Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon
Sirro, akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Godfrey Mheluka,
wakati alipowasili wilayani humo mkoani kagera kwa ziara ya kikazi leo
31/10/2018.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon
Sirro, akimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Karagwe Godfrey Mheluka (kulia)
muda mfupi baada ya kuwasili wilayani humo mkoani Kagera kwa ziara ya
kikazi. Picha na Jeshi la Polisi.
No comments :
Post a Comment