Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe,Haji Omar
Kheir akifafanua baadhi ya Maswali katika kikao cha Baraza la
Wawakilishi kilichoanza Mbweni Zanzibar.
Muakilishi wa Jimbo la Chaani
Nadir Abdul-latif Yussuf akiuliza maswali katika kikao cha Baraza la
Wawakilishi kilichoanza Mbweni Zanzibar.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ
Mhe,Shamata Shaame Khamis akijibu Maswali katika kikao cha Baraza la
Wawakilishi kilichoanza Mbweni Zanzibar.
Naibu Waziri Wizara ya Ardhi
Maji Nishati na Mazingira Mhe,Juma Makungu Juma akijibu Maswali katika
kikao cha Baraza la Wawakilishi kilichoanza Mbweni Zanzibar.
Baadhi ya Viongozi na Wananchi mbalimbali waliohudhuria na
kufuatilia Kikao cha Baraza la Wawakilishi kilichoanza Mbweni Zanzibar.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi waliohudhuria
katika kikao cha Baraza hilo kilichoanza leo Mbweni nje ya mji wa
Zanzibar.
No comments :
Post a Comment