga kama haya tena wakati wowote tutajitolea pale itakapohitajika msaada wetu”
Nae mkuu wa wilaya ya Arusha Fabian Daqarro alisema tukio hilo limewasikitisha na watakaa kikao Kwa ajili ya kutoa maamuzi Kwa namna yakuwezesha wananchi kufanyakazi Kwa njia za usalama zaidi na taarifa zaidi zitatolewa.
“Tunashukuru kazi ya kuiondoa miili imefanikiwa na majeruhi wamepelekwa hospitali ya mount Meru no Jambo la huzuni  tutawajulisha hatua tutakazozalisha baadaye”
Pamoja na serikali kusimamisha mgodi huo mwaka 2013 na Hadi tukio Hilo linatokea ni miaka takribani sita imepita baada ya kupoteza maisha ya wananchi 13 na waziri mkuu wa wakati huo alipendekeza kuboresha usalama Kwa njia nzuri bila kufungwa mgodi huo.
Nukuu tutashauriana na viongozi wenzangu tuone namna sahihi lakini sipendekezi kufungwa”alisema Mizengo Pinda

No comments :

Post a Comment