Tuesday, July 17, 2018

MAPOKEZI YA KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA MAKAO MAKUU YA JESHI HILO LEO


PIX%2B2
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike akipokea salamu ya heshima kutoka kwa Gwaride maalum lililoandaliwa kwa ajili ya mapokezi yake Makao Makuu ya Jeshi hilo.
PIX1
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Phaustine Kasike akipokea saluti kutoka kwa Kamishna wa Utawala wa Magereza, Gaston Sanga mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ofisi ya Makao Makuu ya Jeshi la Magereza jijini, Dar es Salaam, leo Julai 16, 2018.
PIX%2B3
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike akikagua gwaride maalum lililoandaliwa na Maofisa na askari wa Jeshi la Magereza.
PIX%2B4
Kamishna Jenerali mstaafu, Dkt. Juma Malewa(suti nyeusi) akimkaribisha Kamishna Jenerali mpya wa Magereza, Phaustine Kasike mara baada ya kumaliza kukagua gwaride rasmi lililoandaliwa na maofisa na askari wa Jeshi la Magereza.
PIX%2B5
Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali nchini wakifanya mahojiano maalum na Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike mara baada ya mapokezi Makao Makuu ya Jeshi hilo.
PIX%2B6
Kamishna Jenerali mstaafu wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(suti nyeusi) akifurahia jambo pamoja na Kamishna Jenerali mpya wa Magereza Phaustine Kasike wakiongozana kuelekea katika mazungumzo maalum na Maofisa, askari na watumishi raia wa Jeshi hilo Makao Makuu ya Magereza.
PIX%2B7
Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na Maafisa, askari na watumishi raia wa Jeshi hilo.
PIX%2B8
Maafisa waandamizi wa Jeshi la Magereza, Maafisa, Askari na watumishi raia wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza wakifuatilia kwa makini hotuba ya Kamishna Jenerali mpya wa Jeshi hilo(Picha zote na Kitengo cha Habari na Mawasiliano Makao Makuu ya Jeshi la Magereza).

No comments :

Post a Comment