Thursday, September 20, 2018

MKUTANO WA MSAJILI WA VYAMA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA


 Mwakilishi kutoka Ofisi ya Mhasibu Mkuu wa Serikali, Christopher Mwaluswaswa akitoa mada kwa viongozi wa vyama vya siasa ya jinsi ya kuandaa taarifa za fedha kwa ajili ya ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakifuatilia mada ya jinsi ya kuandaa taarifa za fedha kwa ajili ya ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

 Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi (kulia) akimtambulisha Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohammed Ally Ahmed  kwa viongozi wa vyama vya siasa wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Mwakilishi toka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Edna Assey akitoa mada kwa viongozi wa vyama vya siasa ya jinsi ya kuandaa rejista ya mali za chama na kuandika taarifa za mali hizo wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakifuatilia mada ya jinsi ya kuandaa rejista ya mali za chama na kuandika taarifa za mali hizo wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Mwakilishi toka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Emmanuel Msengi akitoa mada kwa viongozi wa vyama vya siasa ya jinsi ya kuandaa bajeti ya chama cha siasa na taarifa za utekelezaji wake wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Sisty Nyahoza  (kulia) akifuatilia mada wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi wa vyama vya siasa mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakifuatilia mada ya jinsi ya bajeti ya chama cha siasa na taarifa za utekelezaji wake wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakichangia mada  wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohammed Ally Ahmed  akisisitiza jambo kwa viongozi wa vyama vya siasa wakati wa  mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Sisty Nyahoza  akitoa mada kwa viongozi wa vyama vya siasa ya jinsi ya kuwasilisha taarifa za kisheria kwa Msajili wa vyama vya Siasa wakati wa mkutano wa Msajili wa Vyama vya Siasa na viongozi hao mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment