Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akimjulia hali Dada yake Monica Joseph Magufuli ambaye amelazwa katika
Chumba cha uangalizi Maalum ICU katika hospitali ya Bugando mkoani Mwanza leo Agosti 18, 2018.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa
Sengerema mkoani Mwanza kuelekea Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Njia panda ya Bugando mjini
Mwanza wakati akiwa njiani kuelekea Chato mkoani Geita.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Njia panda ya Bugando mjini
Mwanza wakati akiwa njiani kuelekea Chato mkoani Geita.
![]() |









No comments :
Post a Comment