Saturday, August 18, 2018

Jumba la treni(chawl bulding) lafunguliwa rasmi Zanzibar




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akikunjuwa Kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Jumba la Treni(CHAWL BULDING)lililofanyiwa matengenezo na ZSSFdarajani mjini Unguja.Jumba la Treni(CHAWL BULDING)lililofanyiwa matengenezo na ZSSF na kufunguliwa rasmi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein Darajani Mjini Unguja.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akielekeza kitu kwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa ZSSF Sabra Issa Machano alipotembelea sehemu mbalimbali za jengo hilo na kuoneshwa ramani baada ya kulifungua Jumba hilo la Treni(CHAWL BULDING)lililofanyiwa matengenezo na ZSSFdarajani mjini Unguja.Mkurugenzi Mwendeshaji wa ZSSF Sabra Issa Machano akitoa hotuba na kuelezea historia ya jengo la Treni (CHAWL BULDING)lililofanyiwa matengenezo na ZSSF na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein darajani mjini Unguja.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akitoa hotuba ya ufunguzi wa Jengo la Treni (CHAWL BULDING)lililofanyiwa matengenezo na ZSSFdarajani mjini Unguja.

No comments :

Post a Comment