Balozi wa China nchini Tanzania,
Bi.Wang Ke akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) waliopata fursa ya
kwenda kushiriki mkutano wa ushirikiano wa China na Nchi za Afrika
utakaofanyika kuanzia mwezi Septemba 2018 katika jiji la Beijing China.
Mkrugenzi Mkuu Idara ya Habari
(MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbas (kushoto)
akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) waliopata fursa ya kwenda
kushiriki mkutano wa ushirikiano wa China na Nchi za Afrika
utakaofanyika kuanzia mwezi Septemba 2018 katika jiji la Beijing China,
katikati ni Balozi wa China nchini Tanzania, Bi.Wang Ke na kulia ni
Balozi Msaidizi wa China, Xu Chen.
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari
MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi (mwenye tai
nyekundu) akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi wa China nchini Bi.
Wang Ke na baadhi ya wana habari waliochaguliwa kushiriki katika mkutano
wa ushirikiano wa China na nchi za Afrika utakaofanyika kuanzia mwezi
Septemba 2018 katika jiji la Beijing, China.
Picha na Pascal Dotto – MAELEZO
No comments :
Post a Comment