Mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya
akizungumza wakati wa mkutano wa utoaji wa taarifa ya uchunguzi wa
kamati iliyoundwa na mkuu huyo kuchunguza ubadhilifu wa fedha za
Ushirika wa watumia maji katika kijiji cha Mijongweni.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya
akiwahoji baadhi ya wajumbe wa serikali ya kijiji cha Mijongweni
kuhusiana na ubadhilifu uliofanyika katika Ushirika huo.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya
,akizungumza juu ya maamuzi yaliyochukuliwa mara baada ya kamati
aliyoiunda kuwasilisha taarifa yake.
Baadhi ya wananchi wakisikiliza kwa makini juu ya maamuzi yaliyochukuliwa na Mkuu huyo wa wilaya .
Baadhi ya wananchi wakionesha mabango yenye ujumbe mbalimbali wakati wa mkutano huo.
Katibu tawala wa wilaya ya Hai,Upendo Wera akizungumza katika mkutano huo.
Mmoja wa wakazi wa kijiji cha Mijongweni ,Omary Mohamed akizungumza kwa niaba ya wananchi wengine katika mkutano huo.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya
akitizama baadhi ya mashine zilizotolewa kwa Ushirika huo ambazo
zinatajwa kutumika huku mapato yake hayajulikani yalipo.
Moja ya Mashine hizo ikiwa tayari imeharibika baada ya kuondolewa Roller inayotumika kwa ajili ya kutembelea.
Mashine mpya ya Ushirika huo ambayo haijaanza kutumika bado.
Baadhi ya watuhumiwa wa ubadhilifu wa
fedha za Mradi wa Ushirika huo wakiwa kwenye gari la Polisi mara baada
ya kukamatwa wakiwa eneo la mkutano.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.
-WADAIWA KUFANYA UBADHILIFU WA ZAIDI YA MIL 200.
-WENGINE WAUZA VIPURI VYA MASHINE.
WATU
16 wakiwemo viongozi wa Bodi ya Ushirika wa Umoja wa watumia maji
katika kijiji cha Mijongweni (UWAMI) wanashikiliwa na Jeshi la Polisi
kwa amri ya mkuu wa wilaya ya Hai,Lengai Ole Sabaya wakituhumiwa
kuhusika na ubadhilifu wa fedha za mradi zaidi ya