Monday, September 10, 2018

BALOZI WA VATICAN NCHINI AFANYA MAZUNGUMZO NA MKUU WA MKOA WA TABORA


 Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Mhashamu Paul Ruzoka( wapili kulia)  akizungunza na  viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Tabora ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Aggrey Mwanry (mwenye jaketi la buluu) mara baada ya Balozi wa Vatican nchini ambaye ni Mwakilishi wa Papa, Askofu Mkuu Marek Solczynski( pembeni ya Mkuu wa Mkoa) alipomtembelea Ofisi ya Mkoa huo jana.
 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (kushoto) akizungunza na  Balozi wa Vatican nchini ambaye ni Mwakilishi wa Papa, Askofu Mkuu Marek Solczynski( wa pili kutoka kushoto) na  ,Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Mhashamu Paul Ruzoka(katikati) wakati kiongozi huyo wa kihoro alipomtembelea Ofisi kwake jana
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (mwene jaketi la buluu) akiwa katika picha ya pamoja na  Balozi wa Vatican nchini ambaye ni Mwakilishi wa Papa, Askofu Mkuu Marek Solczynski( pembeni yake kutoka kulia) na  ,Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Tabora Mhashamu Paul Ruzoka(wa pili kutoka kulia) na viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wakati kiongozi huyo wa kihoro alipomtembelea Ofisi kwake jana.

No comments :

Post a Comment