RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mhandisi wa
Kampuni ya World Class Engineering Contractars(CCEC) Ndg Joshuo Nyari,
akitowa maelezo ya michoro ya picha za jengo la Mama Wajawazito na
Watoto Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Viongozi wa
Wizara ya Afya Zanzibar, wakati akitembelea Mradi wa Ujenzi wa Jengo
jipya la Mama Wajawazito na Watoto Katika viwanja vya Hospitali ya
Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Daktari Dhamana
wa Hospitali ya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja Dr. Tamom Hamad Said,
akitowa maelezo ya picha ya jengo jipya la Hospitali ya Kivunge la Mama
Wajawaziti na Watoto linalojengwa katika eneo la hospitali hiyo wakati
alipofika kutembelea ujenzi huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea ujenzi wa jengo
jipya la Hospitali ya Kivunge la Mama Wajawazito na Watoto,
linalojengwa katika viwanja vya hospitali hiyo kivunge Mkoa wa Kaskazini
Unguja.(Picha na Ikulu)
No comments :
Post a Comment